tag:blogger.com,1999:blog-26801484115193336292024-03-05T18:48:27.030-08:00Seth School of ThoughtSeth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.comBlogger148125tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-58158289172349740892013-06-13T17:01:00.003-07:002013-06-13T17:01:44.789-07:00NYUMBA ANAYOISHI BILL GATES...HATARI,WEKA MBALI NA WATOTO<strong></strong><br />
<strong>Wakati wewe unaishi kwenye nyumba ya kupanga na unawaza lini utaiba kazini au kujichanga kwa njia halali zisizotosha kuweza kuanza Ujenzi,hali ni tofauti kabisaaaaaa na ndugu anaitwa BILL GATES,ambaye ni tajiri namba 3 duniani akiwa nyuma ya Carlos Slim na Warren Buffet.</strong><br />
<strong></strong><br />
<strong>Yeye amehama kutoka kuishi nyumba za ardhini na ameamua kutengeneza nyumba baharini,katikati ya maji,Nyumba inayoelea....</strong><br />
<strong></strong><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvj3zCP-Gott0eStnO8bIQt3FtkfeO3Y3saVPQ3bevR7m723LGes0KGyTYEmONc9wIAIKxS_rx-XENv63_RiBvLIL0nTWagU3ipzN9IT5KCpEmjwrL9tEWiyorMhqoa3wBt0zJba8Nbnv2/s1600/GATES.png" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvj3zCP-Gott0eStnO8bIQt3FtkfeO3Y3saVPQ3bevR7m723LGes0KGyTYEmONc9wIAIKxS_rx-XENv63_RiBvLIL0nTWagU3ipzN9IT5KCpEmjwrL9tEWiyorMhqoa3wBt0zJba8Nbnv2/s640/GATES.png" width="454" /></a></div>
<br />
<strong></strong><br />
<strong>Hela iliyotumika kutengeneza HOME IN THE OCEAN inafikia Dola Bilioni 1.4 ambayo ni sawa na karibu trilioni 3 za Tanzania...trilioni 3 ni Bajeti ya Tanzani Kwa Mwaka mzima kwa Wizara zote za Serikali inayotoka mfukoni kwetu kabla ya Wahisani....Jamaa kaamua kutengeneza Yacht yenye Nyumba</strong><br />
<strong></strong><br />
<strong>Chukua Muda wako uangalie WATU WANAOISHI...Maana sisi wengine tupo tupo tu...</strong><br />
<strong></strong><br />
<strong>HAYA MZIGO HUU HAPA BOFYA <a href="http://www.youtube.com/watch?v=uBrCZs3_G9k">http://www.youtube.com/watch?v=uBrCZs3_G9k</a></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong>HISTORIA YA HUYU JAMAA KWA KIFUPI TU:</strong><br />
<strong></strong><br />
<strong>Amezaliwa mwaka 1955 huko Seattle,Marekani akiitwa William Henry Gates III,babake ni Attorney kwenye jiji la Seattle na Marehemu mama yake alikuwa Mwalimu tu wa kawaida wa shule</strong><br />
<strong></strong><br />
<strong>Alianza kupenda mambo ya Kompyuta na Programming akiwa na miaka 13 tu...</strong><br />
<strong></strong><br />
<strong>Mwaka 1973 alijiunga na chuo kikuu cha Havard na mwaka 1975 kabla tu ya kuhitimu Masomo aliacha chuo akaamua kuunda Microsoft Company akiwa na mshkaji wake Paul Allen.</strong><br />
<strong></strong><br />
<strong>KAZI NI KWAKO..UKIACHA CHUO KISA JAMAA ALIACHA INAKULA KWAKO</strong><br />
<strong></strong><br />
<strong></strong>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-26854898266945042562013-06-13T16:33:00.004-07:002013-06-13T16:33:49.265-07:00ANGALIA VIDEO HII...SIKILIZA MAUDHUI YA WIMBO HUU,UTAKUBALI KWAMBA CHRISTIAN BELLA NI RAISI WA MASAUTI<strong>Kwa Wale Wapenzi wa Muziki wa Bendi nchini Tanzania,Jina la Christian Bella sio jina geni kwenu...Yes,anafahamika kama RAISI WA MASAUTI na ni mmoja kati ya Waimbaji ninaowakubali mno..He is very Unique</strong><br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEioketKwvQ4D4hpPCs7VrJd0U01qlvq4ej1FG8KVfEfJcjgNnMrFLJY7WFV-zNGXgKjEQPpGETHnhlwyzZeV1Zn39iAfIjQCg7Zz5b1dpfuEXkdDOpLrMN6WkEIlPMdx4xPkBBk0EoW9IYx/s1600/BELLA.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEioketKwvQ4D4hpPCs7VrJd0U01qlvq4ej1FG8KVfEfJcjgNnMrFLJY7WFV-zNGXgKjEQPpGETHnhlwyzZeV1Zn39iAfIjQCg7Zz5b1dpfuEXkdDOpLrMN6WkEIlPMdx4xPkBBk0EoW9IYx/s640/BELLA.jpg" width="479" /></a></div>
<br />
<br />
<strong>Christian Bella aliifanya Bendi ambayo haikuwa na jina lolote kuwa ON TOP kwa miaka yote aliyokaa pale...AKUDO....Kila mtu aliifahamu AKUDO na ilipata Wapenzi wengi sana hata kufikia hatua ya kutaka kuwapoteza kabisa kwenye ramani wapinzani wao wakuu waliokuwa wakishikilia chati, FM ACADEMIA.</strong><br />
<strong></strong><br />
<strong>Shukrani zimuendee rafiki yangu,Mtaalamu wa kutafuta Vipaji,King Dodoo kwa kumleta Christian Bella nchini Tanzania na kuisaidia sana Bendi hii kuwa kwenye Chati iliyo mpaka sasa...</strong><br />
<strong></strong><br />
<strong>Kwa sasa Christian Bella amehamishia makazi yake nchini SWEDEN na tangu alipokwenda huko amekuwa kimya na watu wakahoji kwanini na wengine kwenda mbali kufikia kudhani amekufa kisanii..LA HASHA....Simba hata azeeke namna gani hawezi kuwa nyau...Raisi wa Masauti amewadhihirishia Watanzania na mashabiki wake kwamba yuko fit baada ya kuachia Bonge moja la VIDEO alilofanyia Shooting STockholm,Sweden,na ukisikiliza maudhui ya Wimbo huu pamoja na Quality ya Video hii utakubali kwamba Christian Bella hana mpinzani na ndiye RAISI WA MASAUTI....PAmoja na kwenda nje hajawasahau wadau wake,amewarusha washkaji zake na mara kwa mara utasikia akimtaja Ustaadh Juma na Musoma kwenye wimbo huu unaoitwa MSALITI</strong><br />
<strong></strong><br />
<strong>Bonyeza Link hii uangalie Video yake mpya kabisa na utakubali Bella ni mkali wa wakali kwenye nyimbo za mahadhi ya Lingala ...Twende Kazi ...</strong><br />
<br />
<strong>BOFYA</strong><br />
<a href="http://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=GytZVSdluF8"><strong><span style="color: lime;">http://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=GytZVSdluF8</span></strong></a><strong><span style="color: lime;">#!</span></strong>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-29188138282387907652013-02-03T14:07:00.000-08:002013-02-03T14:07:07.812-08:00UFANYE NINI UKIGUNDUA PENZI LAKO LIMEINGILIWA NA MTU NA BADO UNAMPENDA ANAYEKUCHEAT?<strong><span style="color: magenta;">TUMA NENO SETH KWENDA 15678 NA UTAUNGANISHWA NA HUDUMA YANGU YA MOBILE AMBAYO ITAKUPA ZAIDI YA HAYA UNAYOYASOMA HUMU MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO KAMA SMS....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Leo naomba tudiscuss topic hii,maana naamini kama sio wewe yanakukuta haya basi ndugu yako wa karibu au rafiki yako analalamikia hili...</span></strong><br />
<strong><span style="color: #a64d79;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Imewahi kutokea unampenda mtu sana na mmekaa kwa muda flani mrefuuuu,halafu katikati ya safari unakuja kugundua kuna kidudu-mtu,whether ni Mwanaume au Ni Mwanamke ameingia kwenye Penzi lenu na umekuwa Shareholder kwenye Kampuni ya Mahaba Limited???</span></strong><br />
<strong><span style="color: #a64d79;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Huwa unafanyaje ukigundua Mahabuba wako anaibiwa namtu flani na wewe bado unampenda???</span></strong><br />
<strong><span style="color: #a64d79;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Je unasusa na kuamua kumuachia Kidudu-mtu ashinde Battle kiulaini???</span></strong><br />
<strong><span style="color: #a64d79;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Au unakomaa na Battle na kumfunza adabu kidudumtu hadi anaachia ngazi???</span></strong><br />
<strong><span style="color: #a64d79;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Unatumia ujanja gani kama ni Boy wako na unampenda,lakii mchizi amefall kwa kidudu-mtu na unakaribia kutoswa na Mchizi kisa kanogewa na Penzi jipya tam tam???</span></strong><br />
<strong><span style="color: #a64d79;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Maswali ni mengi lakini all in all,LEO nataka nikupe Mbinu tu ambazo zitakufanya upigane hiyo vita na USHINDE....Ukifuata haya,Probability ya wewe kushinda na kutunza Penzi lako ni 0.7%...</span></strong><br />
<strong></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Mambo haya ni muhimu uyajue maana yanatokea kila siku,Kama bado hayajakukuta basi yatatokea,Kula Shule,siku yakikukumba basi unajua Mlango wa kupigia Bao...TWENDE KAZI:</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: red;">1.INAWEZEKANA KOSA NI LAKO</span></strong><br />
<strong></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Mara nyingi tukiwa kwenye Mapenzi tunajisahau sanaaaaaa,tunahisi tumemaliza,nishampata basi inatosha..Ubunifu sifuri,we mbuzi kagoma tu miezi mia 7,hujui kitu ingine..Chalii angu inakula kwako...Mwenzio akitoka anapigwa Jackie chan,Mission Impossible 6 na Kandahar....We upoupo tu unaegesha kama Parking ya Corner Bar.....INAKULA KWAKO</span></strong><br />
<strong><span style="color: #a64d79;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Jambo la kwanza,weka possibility kwamba moja ya sababu zilizomfanya jamaa/demu atoke ni WEWE...Usi-throw lawama kwake tu wakati kumbe na wewe si ajabu ulikuwa na mapungufu yaliyochangia...</span></strong><br />
<strong></strong> <br />
<strong><span style="color: red;">2.KUWA MPOLE</span></strong><br />
<strong></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Ukishaweka Possibility ya wewe kuwa moja ya sababu we kuwa mpole...Jipange kwa mbinu za Comeback kama Manchester...Ukifungwa huendi nyuma kuanza kulia,unajipanga na mashambulizi ya kusawazisha..hiyo ndo Battle....</span></strong><br />
<strong><span style="color: #a64d79;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Sasa wengine wanapanic,wanaanza kumtusi jamaa/demu,ooh we malaya sana,umekosa nini kwangu.....ipo siku atakujibu,nakosa nyamaaaa,we unanipikia maharage tu!Utafanyaje???</span></strong><br />
<strong><span style="color: #a64d79;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Kupanic hakusaidii,tena ukipanic ndo atahamia kule mazimaaaaaaa,utabakia unatokwa povu tu mwenzio anapewa mijiraha!Kuwa Mpole</span></strong><br />
<strong></strong> <br />
<strong><span style="color: red;">3.TAFUTA TATIZO NI NINI ILI UJUE UNAINGIA NA SILAHA GANI</span></strong><br />
<strong></strong> <br />
<strong><span style="color: magenta;">Huwezi kuua Nzi na AK 47...Jua adui ni nini uchague Zana ya kudeal nae...</span></strong><br />
<strong></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Hii ni mtihani pia kwa sababu kwa Mwanaume anayecheat kufunguka kwamba ni nini haswa kilichomtoa ni ngumu sana.....Na tatizo lingine ni kwamba hata akisema utamchukuliaje??Wanawake hawapendagi kuambiwa ukweli na ukimwambia,hata kama ndo ukweli atanuna mbaya,ufudu haingii!Mnuno haswa!Anauliza halafu ananuna.....Hilo moja,Wanaume nao ni worse...Akiuliza nini kimekutoa ukamwambia,ah we unanipa goma dakika 5 wakati mwenzio anasimamaia Show ya Fally Ipupa saa nzima...duh,mtu mzima unahisi umekosewa heshima unamwagia makofi!HAISAIDII!</span></strong><br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Ukiambiwa we Selfish dakika 5 chali,chukua kama Positive issue na ujifunze...Kama huwezi zaidi ya dakika 5 jifunze wenzio wanasimamiaje kucha...Mwanaume dakika 5 aibu jamani khaaa,Mchuchu anapandisha Kilima anapishana na wewe ndo unaserereka kwenye ganda la ndizi.....Aaaaaaa,sio kiivyo!</span></strong><br />
<strong><span style="color: #a64d79;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Ukipata Kiini cha tatizo BADILIKA!Akisema unalewa sana humpi haki yake BADILIKA...Akisema humpigii simu na Mwasiliano yamekuwa hafifu na huku kwa Bi Kidude anapigiwa mara 76 kwa siku,BADILIKA.....Hakuna jinsi,kama Blunder ushafanya,wajanja wamefill GAP,Pigana ili arudi kwako kwa kubadilika kwa kile alichosema.</span></strong><br />
<strong><span style="color: #a64d79;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Kasheshe ni pale unapoambiwa tatizo ukakasirika....Au kutojibiwa kiini cha tatizo,,,Kila Ukiuliza anasema ah niliamua tu...au imetokea tu..Hapo unalo,inabidi utafute mahali muafaka pa kumuuliza,na most probably muda mzuri ni akiwa anakanyaga kitonga,hapo utajibiwa yote maana hisia zinakuwa ziko juu...</span></strong><br />
<strong></strong> <br />
<strong><span style="color: red;">4.FANYA ANAYOPEWA KULE NA ZAIDI</span></strong><br />
<strong></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Hakuna kitu kizuri kama kumpa Mpenzi wako vyote ili akose vya kuomba nje!</span></strong><br />
<strong><span style="color: #a64d79;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Usiache hata tundu moja la kidudu kuingia na kusambaratisha.....Mpe Mawasiliano kwa Asilimia Zote.....Mpe Attention....Mpe hela ukiweza...Mpe Mahaba makali yenye Kungfu,Taekwondo na Kila kitu....</span></strong><br />
<strong><span style="color: #a64d79;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Hakuna Mwanaume atamuiba maana unapata vyote....Hakuna Mwanamke atampa lolote ambalo wewe hujui,Viuno vyote wavijua,Feni Mbovu Style,Feni nzima,Air Condition Moves,Mupeeee.....</span></strong><br />
<strong><span style="color: #a64d79;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Kama umegundua tatizo ni Mahaba uliyokuwa unampa badilika,kuwa mbunifu from NOW going forward...Si unampenda???Usijali kwamba kuna Competition,wewe fanya kwa nafasi yako....Mchoshe hadi akiwaza kuamka kwenda kule akute hana nguvu tena,atabaki kwako..Dozi Tu!</span></strong><br />
<strong><span style="color: #a64d79;"></span></strong> <br />
<strong><span style="color: #a64d79;">Baada ya muda utagundua amerejea,Kule alikoibwa hakuna Jipya tena,atabakia wako na utaishinda vita ILA,Jifanye bandidu,eti unamnunia kwanini kaenda kule....Au unamtafuta huyo Mwanaume Mpya au Mwanamke Mpya unaanza kumtukana,eti ooh</span> <span style="color: #a64d79;">ntakukomesha,unaiba vya watu,mara ooh ntakuloga uvae chupi usoni...ah wapi,unafeli....Dawa ya mwizi ni kumkimbiza kimyakimya,wala kelele hupigi,mwenyewe atahisi huyu niliyemuibia leo sio wa kawaida,ila makelele ya mwizi mara vile,wote mtaonekana wezi.....</span></strong><br />
<strong></strong> <br />
<strong><span style="color: magenta;">KIMBIZA MWIZI KIMYAKIMYA....JIPANGE KIMYAKIMYA....SHAMBULIA KIMYAKIMYA</span></strong><br />
<strong><strong><span style="color: magenta;">TUMA NENO SETH KWENDA 15678 NA UTAUNGANISHWA NA HUDUMA YANGU YA MOBILE AMBAYO ITAKUPA ZAIDI YA HAYA UNAYOYASOMA HUMU MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO KAMA SMS....</span></strong></strong><strong></strong> Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com5tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-22753811809936913752013-01-22T14:31:00.000-08:002013-01-22T14:31:01.285-08:00MAKOSA 6 HUTAKIWI KUFANYA UKIBREAK UP NA MTU,KAMA KWELI UMEMAANISHA<strong><span style="color: red; font-size: large;">Haya haya hayaaaaaaa(kwa sauti ya Gossip Cop Soudy Brown)....Niko nalalaaa..Hapana!</span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-size: large;">Ni Muda mwingine wa kutiririka...</span></strong><br />
<span style="color: red; font-size: large;"></span><br />
<strong><span style="color: red; font-size: large;">Lakini kama ilivyo Maombi kabla ya Chakula,basi niwaombe wale ambao bado hawajajiunga na Huduma yangu ya Simu Ya Mkononi-Seth Straight To Your Phone,please mfanye hivyo..</span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-size: large;">Ni rahisi tu,Chukua simu yako kisha <span style="color: orange;">tuma neno SETH kwenda 15678</span>...As Simple As That! Please support your Boy,Your fellow Tanzanian....</span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-size: large;">Ukijiunga humo,I guarantee you and Your Love Life will never be the same! KARIBU!</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Leo tuangalie issue zinazohusu Break Ups...Hili ni jambo baya sana kwenye Relationship kukutokea kama ulimaanisha..kuna watu hawamaanishi so hata wakibreak haiwaumizi hata kidogo,siku 2 tu yuko freeshiiii,anamingo kitaa!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Ngoja niongee na wale ambao mko kwenye Relationship...Wengine mlikuwa kwenye Relationship,mkapitia Break Up,mnajua inavyouma,na wengine tangu mmebreak Up mmeshindwa Kumove on kabisaaa..yeah,kabisa,najua mpo...Ntawapa dawa leo,mtapona tu...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Wengine Mmebreak up halafu mmesusa..mmenuna,hamtaki kusikia kitu kinaitwa Love...Huwezi kususia Mapenzi...Mapenzi ni kama Maji...Usipokunywa basi utayaoga,ukisusa utakuwa mtu wa ajabu na utajikuta unapata tabia za ajabu maana unashindana na Nature...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Leo naomba tuangalie makosa 6 ambayo Lovers huwa wanafanya pale inapotokea Wanabreak Up,kinachosababisha Maisha yao yashindwe kuendelea au yaendelee kwa Shida.Jitahidi sana kuyaepuka makosa haya:</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-size: large;">1.KUMFUATILIA EX WAKO ANAFANYA NINI,NA NANI</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kama umeamua kwamba Its Over,Go on with your life...Usiendekeze Jealousy ya kipuuzi...Umeachwa/Kuacha unaanza kufuatilia maisha ya Ex wako,yatakusaidia nini???He/She is gone,and gone for good..jipange kuishi bila yeye,jipange ku-heal maumivu as fast as you can,na tabia hii ni contrary na MOVING ON Strategy...Moving On Strategy hairuhusu ubongo wako kuanza kupanga Mbinu za kuwa Paparazzi wa Ex wako...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kuna watu ni mabingwa kwenye hii...Atafungua akaunti mpya ya Facebook aanze kumwangalia jamaa yuko na nani...Au ex wake anaendeleaje....Akiona yuko poa ataanza visa...Wengine huenda mbali na kuanza kumtafuta New Man wa Ex GF wake au New Woman wa ex BF wake..Una matatizo makubwa...Atamtukana,oh we mwanamke malaya,we mwanamke hivi..Hizo ni dalili za FRUSTRATIONS! Dont expose your frustrations over a Past which is History...jenga Historia mpya..Acha huu upupu,simama,sema its enough,songa mbele...itakusaidia...ukistuck kwenye kumfuatilia utaanza kujipa hopes kwamba maybe atarudi..maybe,Muda unaenda,hupati Partner wa maana maana kila anayekuja unampiga kalenda ukihope mchizi/mdada atarejea...HAJI NG'OO!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-size: large;">2.KUTUNZA MEMORIES MLIZOSHARE</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kuna watu wanatunza meseji nyie,balaa..Hata Makumbusho ya taifa pale Posta haiko deep kama wao.....Anatunza meseji za tangu unamtongoza mpaka mmeachana...khaa!nimewavulia kofia..Especially wanawake,ur best at this...nooomaaa!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Sasa mmeachana,unatunza zile meseji,unalialia chumbani,unafungua Archive Folder..unasoma Malavidavi ya zile siku zenu mlizokuwa Paradiso ya Mahaba...unalia weeee kama kengele ya Ibada...FOR WHAT???</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kama umekubali aondoke moyoni mwako,ondoa vitu vyote ambavyo ni temptations za kukuremind kuhusu yeye ili usije ukarudisha kivuli cha mtu moyoni....Wanawake ur so weak katika hili,mioyo yenu hugeuka Piriton hapa,mnanyong'onyea weeee,yaani mnahisi kama dunia imekuangukia...I cant live without Felix...Nani kasema wewe,Pumzi unayo,Moyo unao,Macho unayo mawili yanaona,Tafuta Replacement acha uboya! Huyo Felix akigundua unamlilia,miezi 7 baada ya kuachana anajionaje Mfalme...Anajionaje King wako,anaona YESSSS,demu analia mpaka leo kwa ajili yangu...Atakutesa,atakuburuza-buruza hisia zako kama Guta la Soko la Buguruni....Umeumbwa na moyo mzuri lakini atauburuza It will look like Shit....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Destroy Picha zote zinazokupa Nightmares....Album zake za nini???Gallery kwenye Simu weka mbali kule choma ikibidi kama zinakupa matatizo....Hakikisha kila kinachomuhusu kipo kwenye Recycle Bin na delete completely kusiwe na room ya ku-retrieve data!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Ukifanya hivi utaona jinsi anavyopotea taratibu,na baada ya muda itakuwa Historia.....Sasa wewe kumbatia weeeeee mapicha yake...Soma weeee mameseji aliyokuwa anakutumia na kuchat naye...Halafu unajiuliza,Hivi why I cant forget him????Ni sawa na kula halafu unauliza mbona tumbo limejaa...Tumia akili,Ni Maamuzi magumu lakini kama unaujali moyo wako ni lazima uyafanye or else kuwa mtumwa wa mtu asiye-exist kwenye maisha yako!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Lingine,Epuka kwenda sehemu ambazo wewe na EX wako mlikuwa mnaenda sana...Kama mlipenda kwenda KIJIJI Beach kama ndugu yangu Jumanne Mbepo,ukienda pale mwenyewe unajitafutia shida...Utaanza kukumbuka mliogelea wapi...mlikaa kiti gani na kadhalika....Potea kutoka kwenye hizo Memory Zone kwa muda mpaka utakapokuwa Sure kwamba hazikusumbui anymore!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-size: large;">3.MASHEMEJI ZAKO WA ZAMANI BADO UNAHANG NAO</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Hii ndo yenyewe...Amlipokuwa wote alikutambulisha kwa washkaji zake..mkazoeana!Mmeachana lakini bado wewe unahang nao!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Hapa kuna trick!Sisemi uwachukie,Sisemi kwa sababu urafiki na Mapenzi yenu yamekufa basi na hawa uwachinjie baharini LAKINI....Probability ya kumeet na EX wako ukiwa na hawa mashem zako ni kubwa...Wale ni rafiki zake...Unapohang nao,ipo siku mtakumbana,na ita-trigger memory upya...You all know what am talking about...meeting na EX uliyempenda sio kitu rahisi,utaharibu siku yako hiyo na pengine wiki nzima..hata kama ulikuwa umeshaanza kupona,tunakurudisha LOVE ICU upya!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Jitahidi kukaa mbali na Mashemeji wa zamani especially zile siku za Mwanzo mwanzo ukiwa mmebreak,angalau jipe miezi kadhaa ya kukaa nao mbali,ukishazoea kidogo unaweza kuanza</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kuna watu mnashindwa kumove on kwa sababu hii....Kama Mashemeji ni tatizo,wapotezee kidogo mpaka utakapoona kamoyo kako kamestabilize then unaweza kuchill nao tena</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-size: large;">4.UNAKOSEA MESEJI ETI...AU UNAMPIGIA SIMU ETI UMEMMISS...JINGA!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">It doesnt make sense ila watu wengi tu tunafanya haya....Kuna muda unabanwa,unasikia kawimbo flani ambako labda alikuwa anakapenda...KOSA! Unanyanyua simu,Nimesikia ule wimbo wa LONELINESS wa BABYFACE nikakumbuka kweli yaani...Hii Call itaanzisha mambo mengi sana maana mnaweza kujikuta mnaongea,mtakumbusha weeeee hadi mliusikia wapi mara ya kwanza na kadhalika...ukikata ile simu Moyo wako umeharibika upya,utammiss upyaaa,kidonda kinarudi upya...Please avoid that!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Wengine wazee wa tricks za Magumashi,anatuma meseji MAKUSUDI,Baby last nite u were so good,i like that style....Halafu anajifanya kakosea kamtumia EX wake..Madai yake amtie Wivu mchizi/demu aone kwamba Dah!Mwenzangu kumbe kashapona na anakolezwa huko alipo...kumbe hamna lolote! Una mijiwazo yako lukuki,hakuna cha Last Night wala nini....Mtaanza ku-conversate bila sababu yoyote ya maana na mtaishia pabaya utajikuta unaanza upya bin upya!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Wale wenye hizi mabo,acheni...Hii itakurudisha nyuma na usishangae 2 years huna Uhusiano wowote bado,na kama Unao unayumba kwa sababu bado unambeba mtu fulani moyoni wakati nafasi yake haikutakiwa kuwemo,unashindwa kujitoa kwa New Love uliyopata...mwisho wa siku unakosa vyote...kule kwa EX hakueleweki,na huyu Mpya anakuona huna msimamo kwa kumbeba jamaa bila sababu zozote za maana!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-size: large;">5. KUDUMBUKIA KWENYE ULEVI NA STAREHE NA UKICHECHE/UPLAYER ILI KUMKOMOA</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Tit for Tat wanaita....kwamba ukimwaga Ugali yeye anamwaga mboga....Watu wengine wameanza Ulevi wa kupindukia eti kisa Break Up...mtu anaanza mapombe eti kuondoa mawazo....Let me be very Clear here....POMBE HAIONDOI MAWAZO.....Narudia!POMBE HAIONDOI MAWAZO NA HAISAHAULISHI CHOCHOTE!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Utakunywa,utalewa tilalila,Utaamka ukiwa yuleyule! Na ukipata Marafiki wapuuzi wasio na msaada wanakusapoti kwamba kula bata,this is ur time...Jamaa alikuwa anakubana sanaaaa,hata outing ulikuwa hutoki yeeaaahhhhh we are divaaasss let us show him...SHOW WHO STUPID???</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Unamshow nani...Hela utamaliza za kwako...Mwili unaounywesha Mipombe ni wa kwako....Na Kidney Failure na Kisukari utaumwa WEWE...Dont show anyone..Use ur brain.Usiingie kwenye Ulevi na Umalaya kisa UMEACHIKA,huo ni ujinga uliotukuka!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Wewe sio wa kwanza,mamako mwenyewe alishapigwa vibti 88 kabla ya kuolewa na babako,muulize atakwambia....Break Up sio mwisho wa Maisha..Ni challenge ambazo unapaswa uzishinde na Ukiweza utajikuta umejifunza mengi sana in life.</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Wale Ma-Player,sijui ni VCD Player au DVD,poleni sana...Eti unaamua kuwa Player kisa Diana amekuacha..oh nilimpenda sana,Maisha hayana maana ngoja niwe Player....SAWA! Kuwa Player na UKIMWI utakuwa Kocha wako!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-size: large;">6.KUKUMBUSHIA....NAOMBA NICHOVYE KIDOGO TU ASALI HAPO KATI MTUNGINI</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kuna haja ya kuongelea hili kweli eti??Mbona najua hii balidahhh!!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Wazee wa kukumbushia Mupoooooo???Wadada wa kumiss Lips za EX mpooooo????Na wale wataalamu wa kutuma Meseji mmemiss Mjeledi aka Mjarabati mpoooo????</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Unaachana na mtu mmeshindwana sera....Halafu mnamove on...unadate na mtu wako na yeye wa kwako...mnamisiana..mnakutana kwa siri...Mnatupia vituuz...Na mlikuwa mnapendana kwelikweli,mnadhani Feelings zitaisha...mnabakia Friends With Benefits.....Ma-New BF wenu na Ma-GF wanaona wamepataaaaa,kumbe nyie huku nyuma mna makubaliano yasiyo rasmi kati ya CCM na CUF kushare madaraka Zanzibar....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Hutamove on kamwe,utaanzisha Relationship mpya lakini una kitanzi cha mshkaji,mpaka mtakapojifunza kusema enouugh is enough....Lakini kila wiki 2 mna mechi kwa Hisani ya watu wa Marekani...Ah Msahauliwe!</span></strong>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com3tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-485142905200401612013-01-21T17:33:00.004-08:002013-01-22T01:20:14.456-08:00WASICHANA...EPUKA TABIA HIZI KAMA UNA MPANGO WA KUWA MKE WA MTU ONE DAY LASIVYO SAHAU<strong><span style="color: red; font-size: large;">PLEASE I NEED YOUR SUPPORT...PLEASE!</span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-size: large;">Tuma neno SETH kwenda 15678 SASA HIVI kama bado hujajiunga na Huduma ya Seth Straight to Your Phone.Its next level:Ili kupokea Meseji hizi na zingine nyingi kwenye simu yako ya Mkononi popote ulipo kubadilisha mtazamo wako wa Kimahusiano na Kimapenzi na kufanya maamuzi sahihi ukiwa kwenye Mahusiano..Usisubiri ufunge ndoa ndio ugundue ulifanya makosa kuingia....Kujiunga ni BURE kabisa hutakatwa hela kwa kutuma Meseji hii.Wateja wa Mitandao yote ya simu Tanzania wanaweza kutuma SMS hii na HUTAKATWA hata thumni...</span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-size: large;">Narudia,Tuma neno SETH kwenda 15678...Please tuma SMS kabla hujascroll kwenda chini kwa somo la leo....NAWAPENDA1</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">.....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">......</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">.....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">.......</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">........</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Naulizwa WHY GIRLS...Kwanini nawaandika sana...Jibu ni rahisi sana,Wanawake ndio vichwa vya nyumba kivuli....Baba ni kama Raisi lakini MAMA ni Waziri Mkuu...Mtendaji mkuu wa day to day activities za Home Government...Waziri mkuu feki ni hasara kwa nyumba..Lazima washibe neno haswa ili hiyo nyumba isimame.Baba bila Mama bora hakuna Familia....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">I have a lot to share to girls,natamani Familia Bora sana kwenye Kizazi hiki cha Nyoka aisee,na sitoacha mpaka nione Ma-mama bora wakizaliwa huku mitaani....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Leo nna katopic tena kwa ajili yenu,Wanawake...Najua siku hizi mmepata Hobby Mpya....KUPENDA NDOA!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Hii Hobby inawacost sana maana hamu zimezidi uwezo....Mnatamani sana ndoa lakini uwezo na credits za kuipata HAMNA...Sasa miujiza hii ya Maji kugeuka Divai mara ya mwisho alifanya Yesu tu kule Kana ya Galilaya,sijasikia tena maji kugeuka Ndovu Tandale...You must work for it...Very hard...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Na jinsi gani unaweza kuwork...ni discpline tu...Manage ur attitude! Wengi wenu ni kama mshakata tamaa...Mnajiendesha tu kama Guta...Values za Mapenzi hamna tena...Miiko ya Mapenzi mnaivunja bila hofu...Mapenzi yamekuwa Useless,kwahiyo kwenu lolote ni sawa....SI SAWA!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kuna tabia ambazo,kama wewe ni Mwanamke na unazo,SAHAU kwamba utakuwa mke wa mtu,labda huyo atakayekuoa awe Stevie Wonder...Namaanisha kipofu,poyoyo,hakujui amekurupuka tu..Maana Wanaume hao wapo pia wanadamka tu na kuzama dimbwini kisa Housing....Kaona una shape kajaa kimiani,kumbe angelijua.....Ange...ishakula kwake anajitia kitanzini!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kati ya Tabia ambazo Wanawake wa Kizazi hiki wanazo,na hawajali,bila kujua zinawaharibia Pozi kinoma,na zinawapa kitu wao wanaita Gundu,kumbe Gundu wamelikumbatia wenyewe,na wanalisababisha wenyewe ni hizi hapa:</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: #f1c232; font-size: large;">1.MWANAMKE SAJENTI WA JWTZ MAKUTUPORA</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Tunawafahamu Wanajeshi..lugha yao nzuri na tamu ni AMRI....Lete...Kuja...Kwenda....Rudi...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Sasa Mwanamke tangu lini una Amri kama umekabidhiwa Kombania ya JKT???Mwanamke yake mapozi na politeness...Lugha tamu....Mwanaume hahitaji Amri maana nature yake ni amri tosha...Akumbane na Amri za Bosi wake,na wewe home umletee Amri.Sasa nani BABA??..KINANUKA FASTA!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Utawasikia, </span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">We Papito Casto hivi huoni kwamba sina viatu??</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">We Kataza,si nimekwambia Sina Vocha???</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Lugha nzuri zimejaa teleeee...Baby wangu sina vocha ai weweeeee,nitumie japo buku.Unamrembea mkaka Sauti,HACHOMOKI!....Mwanaume ukishamrembea sauti hivi hata kama hakuwa na mpango atanunua tena Buku 2 atatuma tu....Sasa wewe endekeza Amri uone,utabip weee,utaishia kuomba TIGO NIWEZESHE!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: #e69138; font-size: large;">2.MWANAMKE USELESS</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Role kuu ya Mwanamke ni USAIDIZI....HELPER....Hii ni Kibiblia kabisa,Mungu akaona si vema Adam awe peke yake,akamtafutia Msaidizi....Sasa wewe Mwanamke husaidii anything,badili tu jinsia yako!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kama kuna jambo moja tu unaloweza kunyonga Hisia za Mwanaume na akakupenda maisha yake yote ni kama utatimiza hili jukumu vizuri....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kuna watu mnakaa na Boyfriends wenu/Wachumba/Waume,hamjui anafanya nini...Ana wazo lolote la Kibiashara...Humsaidii kumpa Mawazo mfanye nini kuongeza Kipato....Sasa we wa nini kwenye Maisha yake????USELESS</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Akitokea Shankupe anayejua hii Siri anamuiba fasta,utashangaa,Huyu Mwanaume kafuata nini pale kwa yule shosti hata Sura hana,NDIO,Sura hana,Shape Sony Wega ya Inchi 26 kama Mjapenga lakini ROLE KUU kapata 100% kwanini jamaa asikutose????Inakula kwako I guarantee.</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Likikugusa badilika...Onyesha kwamba upo..Show ur presence...Mwanaume kila akikaa akihesabu Mafanikio anakuona upo behind this..Behind That..behind that and that one....Sasa kila kitu kafanya mwenyewe,hela hujachangia...Hata wazo???Come on Girls!!!You can do better than that.</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: #e69138; font-size: large;">3.MWANAMKE DEBIT AND CREDIT NEVER</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Hawa ndo Kiboko yao! Hakuna wazo atakalokupa ambalo ni la kuingiza hela..yeye kila wazo lake ni la kupulusa kilichopo bila kujali kitarudije na zikiisha itakuwaje!Wanatumia ile 'Shauri yake Principle'</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Baby twende Maisha Club Leo kuna Usiku wa Mabeste anazindua Album jamani,Nampenda kweli Ben Paul atapafomu....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">''Baby uko Mlimani City??please nichukulie 'Tuna' Fish hapo njaa inauma kweli mpenzi..hata hujui ana hela au hana,kiruu!</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">''Baby,nimeona cheni nzuri kweli can i have 60 thou mpenzi wangu,mwaahh...Ulimpa hiyo 60 thou??Ilikuwa kwenye Plan???Is it necessary ununue leo????THINK!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">''Honey,kuna Samsung Galaxy nzuriiiii nimeona dukani,kama ile ya BFF wangu Joanita''</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">''Mpenzi,hivi huwezi hata kuninunulia VITZ,kwakweli nimechoka Daladala''.....Umechoka daladala wakti mamako bado anapanda,tena za Tandika...acheni biashara kichaa,hailipi!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Sisemi usiombe hela au vitu lakini hakuna hata sentensi moja ambayo ni Income Generating inaweza kutoa kinywani mwako hata mara moja kwa mwaka ili huyu MKAKA akumbuke kwamba She did this last year????</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Hata kusema mpenzi nimeona tangazo kiwanja kinauzwa can we go see it and buy tujenge when tukioana?? Au Mpenzi kuna this Business nimeona rafiki yangu amefanya inamlipa sana,can you think of doing it???</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Wewe ni Debit Debit Mwanzo Mwisho,hakuna Positive hata moja???Halafu unataka huyu jamaa A-propose ndoa???Na unamkomalia kwamba mbona yuko kimya hasemi kitu mwaka wa 3 huu???Apropose kuoa DEBIT????Ah nani kasema,utasubiria Treni hapo Ferry,subiri hapohapo hadi usikie honi..Anakutafutia tu Timing ya kukumwaga,maana ur a Liability to him japo hakwambii!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"><span style="color: #e69138;">4</span>.<span style="color: #e69138;">MWANAMKE CHAUPEPO</span></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Hawa kama ni graph basi inaongezeka huku ikiongezeka...Waingereza wanasema Increasing in Increasing Rate!VYAUPEPO!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Jumatatu yuko Samaki Samaki...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Jumanne yuko Club Rouge...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Jumatano yuko New Palm Bar kwenye Baikoko na Friends.....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Alhamisi yuko Ladies Free Billicanas...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Ijumaa yuko Elements....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Jumamosi yuko Runway.....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Jumapili yuko Skylite Band Thai Village.....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Ana Ratiba kama Mbunge wa Msovero!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Unajua kuna mambo Wanaume wanafanya,sawa,ila Wanawake mkiiga wala haifai...mtasema mbona Wanaume wanafanya,lakini ukweli unabakia palepale,Mwanamke Chaupepo wa usiku ana-raise lots of Question Marks...Lots.....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Mama wa nyumba ajaye,anapepea haifai,hata Bendera ya Mwenyekiti wa Kijiji haikufikii,Wiki nzima una mishe,hujali hela ngapi umetumia kama kweli ni za kwako unajitegemea,but it shows that HUNA FOCUS....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Na hili lina-apply hata kwa Wanaume,siku 4 kwa Wiki zote unatoka,hata kama unatumia 20thou kwa siku,still its too much...ukisave hiyo hela unanunua tofali za kutosha tu....Mtalalamika ujenzi shida lakini hela unazokula gambe ili bata ikuzoee ukiichange FOCUS yako kidogo utashangaa kibanda kinainuka taratibu...Siongei Rocket Science,inawezekana,Nimeona na ninazidi kuona....Change ur focus and things around you will change...MEN,HEAR THIS!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: #e69138; font-size: large;">5.MWANAMKE ZEZETA/GOIGOI/KILAZA</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Mwanamke lazima awe Sharp...Bed...Jikoni...Everywhere! Make your Man proud of YOU!!Ukiwa Sharp hata mmeo atakusifia kwa rafiki zake,hiyo kafanya mama flani bwana....Sasa mmeo hana hata kimoja cha kukusifia....Bed pia uko shallow na you dont bother kujifunza wala,unaona utaaaammmm...Mh mama,wataka ndoa ama ndoano???</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Mkisoma Sifa za Mke mwema kwenye Biblia ndo mtajua....Mke sio Sura au Shape,hata Punda ana shape...Mke shurti uwe SHARP.....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kuna nyumba ukiingia tu unajua Mke KILAZA...liko wazi....Mwanamke Sharp hata ukifika kwake utaona....iko clear na kilaza iko clear...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kuna watu wanaoa vilaza wanajuta...Mke hajui kupika,kutwa alikuwa anashinda vibanda vya chips na kula burger...Kisa ana shape umeweka ndani,dadeki bonge la pancha,muda wote anatengeneza kucha...Mwanamke kufua hawezi/hataki eti ataharibu kucha....Mwanamke anajua Kuoga na Kuvaa tu....Mwanamke kupika hawezi anamuachia Housegirl kila kitu....mahausigeli siku hizi ukizubaa tu MESSI huyooooo kapita,unapinduliwa Uganda hivihivi na IDD AMIN upo hapohapo!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Mwanamke kitanda akutandikie Housegirl????Halafu unategemea nini???Kama Housegirl anashine in the eyes of your Man kwamba yeye ndo Masterplanner wa House,Mmeo atajuta kwanini alikuoa wewe ni afadhali angem-turn Housegirl into a Wife....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Tafadhali,Think Twice,Ndoa sio kama Vinyweleo kila mtu anavyo...Zile Zama zimepita....Utabakia kutegesha Mimba huolei Ng'o maana huoleki...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kama una hizi Tabia BADILIKA lasivyo chagua,ama UJIOE au UOLEWE na Same type of Stupid Man as ur maana mtakutana wote level za Ngassa na TEgete...ASANTE!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com9tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-58013812481339718342013-01-16T13:49:00.003-08:002013-01-17T05:16:08.488-08:00DALILI 8 KWAMBA MWANAUME UNAYETAKA KUMDATE HAYUKO GOOD KWENYE UKANDA WA 6 KWA 6 HIZI HAPA..<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Hizi ni dalili 10 ambazo Wanawake mnaotaka kuingia kwenye Mahusiano inabidi mziangalie kwa Umakini sana kabla hujasema <span style="color: red;">YES</span>...</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Lakini kama ushakufa na ushaoza juu yake,na ana cheda/mpunga/mijihela na ndicho ulichofuata najua topic hii wala haitakugusa....</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Na wale wenzangu na mie ambao huwa tunaamini unaweza kumbadilisha mtu wa dizaini hiyo,basi sawa......</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Ila ni muhimu uzijue,Ukiamua kuingia kwenye uhusiano nae uwe prepared kupelekwa Shallow kwenye shallow water na uwe willing kuvumilia tu na kujaribu kumbadilisha ukiweza...ingawa wengine wabishi hao,anavyopump ye ndo anaamini ni ze best,humwambii kitu....</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">TWENDE KAZI...</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-size: large;"><span style="font-family: "Courier New", Courier, monospace;"><span style="color: red;">1</span>.<span style="color: red;">ANAONGELEA SANA MAFAILI YA MA-EX WAKE WA ZAMANI WALIVYOKUWA BED</span></span></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Katika hali ya kawaida,Mwanaume rijali na anayejiamini hawezi kukaa na kuwaongelea Ma-ex mbele yako,na kuwasifia kwamba walikuwa wakali kweli bed...Ukiona Mwanaume wa dizaini hii ujue anajaribu kukuonyesha kwamba 'He had his best' na wale kwahiyo inabidi uprove kwamba unaweza kuwafikia ingawa hakutakuwa na kipimo coz ur not even sure kama walikuwa wakali au yeye ndo alikuwa Shallow alikumbana na Shallow wenzake waliomzidi uwezo akawaona wakali...</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Ukiona Mwanaume wa type hii,tembea na Question marks mkononi na uendelee kuangalia Dalili zinazofuatia kama zinaendelea ku-match au lah..Kama anazo 8 kwenye hizi 10,aaah chezo hamna hapo!</span></strong><br />
<strong><span style="font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">2.HAJUI KUCHEZA MUZIKI</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Ukiacha Blues ambayo hata watoto wadogo wanacheza kwenye ubarikio,hajui kabisaaa kucheza,....Weka Shamukwale holaaaa...Mayaula Mayoni wapiii...Kiduku holaaaa....Alingo Holaaaa...Taarabu zirooo...Mduara nehi bambuchi....Sasa viuno ataviweza wapi???Labda kwaya....</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Kama Muziki una Midundo na Beat hawezi,Mtanange wa Bed usio hata na mlio wa zumari ataweza kwenda na mapigo kweli???Weka viulizo,Muziki ni Kipimo kwamba hii njemba alfu ulela,hadithi tu!</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">3.ANAONGEA SANAAAAA</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Hawa wapo wengi....Ahadi lukuki,mimi nomaaaaa...muulize flani,yule demu ananikumbuka mpaka leo....Ah yule nilimpa vitu akakimbia...oh vilee...Tuu machi perepepe! Mpe kinu,ulimi huu...</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Mwanaume anayejisifu sana kwamba anajua vyenga kama Messi ukimpa Penati anapaisha kama Nsajigwa...Kuwa nao makini,weka viulizo,maneno mengi vitendo hamna!</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-size: large;"><span style="font-family: "Courier New", Courier, monospace;"><span style="color: red;">4.HAWEZI KUKUANGALIA MACHONI HATA SEKUNDE</span> </span></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Connection ni kitu muhimu sana kwenye Mahaba...Aibu haina nafasi....Kama hamna connection kwenye Macho na huyo mtu,akikuangalia sekunde 2 anakwepesha macho jiulize anaogopa nini???</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Hawa ndo waleeee wataalamu wa kupenda giza,mkifika chobingo anafall in Love na Swichi....Mapenzi ya aibu ya wapi haya???</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Raha ya tunda liliwe mko Connected...Lazima Computer iwe na Internet connection na Modem ili uweze Kubrowse...Sasa Modem umezima unasurf vipi????</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Hakuna raha kama kuwa na connection ya macho,macho yana siri kubwa sana....Kuna wanawake ni Mabingwa wa kufake Orgasm,unaweza ukadhani unatwanga kweli maana hizo kelele kama kaumwa na Nge kumbe wala....Ukitaka kujua Fake orgasm ANGALIA MACHO,Hayadanganyi kamweee,utajua tu hili Gubegube LINAFAKE MAMBO!Chukua Siri hiyo,itakusaidia</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">5.TOO MUCH DRINKING,PIGA SANA ULABU MPAKA MASANGA YANAOMBA RADHI</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Mwanaume mlevi ni ngumu sana kum-satisfy Mwanamke! This is a fact.Wanaume wengi mnagongewa mademu zenu na Wake zenu kwa kuendekeza Pombe especially Bia...Vikao vya Bia haviishi,muda wa kukaa na demu wako au mkeo huna,unarudi umelewa unazima..hiyo moja,2 unapiga masanga unalewaaa,unakuja unaomba mechi,ukipewa vitu dakika 5 nyingi unamwaga Povu halafu unazima kama Trekta la Massey Ferguson...Kweli huyu Mwanamke atavumilia A ONE MINUTE MAN???</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Siku ampe mzee wa kazi anayejua kokoto ni kokoto na jiwe ni kaka yake kokoto,unakuta kalima lami...Muda si muda,Wanawake feelings zao kuibiwa rahiiiiisi,atakusahau,na hata ukiendelea kuwa wake hisa asilimia 80 kashapewa msela..Wewe upige usipige ye kashapata wa kumshushia Vitu...Mupe Muruke...Mupe...WEWE UNABAKIA BOYFRIEND JINA!</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Si ajabu hata wewe ni Boyfriend Jina tu,ila kuna mtu anaipiga hiyo kitu mpaka inabakia na rangi ya Royco...wewe lewa weeeee,yumba weeeee,mwenzio katulizwa tayari....NIMEMALIZA,Mwanaume hasifiwi chupa ngapi za Bia,anasifiwa 'KAZI'</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">6.CHUMBA CHAKE KIMEJAA UREMBO,PERFUME KIBAOOOO,PODA...JIULIZE</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Huyu Mme au Mwanamitindo??</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Hii ni subject to discussion...Wengine watasema usafi wa kawaida...Wengine watatetea sana ila too much of anything is harmful...Sisemi Wanaume tuwe wachafu,na tusinukie ila mmh...Pierre cardin,Prada,Gucci perfume...Mapoudah nini pale kati...Mwanaume dah,wengi wa dizaini hizi ni wachovu,YES,watavutia wadada kwa kung'aa lakini wadada mtakuwa mashahidi,hawa marioo wanaonukia nukia kila muda wanafuta viatu wanapiga kazi kweli????Mtanijibu kule kwa Wall...I DOUBT! Wengi Mjarabati hawawezi,wana mapenzi ya Mrabaha tu!Kipande hapa na pale ''Baby some water please,hoi!''</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">7.CHUMBA CHAKE KAMA CHA MFANYABIASHARA WA MBAO</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Ingia chumba cha huyu jamaa,rafuuu mbaya...atasema ye msela...</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Glasi chafu za juzi kwenye sinki full nzi....anasubiri umuoshee</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Mabegi kuleeee..Nguo chaliiii....Vitu ovyo ovyo....Hana mpangilio kwenye lolote lililomo chumbani...</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">watu wa namna hii wana dalili za ugoigoi..wavivu....</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Kama hawezi kupanga vitu room...vikapangika,ataweza kupangilia chochote kwenye Mahaba???Atajuaje aanze wapi..Kisha aguse wapi...Ashike wapi,na aingize wapi??Thubutu,utashangaa huyooooo kadandia...Baba mara hii????</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">8.SELFISH NA HAKUFIKIRII WEWE KWANZA</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Kuna msemo wa Ladies First...Si lazima utumike lakini we expect Gentleman autumie..na sio kwa kupretend!</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Mwanaume asiye selfish utamjua tu...He cares about his girl first..je,honey kashapata???kabla hajajifikiria...</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Ukiona Mwanaume anatembea fasta MWanamke yuko nyuma bila kujali amevaa High Heels amsubiri...Yeye kuleee mbele kama kuruta wa JKT demu wake yuko nyuma,as if hawako safari moja...Jiulize,why???</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Ukiona Mwanaume mnaingia kwenye gari yeye wa kwanza kashajifungulia mlango kazama,maskini demu wake yuko nje...Jiulize</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Ukiona Mwanaume muda wa kula,yeye kashajiwahi kanawa kaanza kula bila kujali mama yupo...Jiulize</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Hii ni mifano midogo sana lakini it shows jinsi gani huyu jamaa hajali presence ya malkia around him....Wanawake tumeumbwa tuwahudumie,vitu vidogo vinawafanya wajisikie kama wanapaa hivi,sasa wewe hata hivyo vidogo navyo kero,humpi...Sasa huyo ni mpenzi wako au Bodyguard???</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Aina hii ya Wanaume,hasara moja utakayopata wewe mdada ni kwamba mkifika Bed,hatajali wewe umefika Kileleni au Lah,Maadam yeye kashasuuza rungu na Wazungu wameshuka na ndege ya KLM,basi kwake kamaliza...Utajibeba mwenyewe,utajishushaje huko uliko is none of his business....Sasa we mwanaume ukiibiwa na washushaji wenye uzoefu utalalamika???BLAME UR OWN SELFISHNESS...</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">Kabla hujajifikiria wewe mfikirie yeye kwanza...Kabla hujafikiria kumaliza make sure naye kamaliza atleast Viwili flani ndo ushuke,sio unatua kama Ng'ombe bila kujali hali ya hewa..Uanaume sio hivyo baba!</span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red; font-family: "Courier New", Courier, monospace; font-size: large;">NATUMAI TUNAENDELEA KUPONA,KAZI NI KWAKO!</span></strong>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-20173380991836058862013-01-15T12:01:00.002-08:002013-01-15T12:01:40.236-08:00KAMA WEWE NI AINA HII YA MWANAMKE,YOUR BOYFRIEND MUST CHEAT NA USIMLAUMU<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Girls....You run this World right???Run it with your Brain!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Wanawake wamekuwa Mabingwa sana wa kulaumu Wanaume kwanini wanacheat sana..Na wanaamini kwamba Wanaume hawana Reason ya Kucheat maana wao wanadhani wamefanya yoteeee,sasa kwanini jamaa acheat??</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Leo naleta kwenu Aina ya Wanawake ambao wao wenyewe kwa hiari,wanafanya mambo ambayo ni Greenlight kwa Mwanaume kucheat...</span></strong><br />
<strong><span style="font-size: large;"></span></strong><br />
<span style="color: blue; font-size: large;"><strong>MASHARTI KIBAO KAMA FOMU YA MKOPO</strong></span><br />
<strong><span style="font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Hawa wanawake wana misimamo yao ambayo sijui wamefundishwa na Ngariba wa Loliondo au lah...Inapokuja suala la Bed Business,UTACHOKA! Kungfu si Kungfu...Taekwondo Si Taekwondo...Sarakasi si Sarakasi,ilimradi kero....Hataki umguse hiki...ukimgusa kile hataki,ye anataka kipondo alale....Mapenzi ni sanaa...Mapenzi ni Sayansi...Mapenzi ni maelewano ya wewe na yeye,anapenda nini,unapenda nini,maadam haombi kubadili Channel kutoka BBC kwenda Deutche Welle(Kula Tigo) sioni kitu ambacho ni kibaya kitandani...</span></strong><br />
<strong><span style="font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Sasa utaambiwa Mate ni Uchafu....Ukimshika nanihii ili umuandae awe Wet vizuri(na hii ni recommended kiafya kuepuka Unnecessary Friction wakati wa tendo), HATAKI,eti sijazoea kushikwa huko,,,Sasa ushikwe Pua au???</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Hataki kunyonywa(japo raha ni ya kwake)...Hataki kunyonya(BJ) eti ni uzungu na uchafu....Sasa ndugu zangu,haya ni Mapenzi au wazimu???Yaani nikurupuke tu,bila Maandalizi,bila kujua you are wet enough or not,nakurukia kama nadandia Bajaj...kweli???</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="font-size: large;"><span style="color: magenta;">Sasa Mwanaume huyu akikamatwa na kitoto kinachojua umuhimu wa Maandalizi,kikampa makamuzi,Mmeo/Boyfriend anakalishwa chali kama anasubiri Oparesheni ya</span> <span style="color: magenta;">Appendix,anashughulikiwa,akija kupewa mzigo You think huyu Mwanaume atakuwa na time na wewe???Muwe mnawaza...</span></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Mapenzi sio Biashara ya Usafi,kama unadhani Mahaba yana usafi umekosea njia,hakuna Biashara ya Uchafu kama Mapenzi,ila Uchafu wenye raha...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Ukiwa penzini huna tofauti na Chizi,akifika jalalani hachambui hiki nini na kile nini...Maadam kinalika basi ndo anaponea hapo...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="font-size: large;"><span style="color: magenta;">Kama Mapenzi yako yana masharti kama Dokta Manyaunyau,tafadhali tafuta biashara nyingine ya kufanya,hii</span> <span style="color: magenta;">ushafeli</span>...</span></strong><br />
<strong><span style="font-size: large;"></span></strong><br />
<span style="color: blue; font-size: large;"><strong>WAZEE WA MUDA</strong></span><br />
<strong><span style="font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Hawa ni mabingwa wa kuhesabu dakika....Utasikia humalizi tu....Jamani nusu saa bado upo tu huchoki....We mwanaume robo saa si tayari unanikomoa??Nani akukomoe wewe!!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">We Mwanaume hiyo ndo style gani....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Nani kakufundisha hii mbona hatujawahi kufanya.....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Sasa haya Mapenzi au Interview???</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Yaani muda wote mnapepeta ye anauliza maswali tu kama OCD wa Polisi Mabatini,sasa raha utasikia saa ngapi???Mwanaume anajipinda ili akufikishe wewe umekazana na Questionnaire yako....Mara kidogo filimbi hiyo.....utasikia Maliza bwana mi nimechoka..Yaani kauliza maswali weeeeeee,halafu anakwambia Maliza....Dah,ukute we ndo kwanza uko Chalinze,unaambiwa maliza,sasa sijui utafika Ubungo Stendi na Ungo....Kwakweli,kama uko hivi,sishangai Mmeo akicheat,kosa ni lako mwenyewe!</span></strong><br />
<strong><span style="font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: blue; font-size: large;">WANAWAKE MMENISIKIA????MASHARTI ZIACHIE FOMU ZA MKOPO WA BENKI</span></strong>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com7tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-41364193176720778832013-01-14T13:51:00.000-08:002013-01-14T13:51:12.414-08:00WAKATI MWINGINE SECOND CHANCE HAINA MAANA KWA BAADHI YA WATU,WANAITUMIA VIBAYA<span style="color: cyan;"><strong><span style="font-size: large;">Yes ,Lovers!</span></strong><strong><span style="font-size: large;">Once again,naleta mzigo mwingine muuthaminishe wenyewe...</span></strong></span><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Wote tuna mioyo na hisia,wote tunafall in love kila siku maana tuko tunatafuta Penzi la kweli...Penzi la kweli sometimes ni ngumu sana kulipata,ni safari yenye milima na mabonde..the journey is hard...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Katika pitapita yako,bahati nzuri ukaokota kijamaa au kidada,ukakipa moyo wako mwenyewe,una-expect kitautendea haki...kitakupa mahaba..Kitakupa mambo adimu,sio kama wale wengine ealioudundisha kama Kitenesi...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">.....Kiupe mdomo wako smile na sio mnuno kama ufudu...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">....Kiupe moyo wako sababu ya kupump damu kwa raha na sio kuuchezesha kiduku..</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">....Lakini wapi...Kinafanya tofauti na ulivyotegemea...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Inafikia kipindi unaamua,bwana basi! Enough is enough wanasema Waingereza!Unanyosha mikono juu hata kama unaamini wewe ni shujaa wa Mahaba..</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Umejaribu kila mbinu kufanya Love Life yako ikupe furaha imeshindikana....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">....Umejaribu kujifanya mjinga imeshindikana...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">....Umejaribu kujitoa,kumfanyia mpenzi mambo mazito ambayo hata mzazi wako humfanyii maskini,Ili tu,Penzi lako liende vizuri....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">LAKINI,Mtu unayemfanyia hayo yote,Je,Yeye anachukulia mambo kwa uzito sawa na wewe???Au umejitwisha Injini ya Scania peke yako???</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Mara nyingi watu tunaowapenda na kuwabeba mioyoni mwetu kwa uaminifu na Mapenzi na Huba,hawajali lolote...Wanakuona Kichaa tu,na pengine wanashangaa,kwanini huyu Mwanamke anahangaika hivi???Kwanini hili Lijanaume linanipenda hivi,halina kazi???</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">TATIZO LINAPOKUJA,Pale unapoamua its over,utashangaa!! </span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Mtu huyuhuyu aliyeonekana hajali lolote pamoja na Mapenzi yote uliyompa,anakuja kwa nguvu,Atapiga magoti,ataomba marafiki msaada wamuombee msamaha...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Anaweza kuita hata Matrafiki wamsaidie kukwamua gari lake limenasa...Unajiuliza,alikuwa wapi hadi amesubiri haya yote yatokee ndio aonyeshe umuhimu wako kwake kwa misamaha yenye ahadi kama nyingi kama Ilani ya CCM??</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">ANAOMBA UMSAMEHE,UMPE NAFASI TENA...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Unaona sio ishu,maadam kaomba unampa...Anajitahidi wiki ya kwanza,fresh...Ya pili poa....ANASAHAU...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Mnarudi kulekule,vichozi vyako vilivyojikusanya kwa Wiki 2 za Mapenzi ya Ampicillin vinamwagika tena mwaaaaaaaaaaaaa.....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Na aliyevimwaga ni MTU YULEYULE??</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Swali ni Je,NINI UMUHIMU WA SECOND CHANCE kwa mtu asiyeweza kuitumia Second Chance kujirekebisha????</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Upuuzi uleule.</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">...Makosa yaleyale..</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">...Ujinga Uleule.</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">...Mateso yaleyale,na maskini ya Mungu Moyo ni huohuo,unauongezea tu Ufa....Matundu....Vidonda.....</span></strong><br />
<strong><span style="font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: lime; font-size: large;">JIHURUMIE WEWE KABLA HUJAMHURUMIA YEYE....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kama kuumia unaumia wewe...Kama yeye alivyo na Moyo,na wewe unao pia,tena wa nyama....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Hata ukimpa SECOND CHANCES ELFU 8,kama habadiliki HAKUFAI...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Maana halisi ya Second Chance huonekana pale MPEWA anapogundua Makosa na Udhaifu na Kuitumia Second Chance kuonyesha kwamba Mapungufu yale ilikuwa ni Bahati Mbaya tu na Kujisahau.....</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kumis-Use Second Chance kwa Kurudia yaleyale ni TUSI kwako kwamba ''Wewe ni Mjinga kwa kunipa Nafasi ya Kukuumiza kwa Mara nyingine tena''...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Think twice kabla hujampa Mtu Second Chance,ANAMAANISHA au Anaiomba kwa sababu ipo kwenye Kamusi????</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">TAFAKARI</span></strong>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-10061445620425854542013-01-13T15:16:00.004-08:002013-01-15T11:23:56.461-08:00HALI HIZI ZIKITOKEA,PLEASE BREAK UP,HAKUNA ISHU TENA HAPO IMEBAKIA MAZOEA TU<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Haya tena..Mwaka 2013 ndo huo...Heri ya mwaka mpya!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">This is my first article of the year...Kwa wale walio In love na wako fresh hongera kwenu...Wale wenye Relationship Vichomi poleni sana na endeleeni kusali...</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Leo naleta hoja tena mezani....Vitu gani ukiviona kwa Mpenzi wako basi anza kupaki begi la Nguo usepe...Natumaini baada ya somo hili,utaenda na kuanza kuchambua kitu kimoko kimoko,upime,Je,ni sahihi wewe kuendelea kuwepo na huyo mtu au lah...</span></strong><br />
<strong><span style="color: #f9cb9c; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: lime; font-size: large;">1.KILA ANACHOFANYA SIKU HIZI KINAKUBOA</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Hii ikitokea maana yake ni nini???Hakuna analofanya kwako jema,kila anachojaribu kufanya whether its good for u lakini wewe inaku-piss off...Kuna jambo..Siku zote,mtu akikutoka rohoni,hakuna jema atafanya utaona..Hiyo ni dalili kwamba amekutoka moyoni..the love is dead...Ukimpenda mtu,utapenda mambo anayofanya,sometimes ni mabaya lakini you live with them because YOU ARE N LOVE.If what happens is the opposite,sepa!</span></strong><br />
<strong><span style="color: #f9cb9c; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="background-color: white; color: lime; font-size: large;">2.HUPENDI VILE ULIVYOMPENDEA</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kama ulimpendea alivyo,Nywele,Macho,anything...Ghafla Personality ile iliyokuvutia imepotea..Huoni uzuri wake anymore,unaona karaha tu,,,hata avaeje unaona hapendezi,nywele nzuri zinaonekana minywele au kipilipili...Mama,sepa tu...You have lost ur appetite in him,u wont eat him no more</span></strong><br />
<strong><span style="font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: lime; font-size: large;">3.PRIORITIES ZENU ZINADIFFER</span></strong><br />
<strong><span style="color: #f9cb9c; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Hapa ndo patamu..Umewahi kuona Relationship zenye argument kwenye kila kitu???Mama anataka wali baba ugali...Mama anataka kujenga Baba anataka gari...Mama anawaza kutoka Outing Baba ana hamu ya kulala...Moja haikai 2 ndo kabisa haisimami....Mtawezaje kukaa pamoja huku mnatofautiana mitazamo????Ikifikia hapa,bora ujichenge fasta,ukikazana utaumia</span></strong><br />
<strong><span style="color: #f9cb9c; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: lime; font-size: large;">4.HAUM-MISS AKIWA HAYUPO</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Zamani akiondoka tu unatamani arudi...Haipiti siku hujamuona....You miss texting na kumcall..</span></strong><br />
<strong><span style="color: #f9cb9c; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Siku hizi wala,unakata wiki asipotaka kukuona unakausha tu na unaona fresh....Asipokupigia na kukutext na ww unasahau kabisa kama anaexist...That Love is dead</span></strong><br />
<strong><span style="color: #f9cb9c; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: #f9cb9c;"><span style="font-size: large;"><span style="color: lime;">5.UNAONEA WIVU SANA WENZIO</span> </span></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Ukiona unaona sana wivu kwa wenzako wenye relationship na kuhisi wanafaidi sana jua kwako kumezama..Kama kwako kungekuwa salama ungejisikia ur better off kuliko wenzio na hata kama wanafanya jambo romantic kwako si ajabu maana nawe unafanya...Dalili kwamba what they have kwako imekufa inakukoroga nafsi,unatamani zama zirudi ila ndo zimepita,ni kipimo tosha kwamba Penzi lako limekufa</span></strong><br />
<strong><span style="color: #f9cb9c; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: lime; font-size: large;">6.UNAONA SANA NJE</span></strong><br />
<strong><span style="color: #f9cb9c; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Zamani hata pite mdada mcutie wala hukuwa na habari...Hata apite mkaka ananukia,unatembea kwa mguu unapewa Lifti wala huhangaiki...Ila siku hizi macho yamekutoka,Kikalio kidogo unakifuatilia kama taarifa ya habari ya BBC....Kila mkaka unaona Hes Cute,wow Hes cutee,,,Jua kwako kumeungua</span></strong><br />
<strong><span style="color: #f9cb9c; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: lime; font-size: large;">7.MAGOMVI HAYAISHI</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Kuna watu wanateteaga ugomvi..Kwamba bila ugomvi eti Relationship haigrow...Sawa!Lakini Kila saa??Kila Siku??Kugrow gani huko???Kila muda manundu,labda mnakuza ndonya!</span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Ukiona magomvi kila saa kwa vitu vya kiboya na kipuuzi,na haikuwa hivi zamani,Jiulize,KULIKONI???</span></strong><br />
<strong><span style="color: #f9cb9c; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: lime; font-size: large;">8.UMECHEAT/UMEMKUTA ANACHEAT</span></strong><br />
<strong><span style="color: #f9cb9c; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: magenta; font-size: large;">Hii ndo funga kazi,huoni tabu kucheat...Hata akijua poa tu...Hiyo ni dalili kwamba Jumba Bovu limeegama upande....When ur in love, there must be some Guilty Conscious in You....Ikipotea hiyo bhaaassssssssss..Ukiona manyoya ujue kaliwa!</span></strong><br />
<strong><span style="color: #f9cb9c; font-size: large;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: lime; font-size: large;">NI HAYO TU...JE,UNAYAONA KWAKO???TAFAKARI!CHUKUA HATUA!HAKI ELIMU!</span></strong>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-48894803845617266192012-10-30T16:25:00.000-07:002012-10-30T16:25:03.453-07:00WHY DO MEN LIE???<span style="color: #e06666;">Hahahahaaaa!!!!</span><br />
<span style="color: #e06666;"></span><br />
<span style="color: #e06666;">Mniruhusu nicheke kwanza....Girls, you wanna know????</span><br />
<span style="color: #e06666;"></span><br />
<span style="color: #e06666;">Sababu chache kwanini Wanaume ni waongo hizi hapa:</span><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">1. WANAJUA</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Uongo wa Mwanaume ni kama muvi...Kabla hajadanganya anapanga angle zote na majibu,ana-anticipate ataongea nn,utamjibuje,utamuuliza nn,na atakujibu nini...Wanawake hamuwezi,huwa mnapanic,na siku zote ukipanic umefeli</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">2. HATA TUKISEMA KWELI MNADHANI TUNADANGANYA</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Hii ndo ilivyo,na inaudhi...Kwa sababu tunadanganya sana,hata pale tunaposema kweli basi nyie mnatuona wezi...So hakuna maana kusema kweli,bora tuendelee na PHD ya uongo tu-graduate</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">3. WANAWAKE WANAPENDA UONGO</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Japo hawasemi lakini hili tumeliprove,Wanawake ukimwambia uongo ndo anapenda...whether kwa kujua au kwa kutokujua...Ukimwambia ukweli anakuona hamnazo...Ukimwambia Mwanamke kweli utajuta....Itakuwa ndo wimbo bora wa mwaka...Masimago na Rewind button...Mwaka mzima,ukikosea tu wanarewind ulichokiri..</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Waulize Wanaume waliowahi kukiri kucheat wakusimulie,wanajuta kwanini walikuwa na mahaba kuliko Bwana yesu...</span></strong><br />
<br />
<span style="color: lime;"><strong>4. UONGO KWENYE MAPENZI NI NDIMU KWENYE SUPU</strong></span><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Mapenzi ni sanaa na sayansi....Mapenzi sio engineering!</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Kama ndimu kwa supu ndivyo Uongo kwenye mahaba...kuan vitu unajua umedanganywa lakini unatolewa macho makavu inabidi uwe mpole..inabaki kama drama,na inaleta ladha flani ambayo ni ngumu kuielezea,japo wanawake wanaweza kuielezea how they feel pale ambapo wanajua wamedanganywa lakini hawana proof kwamba ule ni uongo...Mwanaume anashinda kirahisi...inabakia kama assignment flani hivi kwa Mwanamke kwamba next time lazima awe wise kidogo kumkamata...Na hiyo ndo ladha yenyewe na vionjo vya mahaba</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: lime;">SISEMI MDANGANYE,ILA NDIMU KIDOGO TU SUPU IPATE KUKUPA HAMU</span></strong>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-1661840609109072032012-10-30T16:01:00.000-07:002012-10-30T16:01:00.822-07:00WANAWAKE WAKICHEAT,WANA SABABU 4 TU,SI ZAIDI YA HIZO..HIZI HAPA<strong><span style="color: #e06666;">Ni ukweli usiopingika kwamba CHEATING is now a National Anthem...Kila mtu anaongea...kila mtu analalamika...Mapenzi na relationships yamekuwa magumu kwa sababu watu wanaogopa kuhusu ukweli na uaminifu wa wenza wao waliojitoa kwao kuwa in love...</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Watu wengi(ikiwemo mimi), wanaamini kwamba Wanaume ndio wanaongoza kwa kucheat...The reason behind is, Men cant get enough...Every time is tea time using any cup....Lakini pia,Mwanaume akicheat(in most times) hamaanishi kihisia tendo analolishiriki isipokuwa kujisatisfy hamu...Ndio maana,wanaume wanaweza kufanya mapenzi na mwanamke hata hamjui jina na wakaachana hawajuani majina....Thats not the motive..Jina la nini???</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Leo sikuja kuongelea hilo.....Today, Lets talk about Reasons which make WOMEN(Ambao wao wanajinasibu kwa kuwa waaminifu kwenye mahusiano), japo ushahidi unaonyesha nao hawavumi lakini wamo.</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Achana na Magumegume/Micharuko/Vicheche/Maharage ya Mbeya....Kwa wale wanawake ambao wako kwenye mahusiano na wanaya-value,ikitokea wakacheat,basi wanaongozwa na Reason zifuatazo:</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: lime;">1.MATATIZO YA MWANAUME ALIYENAYE.</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Hii huwa ni Lomg-term.Wanawake wameumbwa na software ya ajabu sana,wana uwezo wa hali ya juu ya kuvumilia....Kiu ambacho Wanaume hatuwezi! Wanavumilia mpaka vile visivyovumilika kirahisi....Kama Mwanamke ni mwema na mwaminifu lakini akapata Mwanaume ambae hamridhishi kwa kiwango anachotaka,na akashawishiwa aidha na roho yake,au mashosti,kwamba She can get something better...after a period of time ya uvumilivu,ATACHEPUKA....Ingawa roho itauma maana hajazoea,hakupenda iwe,lakini aliyekabidhiwa jahazi anasinzia,basi atampa mwingine mwenye uwezo wa kusimamia kucha,na akiisimamia vema basi ujue huyo si wako tena</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: lime;">2.REVENGE KWA HISIA KWAMBA UMEMCHEAT</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Hii nayo ni Long-term....Ukimcheat Mwanamke na akajua,itamuuma,lakini atasamehe(kama kawaida yao),itaendelea kumhunt ndani kwa ndani....Inawezekana kwa muda flani asipange kufanya lolote,lakini endapo litatokea jambo akabananishwa kwenye kona ambayo uwezekano wa kuchomoka ni mdogo,basi anaweza kutumia justification kwamba 'afterall mbona flani alinicheat',akajikuta anafanya ili kuweka mlinganyo sawa.Hii ni dhahiri....Wanaume,make sure you dont pin your girl in this corner,kwa sababu akianza na ikatokea jamaa amesimamia show vizuri inaweza kuwa mwanzo wa series ya yeye kucheat kwa kutumia justification ileile moja uliyomfanyia,na itakula kwako mazima...Itachukua muda kuanza lakini ikianza haisimami!</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: lime;">3. KAKUCHOKA-NO MORE SPARKS OF LOVE-NO EXCITEMENT</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Kwenye mapenzi kuna kuchokana,hilo liko wazi...Kama imefikia hatua ile spark iliyokuwa between you imeanza kufifia na hakuna njia mnayotumia wote waili ku-ignite pendo lenu upya,Mwanamke huyu anaweza kuanza 'kuwaka' na wanaume wengine wa nje,na akajikuta anatumbukia kwa mmoja au wawili ili kuweza kusaka Spark mpya.Wanawake wanapenda content...Sparks na excitement kwao ni kama Pie 22/7...Ndio maana haijalishi Mwanamke umemfanyia Shopping mara ngapi au umemnunulia zawadi mara ngapi,kwake kila Shopping au zawadi ni NEW EXCITEMENT.</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Akiikosa kwako,akaipata kwa mwingine,usimlaumu kwa kuchangamkia nje kwa sababu ni wewe uloiyeshindwa kusoma alama za nyakati na kushindwa kumpa sparks anazozihitaji....MEN.,play your part well.</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: lime;">4.KIPATO vs DHARAU NA WOGA</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Hii hutokea pia,japo ni 50-50...Si wanawake wote wakipata hela wanabadilika na kuanza kuwadharau wanaume wao,ingawa in reality Mwanamke akikuzidi hela,wewe kama Mwanaume unaanza kufeel weak hata kabla hajasema...Utashindwa kuperform kwa inferiority uliyoijenga mwenyewe,na Mwanamke huyo akiiona inaweza kumchange na kujihisi more superior....</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Akianza kupata feeling ya Superiority ataanza kumingle na Superior men ambao watampa new adventure ambayo wewe Mwanaume wake hauna....TROUBLE! Pamoja na hela zake,atajikuta anahudumiwa vitu ambavyo ww huwezi kumpa,atapelekwa trip za dinner Dubai bila wewe kujua na huwezi....Ataliwa hukohuko na hatasema...Slowly, ur love will die...Sio kwa sababu alipenda,ila Inferiority yako ilikumaliza mwenyewe.</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">MEN,Ikitokea mwanamke uliyenaye amekuzidi kipato,ONGEENI,mlijue hili linaweza kuwa tatizo na mjue how to go about it lisiwaletee shida,ili mwanaume na mwanamke muwe at peace na kila mmoja aheshimu nafasi ya mwenzie kama mlivyokuwa mwanzo</span></strong>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-47901400817388744892012-09-26T06:40:00.000-07:002012-09-26T06:40:20.269-07:00MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU ATOA LISTI YA WANAUME 322 ALIOWAAMBUKIZA NGOMA<strong><span style="color: red;">Kumekucha...</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Huku vyuoni sijui wanafundisha nini siku hizi maskini,naona ni ngono tu ndo somo ambalo wanafunzi wanafaulu sana...Matokeo yake ni kuambukizwa magonjwa makubwa...INASIKITISHA</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Mwanafunzi huyu wa kike ametoa listi ya wanaume 322 aliowaambukiza ngoma....Nia yake ilikuwa aambukize wanaume 2500 ila sio kazi ndogo..ameingiwa roho ya ubinadamu ameamua kustop sasa...Lakini Stop Watch yake imezima baada ya kuwa ametimiza listi ya Wanaume 322...Haya ni mafanikio ya asilimia 12.88 ya Target yake.</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Kwanini ameamua hivi....Mara yake ya kwanza kabisa yeye kufanya ngono...Hapohapo akaambukizwa UKIMWI....Wanafunzi mkiambiwa muende kusoma msome,Mapenzi yapo tu,hayana haraka,mnakimbilia mambo yasiyo na tija kwenu...Someni..Yatawakuta kama huyu dada.</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Chuo anachosoma ni Nairobi University...Picha yake hiyo hapo,mtoto mkaliiiiii,ukimtazama kwa macho lazima utupie mbichi maana kanona....Ila ndo ameshaungua sasa</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<span style="font-family: Georgia,Times New Roman,serif; margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><strong><span style="color: red;"><img border="0" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjQlrawYVOzJhI3lAgzZ_5dvyqdcfir2a0d9wzXbVB1g06dPTmAwbcw0Dh-6IP0bp4QQ2559HI5OGocjngyaLdIeQVfK1WBsCaBnZMKIqYOkzgHSw2BTBn2kPlpKFFXvDQ0vMNrU7wAqhg/s640/12mwisho3.jpg" width="640" /></span></strong></span>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-74302733586924954942012-09-25T15:03:00.009-07:002012-10-30T16:12:55.552-07:00SABABU KUU 3 KWANINI WANAWAKE WAMEAMUA KUKIMBILIA USAGAJI<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Ni aibu sana kwake..Kwa familia...Kwa jamii,na ndio maana wanajificha...Haiko wazi coz its awkward...</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Wanawake ni viumbe so complicated...They need perfection...Sometimes wamejikuta wakichukua hatua ngumu sana kwa sababu tu hawapati Perfection wanayoitaka katika kitu fulani..</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Mathalani kwenye masuala ya mahusiano,Wanawake wamekuwa wakilalamika sana,sana sana especially siku hizi,na wameamua kutumia SHORTCUT...Wameamua kuwa Wasagaji ili waweze kukabiliana na presha za vitu kadhaa vinavyowanyima raha....</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Usagaji ni kimeo...kibiblia ni DHAMBI NA CHUKIZO KWA MUNGU....Kibinadamu ndio kabisa,ni AIBU KUBWA....Kihisia ni Uongo mtupu....Kwa nguvu zote tuungane kuupinga usagaji...watoto wa kike wengine wazuri sana,warembo,ukiambiwa ni wasagaji hutaamini,lakini ndivyo!</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Sababu kuu 3 kwanini Wanawake wanashift na kuamua kuwa Wasagaji ni hizi hapa:</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: lime;">1.WANAUME WANAZINGUA</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Hii ndio Falsafa yao Mpya.Wanaume mizinguo! Wanawazinguaje...Hawana true Love...Wanawamixx na mademu kibao,wanaumia feelings...Kwahiyo kimbilio pekee ni kwa wanawake wenzao,maana they can control them...This is so fake...Mungu hakuwa mjinga kukuumba Mwanamke na akamuumba Mwanaume kuwa na Kiungo ambacho Mwanamke hana ili kikune pale,sasa huu mkuno wa Female kwa female,hata kama Wanaume ni mizinguo,si vema kuwa na Temporary Solution kwa Long term problem...Kwani zamani hakukuwa na Wanaume???why nyie tu mje na sababu hizi???</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: lime;">2.WANAUME WANASHINDWA KUKUNA IPASAVYO WAKIPEWA NAFASI</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Hili naweza kuwaelewa.Wanaume siku hizi wamekuwa mariyoo mno...Swagger kibao zimejaa..Mapenzi hayana Swagger,Mapenzi ni kazi,ukipewa Kifusi shindilia,unaleta Swagger Bed???Swagger hazilipi bili....</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Mtu asubuhi anakula Kababu...mchana chips yai..Usiku Soseji...Utaweza wapi kazi sasa???Wanawake wanataka mzigo,kuremba kwenu...Hili Wanaume mnabeba lawama zoteeeeeee,usipopiga kazi,aidha watapiga Wanaume wanaojua shughuli,au ndo hivi sasa wanaanza kushughulikiana wao kwa wao,maana wanajua wapi pa kugusa mwenzao aje...Wanaume acheni Swagger,ukipewa kazi kamua...</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: lime;">3.KUIGA</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Kila kitu cha West nanyi mmo...Ukiomna Marekani wanapromote unatamani kujua nn utamu wake...Mtaiga kila kitu????Iga vya maana,huu upuuzi achaneni nao,wazungu maboya,wanawalisha kasa mnapotea...ukianz hii kitu kuacha ni shughuli pevu sana...Mnaharibu wenzenu,mnaharibu watoto wenu mtakaopata..na mnaharibu jamii</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Chekini wenzenu hawa maboya hapa chini,sasa ndo nini hii??Raha ya utamu upewe na kidume,ILA kidume kijue kazi...</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Wanawake ni kwa ajili ya Mwanaume...Hasi na Hasi sio mpango...Mpango mzima Chanya na Hasi...</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">WANAUME....Pigeni kazi,hawa Wanawake hawataki stori mingi...kazi tu,we kula kula michips hiyo uone kazi</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-aQGLL-arvls/UDSrv0nh3XI/AAAAAAAALJM/SnV2GngOkLo/s1600/lesbian+girls.png" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><strong><span style="color: red;"><img border="0" height="374" src="http://4.bp.blogspot.com/-aQGLL-arvls/UDSrv0nh3XI/AAAAAAAALJM/SnV2GngOkLo/s640/lesbian+girls.png" width="640" /></span></strong></a>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-66852942080840934872012-09-15T02:29:00.002-07:002012-09-15T02:29:58.165-07:00NINI KIMEFANYA WANAUME KUTOKUWA NA HURUMA NA WANAWAKE THESE DAYS<strong><span style="color: red;">Iam back....Sorry kwa kuwa kimya kwa muda,hii ni kutokana na kubanwa na mmbo ya hapa na pale katika kujenga nchi...</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Leo tujadili hili...Na sababu kubwa iliyonifanya nilete mada hii ni kutokana na mambo ninayoyaona,watu wengi wanazidi kulalamika,na baadhi ya watu wa karibu wamekuwa wakinieleza jinsi wanavyoumizwa...Na hawa wengi ni wadada</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Wadada wengi siku hizi wanalalamika wanaume wamekuwa Mbwa...Na ninakubaliana nao kwa asilimia 100..Kweli Wanaume wamekuwa Mbwa haswa....Hawajali anymore...Lakini nini kimesababisha Wanaume kuwa Mbwa siku hizi...Twende pamoja</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: lime;">1.GENETIC REASON</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Kwa jinsi wanaume walivyoumbwa,wameumbwa wawe watu wa control...Na hii ni Kibiblia kabisaaa..Na hata socially iko hivyo</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Kutokana na hii sababu,ikitokea Mwanaume akakupenda kiukweli kutoka moyoni,ambayo ni nadra sana kutokea,anatamani awe na control,ambayo ni nature...Control over you in terms of Ownership...Akumiliki peke yake...Na kama amekupenda,akatamani akumiliki,halafu wewe ukashare milki yake,kitu kitakachotokea hapo ni hasira ya Usaliti uliotukuka sana ambao huwa hauponi kirahisi..Si kwa kupenda ila ni nature...Naturally,Mwanaume kugeuzwa fala ni Abomination kubwa sana..Hata ikitokea miaka 20 iliyopita,haiponi haraka.Msiwalaumu wanaume,haiponi haraka na kila siku,na kila saa ataingia in Love with the notion of what happened,hataamini tena katika kumpa Mwanamke moyo wake...Na hapo ndipo shida inapoanzia,hatajali...Ukiumia au Usiumie kwake yeye ni sawa coz Moyo wake hauko 100% invested so hes in his comfort zone.</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: lime;">2. HISTORICAL REASONS</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Wanaume kihistoria huwa wanakuwa na mahusiano mengi kuliko wanawake..Wanawake huwa wana sense of shame kwenye idadi ya wanaume wanaolala nao(with exception to bitches who dont care)...So kwa Mwanaume kuwa na listi ya wanawake 15 ni kawaida,wakati Mwanamke akifikisha 6 nafsi inamsuta kwamba sasa anajaza kontena...</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Hii imewafanya wanaume kuwa exposed na mambo mengi sana kuhusu Mapenzi kuliko wanawake....In 5 years,Mwanaume anaweza kuwa na mahusiano na Wanawake hata 10...KAtika hawa 10,kila mmoja alikuja na rangi yake...Huyu anamtenda kwa style hii...Huyu style ile...So in 10 girls,anakuwa amewajua Wanawake vizuri na all types...Akija kwako wewe Mwanamke wala anakuwa sio mgeni,ukifanya jambo anarecall nyuma kwamba kilipotokea hicho Something happened...Na kwa Mwanaume kama alitendwa kwa style hiyo 5 years back na mtu,halafu wewe unakuja kumfanyia remix leo,usitegemee huyo atakuwa na huruma na wewe...NEVER! Atajua whats next na hatojali kukupush hadi wewe unapotaka kufika,hata kwa fork-lift</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">In general,Mwanaume aliyeumizwa kamwe hatajali kwa sababu ataona wanawake wote ni sawa,which is not true,lakini Wanawake,epecially wa siku hizi mmekuwa Chronic,hamtabiriki kama Mvua za Dar,muda wowote zinanyesha bila Mamlaka ya Hali ya hewa kutrace your occurence,so wanaume wamejitune..Anytime wako Standby kama FFU na Maandamano ya Chadema,na hapa ndipo Wanawake wengi wanapoumizwa.Wengine ni wema tu lakini mmekumbana na Wanaume waliopokea visago ambavyo kupona kwake ni kwa neema ya Mungu,usipoweza kumtibu vizuri basi utaumia tu,na wengi wenu hamna muda wa kuwajua boyfriends zenu,mko bize kuomba hela za Mawigi tu....</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">3.MAMBO WANAYOYAONA</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Wanaume wanashuhudia vituko kila kukicha kwa marafiki,na ndugu zao wa kiume wanavyofanyiwa na wanajiuliza maswali mengi sana...Wameona rafiki zao wa karibu walivyotendwa baada ya kutendwa na jinsi inavyopain,na wengine hata wamejiua au wamekuta wakiua bila kukusudia kwa uchungu uliowapata.</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Hii inatoa alarm na Warning kwao kwamba kuwapenda Wanawake ni kitu hatari sana...Haya yanatokea kila siku na kila leo</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: lime;">USHAURI KWA WANAWAKE</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Unapoingia in love,kama umeingia nae inlove for future,find time kumjua huyo Mwanaume yukoje...Ametoka wapi...nini kilimsibu...Na Je,utawezaje kumsaidia kuiondoa negative notion..Usiassume Mwanaume uliyempata ni bikira kwamba atafall in Love....Watu wamegongwa sana huko nyuma,wanaumwa Love Concussion...Ukimchukua tu uakanza nae mahaba na mizinga juu hutajua wapi moyo wake uliumizwa,ur future dreams will die,I guarantee you...Find time umjue Mwanaume wako,Wanaume wengi wameumizwa huko nyuma na vidonda vya Wanaume haviponi kirahisi kama vyenu...Wanawake ni rahisi kusahau vitu,Wanaume sio..inawezachukua zaidi ya Miaka 10 kupona na mpaka apate daktari sahihi.Je, Wewe ni mwanamke daktari sahihi kumtibu ili ujenge family??Kama sio my dear ur finished.</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: lime;">USHAURI KWA WANAUME</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Sio kweli kwamba Wanawake wote ni sawa,ingawa percentage wise,wengi wanafanana...Nao wametendwa pia so siku hizi nao wamekaa standby...Find muda kumjua Mwanamke wako ni wa aina gani...Msaidie kama nae ana matatizo,if she is a visionary girl tafuteni where ur interests lie,mjenge familia...Sio vema kumjudge Mwanamke kwamba she is all the same kama wengine,wengine mioyo yao ni Mitakatifu kuliko Papa wa Vatican...</span></strong><br />
<strong></strong><br />
<strong><span style="color: lime;">ASANTENI!</span></strong>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-27041578241805629082012-07-26T02:13:00.001-07:002012-07-26T02:31:22.572-07:00MAKE YOUR BED ALIVE ILI UHUSIANO WAKO UDUMU<strong><span style="color: red;">Nimelazimika kuandika hili japo sikupenda sana kuingia so deep kwenye issue za Bed lakini nimegundua watu wengi wanakosea hadi hapa pia...</span></strong><br />
<span style="color: red;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: red;">Kuna siri kubwa sana kwenye Kitanda....Hapa ndio kila kitu kuhusu wapendanao wawili hutokea.Mtadanganyana mtaani,mtaenda Outing,Mtapeana maua,mtanunuliana zawadi,mtaenda Movie,Mtafuliana nguo na kupikiana,lakini mwisho wa siku lazima mfike NGOME KUU.....Ngome kuu iko kwenye Kitanda...</span></strong><br />
<span style="color: red;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: red;">Na hapa ni wote wawili wala sio Mwanaume tu,au Mwanamke tu....Kila mmoja ana matatizo yake</span></strong><br />
<span style="color: red;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: red;">Kuna wanaume wanakosea na wanawake wanaokosea pia..Shida kubwa ya kukosea mkifika ngome kongwe ni kupafanya ngomeni pawe sio exciting anymore na inakuwa utumwa....Nimewahi kuongea na watu kadhaa ambao kwao Love making sio issue tena,hawaifeel,hawana hamu,na ikitokea wamefanya basi ni kwa sababu ni wajibu tu jamaa anataka ila si kwa mapenzi yake...This is bad...Mi naamini hakuna mtu asiyependa kumake Love ila kuna watu wameharibu feeling za watu kiasi kwamba mtu anaona kumake Love ni kama adhabu,nothing is exciting in it wakati ni tendo la raha raha raha siku zote kama mkijua la kufanya.</span></strong><br />
<span style="color: magenta;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: magenta;">MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA UKIWA NGOME KONGWE</span></strong><br />
<span style="color: magenta;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: lime;">1.MAPENZI NI SANAA NA SAYANSI</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Huwezi kukurupuka tu linapokuja suala hili...Sanaa inatakiwa.Kama wewe ni Mwanaume jua una kazi kubwa sana kwenye hili jambo....Sanaa inaanza kabla hata hamjaenda,unamuandaaje huyo mtu mkiwa mnakwenda,Ile sio Quiz kwamba unamshtua mtu tu kama Amri,Bebii Quiz now...Bebi tufanye,ah ah...Mtengeneze kisaikolojia Mwanamke kwanza kwa maneno,ili aanze kufeel,na kama hayuko interested atasema,ni mbaya kwenda ngome na mtu ambaye hana hamu siku hiyo.Inawezekana ana mambo yanamsonga,ana stress fulani,MSIKILIZE.Sio kisa we umebanwa basi unakimbilia tu chooni,hapana</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Nimeongelea suala la kumuandaa mwanamke kisaikolojia maana wanaume Every time is tea Time...Mwanaume hata umshtue sa 10 usiku vitu utapata,wala hahitaji kupashwa moto kama kiporo,ukibonyeza tu swichi lazima taa iwake</span></strong><br />
<span style="color: magenta;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: lime;">2.UVIVU MWIKO</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Linapokuja suala la Uvivu...Hapa wote mnaingia...Kuna wanawake ni wavivu,wakiwa ngome utadhani kuku aliyebanikwa,mpaka mpishi akugeuze...Inaboa sana.Kama hutaki sema,ila Wanawake shurti kushughulika,usimwachie Mwanaume kazi yoooteee utafikiri we umeenda pale kuchinjwa halafu yeye ndo mchinjani,kitandani sio Kibla....Kukuruka!Muonyeshe na wewe wamo.Wengine eti wanaogopa wataonekana malaya,aliyekwambia hivyo nani???Mapenzi ni umalaya tosha,kuwa malaya kitandani ni ruksa na sio nje ya kitanda.kuwa malaya kwa Mmeo ni ruksa,si mmeo sasa usipompa umalaya wote utampa nani???Habari ndo hiyo</span></strong><br />
<span style="color: magenta;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: lime;">3.HARAKA MWIKO:UNAWAHI WAPI???</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Wanawake wenye haraka huwa sio wengi,wanawake wengi wanafaulu hapa,na hii ni kwa sababu wanawake ni receivers mara nyingi.Inawachukua muda kufika Kibo na ni mpaka upate mtu mwenye uwezo huo.Kasheshe hapa ni wanaume!</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Wanaume wengi ni very selfish,hawajali.Wao wana hamu,wakimaliza hamu zao wanalala,tena na kukoroma.Hawajui mwenzake alishafika kitonga au lah,yeye hana habari.Hii ni hatari sana kwa uhusiano wako.Siku mkeo akikumbana na wazee wa kusimamia kucha ujue umempoteza.Kuna watu wako bize,wanasimamia kucha kama wameajiriwa Rasilimali kiuno.Sasa wewe akija kwako unajipimia mwenyewe halafu yeye unamuacha hewani,usimlaumu kamwe akicheat,maana wewe umepewa kazi imekushinda,kama kuna mtu anaifanya perfectly afanyeje??</span></strong><br />
<span style="color: magenta;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: red;">Lakini je,na wewe mwanamke unamueleza huyo mmeo kama yeye ni selfish???Usikurupuke na kumwambia wewe ni selfish na hunifikishi,wanaume huwa hawajisikii vizuri,tafuta njia nzuri ya kumfikishia ujumbe huu in a good way maana wengine hii shule imewapitia kando.Muelekeze,usiogope,huyo ni wako kwahiyo muonyeshe ngoma inachezwaje,akimaster wote mtafurahi.Tatizo la wanawake hawasemi,wanauchuna halafu wanatafuta option za nje....Hii ni mbaya....Na wanaume wengi mkiambiwa mnanuna,sasa unanuna nini,kama humfikishi unataka amwambie nani zaidi yako wewe???Mkiambiwa muelewe na mtafute njia za kuweza kuwafikisha wake zenu lasivyo msilaumu mkisaidiwa!</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: red;">Dakika 5 Mwanaume tayari ushaamsha Mashabiki,unawahi wapi???Unakimbilia wapi???Kwa Mwanaume Kama kushuka utashuka tu,msubiri mama ajipimie visoda vya kutosha,Dance with her na Shuka pale tu mama akikuruhusu kushuka lasivyo ni Mwiko kwa Mwanaume kushuka kama hujapewa Green Light kutoka kwenye Traffic Lights za mkeo ushuke,lasivyo utavuka mataa na Red lights na hiyo ni Traffic Offense...Unawahi wapi?????Utapata ajali bure kwa haraka haraka zako!</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">4.COMMUNICATION ON BED IS POWER</span></strong><br />
<strong><span style="color: red;">Kwakweli hili ndio tatizo kubwa.Mshafika ngome,mnacheza ngoma...cha ajabu eti kuna watu hawaongei kabisa...Sasa utajuaje mwenzio anataka nini na amefika wapi,na ufanye nini ili awasili??</span></strong><br />
<span style="color: magenta;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: red;">Msiishi kama mabubu...ONGEENI! Na kama mlikuwa hamuongei anza leo itakusaidia sana sana...Kuongea kutawafanya mfike pale ambapo hamjawahi kufika....Kuongea kutamfanya Mwanamke akupe instructions kwamba uguse wapi ambako yeye anakunika....Kwenye Mapenzi,mwenye mtihani zaidi ni Mwanamke ambaye hadi afike kileleni ni ishu,msaidie yeye zaidi kwa kumpa nafasi ya kucommunicate nawe....TRUST ME,ukimruhusu Mwanamke acommunicate na wewe utaona changes...Atakwambia kila kitu,na utaenjoy.</span></strong><br />
<span style="color: red;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: red;">Build a better relationship,Mfanye Mmeo/Mkeo ajisikie raha ukimuita Ngome,maana wengine Ngome Kongwe pamekuwa eneo la mateso,hawaoni raha ya Mapenzi maana ukifika wewe huna ushirikiano zaidi ya kujifikiria wewe na hamu zako au kwenda pale kumridhisha tu fulani ila sio wote kufaidi.</span></strong><br />
<span style="color: red;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: red;">Raha ya Mapenzi ni wote kutoka pale mkiwa mnasema YESSSSS,This was the game,na sio mmoja anachekelea na mwingine anatoka kama alivyoingia,Huo ni Uonevu wa Kijinsia.</span></strong><br />
<span style="color: red;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: red;">Kwa leo tuishie hapa!</span></strong><br />
<br />Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-63582377751834045912012-07-23T07:21:00.002-07:002012-07-23T07:23:03.002-07:00DALILI 7 ZA MWANAMKE GOLD DIGGER...ANAENJOY HELA YAKO TU NA SIO PENZI LAKO<div class="statusUnit">
<div class="-cx-PRIVATE-fbTimelineText__featured">
<div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_50087786122807a13692741">
<strong><span style="color: red;">HIZI NI DALILI ZA MWANAMKE GOLD DIGGER....KAA HUMO,UKIONA UMEZIONA HIZI DALILI KWA MTU JIPANGE AU UKAE MGUU PANDE...MGUU SAWA</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">1. ANAOMBA UMNUNULIE KITU CHA BEI AU UMKOPE HELA NDEFU SIKU ZA MWANZO TU ZA UHUSIANO</span> </strong><br />
<strong>Hii ni dalili kwamba Mahaba/Ngono anayokupa unailipia bila kujua.Hakutozi hela ukimaliza tendo lakini few hours later au baada ya siku 1 tu,utapigwa mzinga baab kubwa ambao kwa namna moja au nyingine unatoa picha kwamba ni TIT for TAT,Nimekupa utamu wangu na wewe lazima Wallet yako itikisike kulipia utamu huo.Umewahi kukumbana na hii?????Umekumbana na Gold Digger!</strong><br />
<br />
<strong>2. <span style="color: lime;">ANAVAA VITU VYA BEI MBAYA SANA,ANAMILIKI SIMU GHALI AMBAZO WEWE MWENYEWE HUNA NA HANA KAZI</span></strong><br />
<span class="text_exposed_show"><strong>Haya sasa....Unawajua type hii??Ukimuona swagger zake ni za bei...Nywele feki (Wigi) bei mbaya,Viatu bei mbaya....Simu za Bei ghali..Nguo ananunua kwenye maduka ambayo bei zake ni za hatari hatari....Ukimuuliza anafanya wapi kazi...HANA KAZI....HANA BIASHARA....Shes just at home,kwa wazazi....Na wazazi wenyewe wala sio wa kishua kusema wanampa all these stuffs....Dingi atoe laki7 ya Weaving....Milioni ya iPhone na BB Torch....Wazazi wa namna hii walikufa na Azimio La Arusha...SIDHANI! Sasa anapataje vitu na kuweza kuvimanage na yeye kumanage kuishi expensive wakati Life yake na ya familia ni Poor....Jiulize!Na watajitetea sana lakini Je, Wanaokota hizo hela???Mbona sie hatuokoti???</strong></span><br />
<span class="text_exposed_show"><br /><strong> 3. <span style="color: lime;">HATA SIKU MOJA HALIPI BILI NA HATA AKILIPIWA HASEMI ASANTE</span><br /> Hapo chacha!Ni kweli kwamba siku ya kwanza wakati Mwanaume anakutokea lazima alipie misosi na nini...Si ndo amekuita kwenye Date????Hilo linaeleweka....Ila mshaenda Outing mara mia8....Zote anakausha...Ikifika mida ya Bili yuko bize na kujibu BBM,hataki hata kujua bili ni Sh ngapi maana vitu alivyokula ni vya bei na anajua bili ni maumivu tu....Atajifanya yuko bize,aidha meseji au anaongea na simu....Hapo jua ngoma inogile,Unguza tu wallet mwanangu....</strong><br />
<br />
<strong>4. <span style="color: lime;">ANATAKA KWENDA MIGAHAWA YA BEI TU,AU HOTELI ZA BEI GHALI KULALA NA KULA</span><br /> Hawa pia wapo,tena wengi...Wao madai yao eti ni watu wa CLASS.....Ukimwambia mkale mahali atakutajia sehemu ambazo wewe hata hujawahi kuwaza kula.....Lets go to Saverios tukale Prawns...Kitu elfu 70....twende sijui Pub gani....Mara level 8 is a chilly place...juice tu elfu 8.....mmmhhh.....Mwambie muende Corner Bar uone vita vya 3 vya dunia,,au sehemu tu ambayo ni nzuri ya kawaida..ooh pale kelele,mara pale sijui vile....Mwanamke ambaye hajali una sh ngapi mfukoni,yeye ana-assume una hela tu za kuunguza...Hawazi how to help her man to SAVE! Gold digger hawezi kuhurumia pochi yako,KAMWE!</strong><br />
<br /><strong> 5. <span style="color: lime;">ANGALIA MA-EX WAKE</span><br /> Ingawa si jambo zuri kufuatilia past za watu...lakini we fuatilia tu watu wa aina gani amedate nao...mara mwanamuziki...mara babu wa kizungu...mara mcheza mpira...mara movie actor...Jiulize,mbona hamna kajamba nani kwenye listi???That means she is selective...anajua huyu atampa kitu.wewe umeibuka unafanya kazi Bodi ya Misuli tanzania,utampa nini???atakupa mitihani mwenyewe hadi utafeli,maana hauko kwenye trend of men anaowataka<br /><br /> 6. <span style="color: lime;">LAZIMA AFUATILIE KUJUA UNA MSHAHARA WA SH NGAPI AU UNA ASSET NGAPI</span></strong><br />
<strong>Gold digger lazima akupige maswali haya....Baby kwani mshahara wako sh ngapi????Akijua mshahara anaanza kujiset kupiga mizinga.....Kama mshahara milioni 2 hawezi kuona hatari kuomba laki5 ya ghafla ghafla...Na ukimwambia huna utasikia..Yaani u cant give ur babe even laki5???Kwani ya kwako???ina maana mi sina matumizi yangu??sina wazazi???sina ndugu???sina mipango??yaani we utoke huko tu,naomba laki 5,kaichimbe ardhini kama ni rahisi kupata<br /><br /><br /> 7.<span style="color: lime;">UTAONA KIPOCHI BAADA YA KUFANYA TUKIO LA BEI MBAYA</span></strong><br />
<strong>Hii ni mbaya kusema lakini ndio ukweli.Msichana wa dizaini hii,hakupi penzi hadi ufanye kitu flani hivi ambacho kimeinvolve hela ndefu sana...Kwa mfano,Ukimnunulia simu ghali,na anajua bei yake....Utapewa penzi kwa sababu anajua imekuuma sana kutoa hiyo hela.....Umempa mtaji wa Biashara uchwara aliyokuomba,anakupa penzi....The whole relationship unakuwa kama unalipia penzi kwa changudoa,na bora hata changudoa coz una-bargain ununue wa elfu 20 au 30 kwa saa,hawa mizinga yao huwa ni bab kubwa,ukitoa hiyo hela lazima jasho likutoke!</strong><br />
<br />
<br />
<strong><span style="color: red;">KAMA UMEPATA DEMU WA NAMNA HII,NA NIA YAKO NI NZURI,AIDHA KUWA KWENYE SERIOUS RELATIONSHIP AU UJE KUOA,WAZA UPYA,UNAJITAFUTIA MATATIZO MAKUBWA SANA...SHE IS JUST A GOLD DIGGER MY FRIEND,SHE ONLY ENJOYS YOUR MONEY NOT YOUR LOVE!</span></strong></span></div>
</div>
</div>
<div class="fbTimelineUFI uiCommentContainer">
<form action="/ajax/ufi/modify.php" class="commentable_item collapsed_comments autoexpand_mode" id="uc29nq_68" method="post" rel="async">
<input name="charset_test" type="hidden" value="€,´,€,´,水,Д,Є" /><input autocomplete="off" name="fb_dtsg" type="hidden" value="AQBBEs8n" /><input autocomplete="off" name="feedback_params" type="hidden" value="{"actor":"375318399190923","target_fbid":"382927778429985","target_profile_id":"375318399190923","type_id":"22","assoc_obj_id":"","source_app_id":"0","extra_story_params":[],"content_timestamp":"1339617106","check_hash":"AQDBem2HZ8T_0NAV","source":"0"}" /><input autocomplete="off" name="timeline_ufi" type="hidden" value="1" /><input name="timeline_log_data" type="hidden" value="AQCA2BnH7gF2OTtqLF662fCOCFLyxWUcAcSstdo7Ld5G5K4NNlXIbyOZ_sojvg56L8E90vCihYEIL_47NmpHaXs4N_qLOml1Ztrmqd4HvPRRwKtPaUlHOfSFFfwAq9aVxnNz0_nd_VWUIx5U4s1T91PiPebm_LBni_93EBueecvZ826mhhdOhkX1ViPFkC5GhOWzUVcWKs4DDy-dFEQgHPPqy3stCO-9U5yg7aTO7RQUwDu9HNm1xJJuW8qJv74JyKWS9Uj6Haq2DFtN3DvIczFobBX2QqnPa2YHy76Q7Zn1Ki-8hrqvcW0Slt6AUS4rX2sY158TsB7aHulyk5DgDXpmjNNk8kJkH549s0j6czsH6PygagGLcu02y5OiFl3suhC_3nY1ggMWuCfwLnxMb2ir" /><br />
<div class="fbTimelineFeedbackHeader ">
<div class="fbTimelineFeedbackActions clearfix">
</div>
</div>
</form>
</div>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com5tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-5687910328059846462012-07-19T03:06:00.005-07:002012-10-30T16:14:35.461-07:00UKITENDWA NA MTU ULIYEMPENDA FANYA HAYA<strong><span style="color: #e06666;">Karibu kila mmoja wetu ametendwa,kwa namna moja au nyingine..Ni wachache sana ambao waliingia kwenye Mapenzi na wakafanikiwa kuoana na hao wapenzi wao bila kuhama baada ya kuumizwa na First Lover wake...Ila wengi tushahama nyumba kama 8(kadirio la chini) ndo kufikia hapo tulipo sasa</span></strong><br />
<span style="color: #e06666;"></span><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Uhamaji huu ni kwa sababu wale tunaowapenda,aidha hawatupendi in a same way,au wanajikuta wao wanatuhama,na hivyo inabidi tutafute nyumba nyingine ya kutusitiri...This is an on-going process,kila siku ya Mungu ipitayo,kuna Break ups,watu wanalia na kulia,kisha wanarudia tena...Ama kwa hakika Mapenzi ni machungu lakini watu wanayapenda no matter what...We keep on playing the Love Game despite of pains we get in the game...ila tutafanyaje sasa...Homoni ziko bize!</span></strong><br />
<span style="color: #e06666;"></span><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Wengi tulioumizwa na wapenzi wetu,wengine hatujaweza kusahau machungu ya First Men wetu...Thats true...Umempenda,ukamkabidhi bikira yako tukufu,jamaa akalikoroga,ukaachwa mataa ya Buguruni unashangaa..Unaishia kuwachukia wanaume...Haisaidii</span></strong><br />
<span style="color: #e06666;"></span><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Wale wanaume waliojitoa Mhanga,unampenda Mwanamke,unamzimikia(ambacho ni nadra sana Mwanaume kufanya),unamsomesha,unaingia gharama ukijua huyu ndio mkeo mtarajiwa,GHAFLA,linatokea jamaa kwa ulaini kabisa,linamwaga sumu baharini,Samaki wooooteee wanakufa...Huamini,umetumia gharama zote,na mahaba yote uliyompa kwa kujiminya kwelikweli,Sacrifice,hata babako hujawahi kumnunulia Batiki ili Mpenzi wako awe Clasic,jamaa kampitia fasta...Na demu anasepa huku anamwaga shombo kwamba HUJUI MAPENZI!Tusi kubwa sana kumwambia Mwanaume hili,atakuchukia milele,anaweza kukata roho huku anatukana jina lako.Umechukia wanawake,umeamua kuwakomesha,umekuwa Player,unawachezea na kuwaumiza wanawake kwa sababu ya Mwanamke mmoja aliyetibua nyongo,HAISAIDII!Na wala haitamaliza ile hasira,Kiu ya kuumiza itabakia palepale,hata uchezee wanawake 1000,atabakia moyoni tu!</span></strong><br />
<span style="color: #e06666;"></span><br />
<strong><span style="color: #e06666;">SASA UFANYE NINI PALE UMPENDAYE SANA ANAPOKUUMIZA????</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: magenta;">1.SAMEHE</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ngumu!Kila mtu anaguna aaargh,mi siwezi kumsamehe huyu Mwanaume,nimetoa Mimba zake 3 na bado kaniacha hana Shukrani!Hata ukimchukia ameshaenda,na ukimchukia hakutabadili zile mimba 3 ulizotoa ziwe watoto.Kumchukia kwako kunaufanya moyo wako uwe na Kinyongo,na hata ukikutana na Mr Right Man bado utakuwa na particles za woga na hasira,UTASHINDWA KUPENDA kwa moyo,kwa hofu ya kuumia...Dawa ni kumuachilia na kumtoa moyoni kwanza,hii itakufungulia mlango wewe kurudi kwenye Neutral Zone,ili Moyo wako uwe at ease,na love iendelee kuflow,lasivyo,utapishana na Muujiza wako wa Mme kisa una hasira ya jitu ambalo liko huko linakula zake raha,wewe huku unaendelea kuwa mtumwa wa Past.KAMWE,usiwe mtumwa wa Past,its gone,and you should move on!Hilo lilipita ili ujifunze kwamba wapo wa dizaini hiyo!</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: magenta;">2.KUWA MAKINI KWENYE SELECTION</span><span style="color: magenta;"></span></strong><span style="color: magenta;"></span><br />
<span style="color: magenta;"></span><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Usirudie kosa lile lile.Fanya screening ya kutosha(sio kama ya Questionnaire though),kama nia yako ni kuwa na uhusiano imara,kuna mambo ya kufanya.know the person better,familia yake,jua nia yake thabiti kwenye uhusiano huo,do some little test za kuprove kwamba he/she worthy it...ila isiwe too much...kuna tests huwa zinapiss off,unaweza kumpa mtu test akasepa,japo alikwa na nia...Ifanye kwa busara,usikimbilie tu mahusiano,ila kama unapass time,ize tu...Strong Relationships are built by Strong people...Jua level yake ya wivu,how anasolve matatizo yakitokea,ili ujue how to deal with taht person...Maana matatizo yapo tu,na wivu upo...jua Jealous level,jua Problem Solving mechanism yake...Ili yakitokea uhue fate.Kama ni mtu wa kupiga,au Mnunanji,Je,Uko tayari kuface Mnuno wa mwezi???Kama uko fit poa,go for it.Kama hauko fit usiforce,hata awe handsome au Gorgeous namna gani.Ndoa ni kimeo cha Milele,kuna vitu they look simple but in long run,they are so complicated....Msimamo wake wa Kiimani pia ukoje????Hili watu wanali-overlook sana,ila ni CRITICAL....Wote ni dini moja???Au mmoja Musilamu wewe Mkristo??Can u make it????Msichukulie poa tu,Tofauti za kidini mnaweza msione madhara yake ila ni msala...Watoto wakizaliwa ndo mtaona kazi,Wakwe watakuja juu,aitwe Asha au Neema,ndo utaona kazi..mtoto asali Msikiti wa Bin Jumaa au Lutheran Mbagala???THINK TWICE!</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: magenta;">3.FALL IN LOVE</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Baada ya choice kufanyika kwa umakini na una uhakika na mtu,Please FALL! Usianze maswali,sijui huyu atakuwa kama yuleeeee???Ah ah...ukianza questions tu,moyo wako hautafunga completely.Maadam umefanya Screening kwa uhakika,na kwa muda wa kutosha,na umesema huyu ndiye,basi FALL!</span></strong><br />
<span style="color: #e06666;"></span><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ni balaa kushindwa kufall eti kisa uliumizwa nyuma,si nzuri kabisa...utajikuta kosa kidogo unakimbilia Break Up maana BREAK UP kwako ndio SAFETY ZONE.Hii sio njema.Umemchagua mwenyewe,Give Him/Her your all,and allow Him/Her to give asilimia zote za mapenzi kwako</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: magenta;">4.TALK ABOUT YOUR RELATIONSHIP SO OFTEN AND CARE FOR MEMORIES</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ni vizuri kuongelea wapi mmetoka na wapi mnakwenda....Mara kwa mara ongeleeni how mmekutana,ilikuwaje...ingekuwaje kama msingekutana pale..Share how you feel for having him/her...Muonyeshe kwamba yeye ni wa thamani na ameleta mabadiliko kwako///</span></strong><br />
<span style="color: #e06666;"></span><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Kumbukeni Anniversary ya uhusiano wenu hata kama hamjaoana....Kama mlikutana April 15 kwa mfano,.Mnaweza kuwa mnakumbushana Kila Tarehe 15 ya mwezi kwamba mmetimiza miezi 6,au miezi 7...It shows kwamba ur happy with the relation...Lakini Pili,it shows kwamba you are going somewhere and you cherish the journey....</span></strong><br />
<span style="color: #e06666;"></span><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Trust me,This works...Hakuna ujanja mwingine wa kuwa na Penzi imara zaidi ya kulipenda penzi lenu kwanza....Epukeni maneno ya watu...Wakiona mnapendana wataanza chokochoko,utasikia maneno kuhusu Mpenzi wako...Mara hivi mara vile....Msiwajali,as long as nyie wenyewe wawili mnajua nini mnafanya na mnaaminiana,TRUST IS EVERYTHING...Kamwe msipoteze TRUST....Mkipoteza tu,amini amini nawaambieni,Mahaba yenu yatazama hapo KISIWA CHA CHUMBE!</span></strong><br />
<span style="color: #e06666;"></span><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Kwa leo inatosha!</span></strong>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com3tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-92025376307772284602012-07-13T00:38:00.000-07:002012-07-13T00:38:14.985-07:00USICHUKUE USHAURI WA KIFEDHA KUTOKA WATU WALIOFULIA...DONT TAKE FINANCIAL ADVICE FROM BROKE PEOPLE<div class="text_exposed_root text_exposed">
<strong><span style="color: #e06666;">Tangu lini Matonya ombaomba atamshauri Manji ajenge ghorofa Samora Avenue??Sanasana atamwambia ghorofa litaanguka blaza bora ufuge ng'ombe hata akiumwa utachinja ule nyama...Narrow thinkers will always give you Narrow Ideas.</span></strong></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<br /><strong><span style="color: #e06666;"> </span><span style="color: lime;">Do not take Financial Advice from Broke people!We unadhani watakushauri nini???Mawazo yao yamefungwa kwenye umaskini,hawaoni opportunities hata zinazopita kwenye Kope za macho<span class="text_exposed_hide">...</span><span class="text_exposed_show"> yao,kamwe usiombe ushauri watu hawa,wamefulia kuanzia Mfukoni hadi mawazoni.Ni waoga,na usidhani mtu mwoga atakushauri kitu cha kijasiri.</span></span></strong></div>
<span class="text_exposed_show"><div class="text_exposed_root text_exposed">
<br /><strong><span style="color: #e06666;"> Ni sawa na mtu aliyeachika kwenye Ndoa awe ndo Kungwi wako wa kitchen Party,Jiandae kwa talaka tu ndugu yangu!Watu wengi wameshindwa kujikwamua kwenye umaskini kwa sababu tu wameomba ushauri kutoka kwa Wrong people........</span></strong></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<strong><span style="color: #e06666;">Wahenga walisema Ukitaka kunukia waridi kaa na waridi,ukitaka Mafanikio ongea na watu waliofanikiwa,hao wanazo mbinu za kukufikisha mahali ambako wao wamefika.Division 0 akikufundisha wewe mbinu za kufaulu basi usitegemee utapata Division 1,jiandae kupata Division Negative,kama ipo!</span></strong></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<strong><span style="color: #e06666;"></span></strong> </div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<strong><span style="color: #e06666;">Watu wengi wana mawazo yenye thamani ya GOLD,wanaenda kushea mawazo hayo kwa watu wenye thamani ya Madini ya Ulanga....There will be no added Value...Gold should stay with Gold because its more valuable....Labda Ulanga uje kwa Gold ili uongezewe thamani,and not vice versa.</span></strong></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<strong><span style="color: #e06666;"></span></strong> </div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<strong><span style="color: #e06666;">Your finacial Breakthrough itategemea na aina ya watu unaowakaribisha katika maisha yako,hawa wana-kuaffect kwa namna moja au nyingine...Kama wewe hutawaaffect wao,basi watakuaffect tu....Wataua ndoto zako kubwa kwa sababu wao hawana ndoto kabisa au ndoto zao ni za kitoto.</span></strong></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<strong><span style="color: #e06666;"></span></strong> </div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<strong><span style="color: #e06666;">Amua leo,Je,una ndoto kubwa ya ku-achieve???Look for the right people to nourish it....Sit down with them,watakuonyesha njia</span></strong></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<strong><span style="color: #e06666;"></span></strong> </div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<strong><span style="color: #e06666;">Ukiendelea kukaa na hao wasio na msaada utabakia hapohapo na usipoangalia utaanguka kabisa.</span></strong></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<strong><span style="color: #e06666;"></span></strong> </div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<strong><span style="color: lime;">UAMUZI NI WAKO!</span></strong></div>
</span><div class="text_exposed_root text_exposed">
</div>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-58653718712934458152012-07-10T06:43:00.007-07:002012-07-10T06:43:40.769-07:00NO LOVE WITHOUT TRUST...JINSI YA KURUDISHA IMANI ILIYOPOTEA KWA MPENZI WAKO<strong><span style="color: #e06666;">No Trust No Love...</span></strong><br />
<strong><br /><span style="color: #e06666;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Penzi bila Kuaminiana ni sawa na Kuku asiye na Firigisi,bei rahisi sana aisee...</span></strong><br />
<strong><br /><span style="color: #e06666;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">And when the trust is lost,si rahisi kuirudisha...Relationship nyingi zilizoishiwa Trust hufa kibudu,chache sana zimeweza kuibuka tena baada ya kazi ngumu na shughuli pevu sana.</span></strong><br />
<strong><br /><span style="color: #e06666;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Kuna sababu nyingi sana huua Trust among Lovers...Wengine wamefumania Wapenzi wao red-handed kitandani au gheto anauza Share bila ruhusa ya Menejimenti...Wakakosa pozi,wakalia,wakadhani wamesamehe lakini inawauma sana,kila wakikumbuka kile kitendo wanahisi things will never come back to normal...</span></strong><br />
<strong><br /><span style="color: #e06666;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Wengine wamekuta Meseji kutoka kwa Wanaume/Wanawake wengine kwenye Simu za wapenzi wao,ikawaua nguvu....Hakuna Cheating rahisi,na Wameshindwa kuwaamini tena no matter how many months have passed....</span></strong><br />
<strong><br /><span style="color: #e06666;"></span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Inataka moyo sana kujikakamua na kurudi Mwanzoooo...Kama hakuna kilichotokea,wengi hawawezagi kurudi pale....Inataka Moyo! Wengine wanajikuta wanalipiza kwa kutafuta kidumu,kama alifanya basi atafanya tena,aah ngoja na mimi nitafute cha kwangu ili twende sawa...KOSA! Akigundua,there will never be a relation, it will die completely</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">FANYA HAYA KURUDISHA TRUST ILIYOPOTEA</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">1.Admit</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ukikumbana na kimeo,hakuna kujifanya wewe mjuaji,ADMIT kosa..Kama akiamua kukusamehe,asamehe,akiamua kukuacha akuache....Ukijifanya kidume kukataa kosa kumbe mwenzio anajua kila kilichotokea,atakaa kimya na atakulipizia in a place hutaamini. Hakuna ujanja kwenye hili,if you are in love with that person,show that ur regreting and you need to change!</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ubishi unaonyesha kwamba ulichofanya ni kawaida,na kwako sio kosa na haikuumi,and thats bad</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">2.Be Open and Honest</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Baada ya kimeo kutokea,umeshaadmit you were wrong...Kifuatacho ni kumuonyesha kwamba kweli umedhamiria kutokurudia kosa</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ule uwazi ambao mwanzo haukuwepo,hapa ndio mahala pake....Kuwa muwazi,usiwe na hidden issues,hidden agendas ambazo kwa namna moja au nyingine ita-trigger Mawazo kwamba kuna mambo bado unafanya kwa siri.</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ratiba zako ziwe wazi,wapi ulipo,unafanya nini...Na usisubiri kuulizwa ukipo,ifanye iwe daily habit,ukizoea utaona rahisi,ukisubiri uulizwe utahisi uko Misri utumwani</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Mfanye akuone wa tofauti kwa kuwa muwazi...Itamsaidia kupona na kusahau lililotokea.Ukijifanya Hero kuendelea kuficha,kile kidonda hakitapona!</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">3.Act Differently to heal Him/Her</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Kila kilichokuwa kikwazo mwanzo jaribu kukirekebisha.Haina ujanja,ndo ushaharibu,lazima ufanye kazi kubwa sana kurudisha upya....Na usihisi kama ni mzigo maana umejitafutia,umejenga na ukabomoa mwenyewe,so ni kazi yako kujenga tena.</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Mtoe out kadri uwezavyo,Talk openly,Mshirikishe ratiba zako,Plan zako na kila kitu,ajihisi upya na kwamba sasa ur TOGETHER....Mfanye akuone mpya this time.</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ukifanya haya,ni kweli itachukua muda maana TRUST iliyopotea ni ngumu sana kurudi maana shetani ni yuleyule,kabadilika manyoya tu...Ni ngumu ila ukiinvest enough time and energy utaweza lasivyo be ready for a Bye Bye Kiss!</span></strong>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com3tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-59866433378528402352012-07-06T02:37:00.003-07:002012-07-06T02:37:59.531-07:00AUNT EZEKIEL AFUNGA NDOA KIMYAKIMYA DUBAI<strong><span style="color: #e06666; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Msanii Maarufu wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel ameripotiwa kufunga ndoa na Mchumba wake ajulikanaye kama Sunday Dimonte nchini Dubai, Falme za Kiarabu (UAE)</span></strong><br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiZBWUwp0s7yEEKIA5f73XV4ApLbw-AosbPlJtDgiS6kgAGHtgQBDXf9wCeodT8yR7K_T1ZCecUPqWB-cq0L7NUyNcREoKkp3fS1lRp1TpA3uNoCya7pZ6Pzdft6eVlwa58JY0hQpF6Wx9d/s1600/ANTI.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiZBWUwp0s7yEEKIA5f73XV4ApLbw-AosbPlJtDgiS6kgAGHtgQBDXf9wCeodT8yR7K_T1ZCecUPqWB-cq0L7NUyNcREoKkp3fS1lRp1TpA3uNoCya7pZ6Pzdft6eVlwa58JY0hQpF6Wx9d/s640/ANTI.jpg" width="504" /></a></div>
<br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Ndoa hii inaripotiwa kufungwa June 17, wiki 2 tu zilizopita.</span></strong><br />
<br /><strong><span style="color: #e06666; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Habari zinadai kuwa, Aunt alifikia uamuzi huo baada ya mwanaume huyo
kumwambia hawezi kuvumilia umbali uliopo kati ya Tanzania na Dubai hali ambayo
Aunt alihofia kupigwa chini.<br /><br />Waandishi walimsaka Aunt
kwa njia ya simu ya kiganjani akiwa Dubai, alipopatikana na kuulizwa kama kweli
amepigwa pingu za maisha, alifunguka:<br />“Ni kweli nimefunga ndoa huku Dubai
lakini nimesikiasikia kuna watu wanasema nilifanya siri. Siyo siri, ila huku ni
mbali na huko nyumbani Tanzani, isingekuwa rahisi kuita watu wangu wa
karibu.”<br />Paparazi: Kwa hiyo ndiyo imetoka hiyo?<br />Aunt: Hapana, nitakaporudi
nyumbani nitafanya sherehe, nitaalika watu, hata wewe, tena itabidi unichangie
jamani.<br /><br />Ngoja tuone akirudi itakuwaje.Kama ni kweli, Aunt Ezekiel atakuwa amejiunga na wasanii wengine wa Bongo movie waliowahi kufunga ndoa kama Irene Uwoya na Wastara.</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;">Tunaomba iwe hivyo!</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">HABARI KWA HISANI YA RAFIKI YANGU JOHN KIANDIKA</span></strong>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-14309054652880204022012-07-05T07:46:00.002-07:002012-07-05T07:46:19.334-07:00SABABU 3 KUU KWANINI WANAUME HAWATAKI KUOA<strong><span style="color: #e06666;">Dunia imechange sana...Zamani Mwanaume kufika miaka 30 hajaoa ilikuwa hatari,mwiko kwanza maana wazazi na ukoo wote watakukalia kooni..Ila siku hizi,aaah,watu hawana habari,wanatafuta watoto tu kwa kuzalisha Wanawake wa watu halafu basi...Hawataki kabisa Commitment.</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Inaonekana kama ni Lifestyle ambayo ilianza mdogo mdogo,ikapenetrate,na ni kama inaanza kukubalika maana ongezeko la Wanadafada kuzaa tu bila mpangilio,bila ndoa linakuwa kubwa sana,na kwao inakuwa Simple tu,yaani Freshhh...</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Kwa kutambua hili,Wadada hawana habari...Wanasema kuolewa ni utumwa,heri wazae.....Na Wanaume nao wanasema kuoa mh mh,bora wapate mtoto walee,ila kuweka mtu ndani ah ah,kimeo.</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Feeling zote 2 zimegongana,na zimeshabihiana halafu zikakubaliana,bila kuwa na majadiliano yoyote...Imetokea tu...</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Kila jambo lina Origin...Kuna chanzo...Kwanini hali hii itokee siku hizi tu,ni utandawazi...Ni mabadiliko ya Tabia nchi...Ni nini haswa???</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Lazima kuna jambo...</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Source iliyosababisha inaonekana ni Wanaume....Wanaume wanaonekana hawapendi kuoa siku hizi,lakini kwanini wasioe...Why siku hizi na Sio zamani ambapo ilikuwa ni fahari kwa mwanaume kuoa...Miaka 20 mtu ameoa na Watoto juu...Ila siku hizi walaaaa...</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Hata Wanaume hawakupenda,ila kuna sababu zimesababisha wasipende kuoa....Kuoa ni a very nice Feeling lakini kuna vitu Wanaume hawataki na ndo maana hawaoi....</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Leo tuangalie SABABU 3 ambazo zinawafanya wanaume WAPOTEZE HAMU YA KUOA</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">1.1961 REASON...ITS ALL ABOUT UHURU</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Tanzania ilipata uhuru mwaka 1961!</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Hamna kitu Wanaume wanapenda kama UHURU</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">If una boyfriend,na unafanya mambo ya kumnyima uhuru,asilimia za huyo jamaa kukuoa ni 0.01%,Trust me!</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Kama the best u can give ur man is Harassment....Questions kibaooooooo....Kumpangia ratiba zako ili yeye afit aache mambo yake,na kila siku unataka priority,SAHAU NDOA!</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ukikutana nae tu umekimbilia simu,huyu nani kakutext,mara huyu si nlishakukataza kuchat nae..Khaa!!</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Uliza walioolewa walifaulu vipi huu mtihani,huu ni kama Mtihani wa Hesabu kwa Mwanafunzi wa Form 4,ukifaulu huu,umejiwekea hazina,trust me! Mpe mwanaume uhuru kwanza then ndo uongee mambo mengine,hapo mtasikilizana na hata ratiba zako zitafit kwenye uhuru wake,Dont try to put urself as the Most Important,ul loose! Akisema anaenda kuwatch mpira we unamwambia arudi home mwangalie movie,what the heck?Why movie na sio Football anayopenda???Sawa kuwatch movie sio dhambi lakini kwanini ugonganishe ratiba na unajua anapenda mpira?Hapa unampa definition kwamba unakuwa dominant na hakuna kitu kibaya na sumu kama wewe kujaribu kuwa Dominant,unajifanya Transformer..Dont be this kind of a Girl,He will end up being a Boyfriend,and He will never move a step ahead,akimove ujue Kibuti!</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">2.WANAWAKE MIMI-TYPE</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Aina ya wanawake wanaojifikiria wao tu...Baby naomba mtaji wa Maembe..Baby naomba mtaji wa Mabungo...Baby nataka kuanzisha biashara ya Nguo na Vipodozi....Why cant you say baby,kutegemea mshahara sio vizuri kwanini TUSIANZISHE BIASHARA ambayo ITATUINGIZIA KIPATO EXTRA....Unaona utofauti????Collective statements..onyesha kwamba na yeye ni Inclusive.Sio MIMI this MIMI that....Be the kind of a Woman who gives an idea...Make sure he understands it...And ensure he takes it further and Control its implementation</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Tangu uanze uhusiano wako na huyo Mwanaume umewahi kumshauri kitu gani ambacho siku akitaka kukumwaga atasema dah This girl did this Let me be considerate,Kipo kweli,halafu unataka ndoa????Sio idea za kununua Soksi na Boxer,Idea constructive ambazo zilichange maisha yake...HAKUNA! Sasa nani akuoe??</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">3. MWANAMKE DIVIDER</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Aina hii ya Wanawake ni wale ambao wanaingia kwenye Maisha ya Mwanaume fulani halafu wanataka wawe kama MD hivi...Wamemkuta jamaa ana Marafiki zake,Mabesti kweli,wametoka mbali na huyo Mwanaume hujui wamemtoa wapi,wamemsaidiaje hadi hapo alipo....anaanza kutoa Opinions kuhusu hao watu...Fulani achana nae namuona kama hana lolote....Hivi Fulani anakusaidia nn...Halafu flani simpendi anaongea kweli...Hapo jua ushachemka....</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Hamna vita ngumu kama vita ya kumchagulia Boy wako Marafiki na kujifanya HR una-screen uliowakuta eti wewe huwapendi...Huwezi shinda hiyo Vita I guarantee you,na ukiona umeishinda jua kuna kimeo mbele</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ukishinda hiyo vita na uhusiano wako utakuwa chali,unless huyo Mwanaume awe Bushoke type ambaye hana msimamo lakini siku zote ukipigana na Mashemeji ambao ni Close friends wa Jamaa YOU WILL LOOSE</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">When it comes to Men,Marafiki are more than Parents.They know kila kitu hadi ambavyo wazazi wake hawajui,na si ajabu hata uwepo wako kwenye maisha yake walichangia mawazo na kukuscreen kabla,na kumshauri akuchukue,lazima aliask opinion...Sasa umeingia unajifanya HR,wanaku-Ulimboka fasta utashangaa.</span></strong>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-36632334483102004912012-07-04T02:33:00.000-07:002012-07-04T03:34:56.116-07:00KUNA STAA ANAMWAGA HELA KWENYE TWITTER...PLEASE FOLLOW HIM AND GET SOME CASH<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhpjsHaD_x7azBfz4dhNMsMN3YKEu3QUrv607K8xR-ZpcZbEE2in4ZyFwKBKR8PthiHB1leVuHICdLc6hyNxZCN1um_4-ySRU1-spSzMlzSNS8f6QHNpgRNB5Cdle1Jfa7CVcV2DgQ5amVs/s1600/don" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><strong><span style="color: #cc0000;"><img border="0" height="428" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhpjsHaD_x7azBfz4dhNMsMN3YKEu3QUrv607K8xR-ZpcZbEE2in4ZyFwKBKR8PthiHB1leVuHICdLc6hyNxZCN1um_4-ySRU1-spSzMlzSNS8f6QHNpgRNB5Cdle1Jfa7CVcV2DgQ5amVs/s640/don" width="640" /></span></strong></a><br />
<br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Huyu jamaa amezaliwa akiitwa Michael Collins Ajere</span></strong><br />
<span style="color: #e06666;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Mwaka huu ametajwa kama Mmoja wa Celebrity mwenye Nguvu Africa akishika namba 36(The 36th Most Powerful Celebrity in Africa)</span></strong><br />
<span style="color: #e06666;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Amezaliwa November 26 mwaka 1982 na yuko kwenye Industry ya muziki.</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Wengi wanamfahamu kwa jina la Don Jazzy</span></strong><br />
<span style="color: #e06666;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ni producer maarufu sana nchini Nigeria na Duniani kote akiwa ameshiriki kumuweka mwanamuziki D'BANJ hapo unapomuona leo hadi kuchukuliwa na Kanye West.Actually D'BANJ na DON JAZZY ni childhood friends,wamecheza na kukua pamoja hadi kufika kufanya kazi na kupata mafanikio waliyonayo leo!</span></strong><br />
<span style="color: #e06666;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Don Jazzy ndo ametengeneza Album 2 ziliyomtambulisha D'BANJ, Tongolo mwaka 2004 na No long Thing mwaka 2005 akiwa na lebo ya Mo Hits Records na swahiba wake D'BANJ.</span></strong><br />
<span style="color: #e06666;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Mwezi May, 2012 baada ya D'BANJ kujitoa Mo Hits records na kwenda kufanya kazi na Kanye west, Don Jazzy alianzisha Record Label inayoitwa MAVIN RECORDS.</span></strong><br />
<br />
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgqpXOVXL37XRlrh_VtB_YrXXvfgodALSvPBh-528QbH3GZwZEU_i89pqbSFAHwIXVHN75GPUw0l7mBJ9hQ8T-IXeGon_HXqoIXRLVYbEDNy1gK1mC0rcpz2SbAqfBz93O_4qZKO6OpKb3m/s1600/don+5.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><strong><span style="color: #cc0000;"><img border="0" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgqpXOVXL37XRlrh_VtB_YrXXvfgodALSvPBh-528QbH3GZwZEU_i89pqbSFAHwIXVHN75GPUw0l7mBJ9hQ8T-IXeGon_HXqoIXRLVYbEDNy1gK1mC0rcpz2SbAqfBz93O_4qZKO6OpKb3m/s640/don+5.jpg" width="640" /></span></strong></a><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Don Jazzy ameshatengeneza kazi za watu wengi tu maarufu akiwemo NAETO C ambaye ana nyimbo kama TEN OVER TEN na 5&6, TIWA SAVAGE mwenye hit songs kama KELE KELE na LOVE ME LOVE ME,lakini kali kuliko ni kutengeneza wimbo wa JAY Z na KANYE WEST kwenye Album yao ya WATCH THE THRONE uitwao LIFT OFF Ft Beyonce. </span></strong><br />
<span style="color: #e06666;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Huyu sio Producer wa kawaida na naona hela zimeanza kumpelekesha,jamaa anamwaga hela kwenye Twitter</span></strong><br />
<span style="color: #e06666;"><br /></span><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Follow him kwenye TWITTER @DONJAZZY,kama una shida ya hela atakwambia umtumie akaunti yako na anakutumia mkwanja on the spot.Its not a joke,cheki hapa chini baadhi ya watu aliokuwa akiwasiliana nao na wakimshukuru baada ya kupokea mkwanja from him.Hes definitely very generous.Wabongo kazi kwenu!</span></strong><br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgqpXOVXL37XRlrh_VtB_YrXXvfgodALSvPBh-528QbH3GZwZEU_i89pqbSFAHwIXVHN75GPUw0l7mBJ9hQ8T-IXeGon_HXqoIXRLVYbEDNy1gK1mC0rcpz2SbAqfBz93O_4qZKO6OpKb3m/s1600/don+5.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><strong><span style="color: #cc0000;"></span></strong></a></div>
<strong><span style="color: #cc0000;"> </span><span style="color: lime;">CHEKI TWEET ZAKE ZA KUGAWA HELA WIKI HII NA WATU WAKISHUKURU BAADA YA KUPOKEA</span></strong><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiPIRwQPCfwC2iK8if0bZ-o6WMndVAkDMdPnseJUpoWiOR1L85pFNF2jWc0hqczBMa-YtnND0tMdc4sQdATy2wgSBNsHnACjOiyRs55ofvJD-OVqvMutAcB994JmITg9WnzL_7hgZcuSSZw/s1600/don2.png" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><strong><span style="color: #cc0000;"><img border="0" height="234" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiPIRwQPCfwC2iK8if0bZ-o6WMndVAkDMdPnseJUpoWiOR1L85pFNF2jWc0hqczBMa-YtnND0tMdc4sQdATy2wgSBNsHnACjOiyRs55ofvJD-OVqvMutAcB994JmITg9WnzL_7hgZcuSSZw/s640/don2.png" width="640" /></span></strong></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgggL44YRWGQ0xqUHu9vtqMsL0txjmVNW0m8XICE2G2rri9g3W0jcmazOeMZxQk-CH3snNPE3O2EIiPKZKgj3qhuHnLw5EVvo5chyJOO7Z05tpnaDMR158k6yJRa7QBUvSNDSuiJbokAT1j/s1600/JAZZY.png" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="220" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgggL44YRWGQ0xqUHu9vtqMsL0txjmVNW0m8XICE2G2rri9g3W0jcmazOeMZxQk-CH3snNPE3O2EIiPKZKgj3qhuHnLw5EVvo5chyJOO7Z05tpnaDMR158k6yJRa7QBUvSNDSuiJbokAT1j/s640/JAZZY.png" width="640" /></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiTpWaJToGvonnYiU-pDgGS0aoftW52jmQ5OrWOixM0uk8pZQm8o4bOgiW5FwoY9owfLito2nX8wi47NfrKNa7-gZJ6TB1R1pm0zD3phs89ZGHaD7E7sL8Sk1IfDKLnKiFTVLMG3ARBgstV/s1600/JAZZY2.png" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="96" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiTpWaJToGvonnYiU-pDgGS0aoftW52jmQ5OrWOixM0uk8pZQm8o4bOgiW5FwoY9owfLito2nX8wi47NfrKNa7-gZJ6TB1R1pm0zD3phs89ZGHaD7E7sL8Sk1IfDKLnKiFTVLMG3ARBgstV/s640/JAZZY2.png" width="640" /></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgnMeGJkflxLD4JzScqty2Q80vNHUuEZF10NYlBq5V_KWDKHeLbs98HehpJK-3j9xmzH16oP6jQDyRnL8FFGUHO8EFUKbp7rE8IY0dt4U4UrKGK1rYaOs4b-5OJ-9GxjBe0uGWmJNiijQWl/s1600/don3.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><strong><span style="color: lime;"></span></strong></a></div>
<strong><span style="color: lime;"> DON JAZZY MWENYEWE</span></strong><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgu6DH2UAejRRRUQlNkmMkrFCh6zv7jo2Jj9g4q9eX8rBzjkTOInQHcWliymdKsI7KvCpgV5D0QQIatjbbCvOV8NUXj7NP5tInogXEFksH4b2Cw5nGBo_2vfg31rAbCUHVbI0TR437dWC7r/s1600/don4.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><strong><span style="color: #cc0000;"><img border="0" height="585" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgu6DH2UAejRRRUQlNkmMkrFCh6zv7jo2Jj9g4q9eX8rBzjkTOInQHcWliymdKsI7KvCpgV5D0QQIatjbbCvOV8NUXj7NP5tInogXEFksH4b2Cw5nGBo_2vfg31rAbCUHVbI0TR437dWC7r/s640/don4.jpg" width="640" /></span></strong></a></div>
<br />
<br />
<strong><span style="color: #cc0000;">Moja ya Kolabo za ukweli alizotengeneza ni hii hapa chini ambayo aliwaweka pamoja D'BANJ na mkongwe SNOOP DOGGY DOGG kwenye Wimbo unaoitwa MR ENDOWED</span></strong><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhq4CNWBLx2C7QxShFCGpPDK6sP3YFL4TJm7DMLwNLSMb6xbYLlzUkPuAqsxVzvRCIBQRZoEoP3MA-VhiwS-6418H43ejXzuhCpvbQbtnB4SfYZhFBLevTGFgceRrgdJa6OLWUzGBdacSoS/s1600/don6.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><strong><span style="color: #cc0000;"><img border="0" height="631" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhq4CNWBLx2C7QxShFCGpPDK6sP3YFL4TJm7DMLwNLSMb6xbYLlzUkPuAqsxVzvRCIBQRZoEoP3MA-VhiwS-6418H43ejXzuhCpvbQbtnB4SfYZhFBLevTGFgceRrgdJa6OLWUzGBdacSoS/s640/don6.jpg" width="640" /></span></strong></a></div>
<br />
<br />Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-50803577990579849312012-07-03T13:20:00.001-07:002012-07-03T13:20:20.802-07:00KUFELI SIO MWISHO WA MAISHA....THERE IS LIFE AFTER FAILURE,GOD HAS A MASTERPLAN OF UR LIFE<div class="text_exposed_root text_exposed">
<strong><span style="color: #e06666;">Kila kitu kinatokea duniani kwa sababu maalum,aidha kukufundisha au kukufanya uelewe zaidi jinsi ya kuishi vizuri ukiwa duniani.Failure ni kama kujikwaa,unapaswa unyanyuke na kujifuta vumbi na kuendelea na safari.Kulala chini baada ya kujikwaa na kuanza kulialia hakutakufanya ufike ulikoplan kwenda.</span></strong></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<br /><strong><span style="color: #e06666;"> Ukifeli mtihani sio mwisho wa maisha,nafahamu watu waliofeli ambao wako very successful kuliko mimi<span class="text_exposed_hide">...</span><span class="text_exposed_show">.There is life even after failure.</span></span></strong></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<span class="text_exposed_show"><strong><span style="color: #e06666;"></span></strong></span> </div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<span class="text_exposed_show"><strong><span style="color: #e06666;">Kupigwa sana vibuti na watu unaowapenda haimaanishi hutaoa au kuolewa,Mungu anajua who is the right partner for you,hao walioondoka hawakuwa type yako na usiforce wawe type yako coz hawatakuwa.</span></strong></span></div>
<span class="text_exposed_show"><div class="text_exposed_root text_exposed">
<br /><strong><span style="color: #e06666;"> Usimlazimishe Mungu akupe mke au mume wa rangi nyekundu wakati anajua kwamba wewe unahitaji wa rangi ya kijani ili uwe Complete.</span></strong></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<br /><strong><span style="color: #e06666;"> Ulimwengu huu haujiendeshi,aliyeucreate ni Mungu,aliyekucreate wewe ni Mungu,na anajua who is the best partner for you.</span></strong></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<strong><span style="color: #e06666;"></span></strong> </div>
<div class="text_exposed_root text_exposed">
<strong><span style="color: #e06666;">Ukiachwa na umpendaye shukuru maana unajua yupo aliyeandikwa kwa ajili yako utampata na atakuwa perfect,ukienda kwa feeling ya unachopenda wewe utaibuka na mme na mke mdosho feki kutoka China.</span></strong><br /> </div>
</span><div class="text_exposed_root text_exposed">
</div>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-44051988521079715182012-07-03T11:11:00.000-07:002012-07-03T11:11:16.119-07:00UKITAKA KUUA PENZI LAKO FANYA HAYA HAPA,FASTA TU<strong><span style="color: #e06666;">Ukitaka kufa mwakani unatakiwa kufanya mambo flani ya hovyo hovyo mwaka huu,utakufa tu..</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ukimeza dawa ya sumu usitegemee itageuka kuwa ARV,itakuua tu</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Kuna aina flani ya watu wanapenda sana kujitafutia matatizo,wakiwa In love huwa wanajaribu kuwa too much,kwa vitu ambavyo sio vya msingi hata na havimuongezei lolote zaidi ya matatizo.</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Kuna vitu ukifanya unajua kabisa kwamba vitakusaidia kupalilia penzi lako,kuliwekea mbolea ili likue zaidi...Concentrate kufanya hivyo</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ila kuna watu huwa wana-opt kufanya mambo ambayo yanawaua wao wenyewe na mwisho wa siku huishia kujuta tu.</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Baadhi ya Mambo ambayo yameua mahusiano mengi sana na yanaendela kuua hata leo,na hata kesho yataua ni haya yafuatayo,Chonde chonde usifanye haya maana huwezi jua Damage ambayo yanafanya kwenye uhusiano wako:</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">1.MISTRUST</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Sifa moja ya Penzi imara ni lile ambalo mnaaminiana...Mtu anaweza kuaga kwenda home na ukajua anaenda home kweli bila kuwa na chembe ya shaka kwamba atachepuka na kufanya Call Diversion.Ukiona penzi ambalo halina Trust,hilo penzi liko ICU na litakata Roho muda wowote.Hamtafika popote. Mistrust huwa haiji hivihivi,huwa ni zao la mambo mengi yaliyotokea ambayo yamemfanya mmoja kati ya wapenzi kupunguza imani na mwingine.Dawa ni kuhakikisha mnamaintain highest level of Trust at all time.Na moja ya njia rahisi sana ya kurudisha trust iliyopotea ni kuwa wawazi...Wawazi kwenye ratiba zenu za kila siku..Thats through Communication..Hakikisheni mna communication muda wote,ifanyeni kuwa ratiba na sio utumwa,itawasaidia kuwa in touch na kila mmoja atajua ratiba ya mwenzie na kuwa at peace</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">2.EPUKA U-SPY</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Kwenye Mapenzi hakutakiwi kuwa na mtu yeyote aliyesomea CCP Moshi...Hiki ni chuo cha mapolisi na maspy wa usalama wa taifa....Mapenzi ni eneo huru ambalo kila mmoja anapaswa kuwa huru....Sio mpenzi kaacha simu tayari umekwapua...Kuna vitu haviko kwenye Katiba ya Muungano...Simu ya Mtu ni personal property yake..Dont sneek,dont Spy...Ukimuomba simu kuitumia kupiga au kutext usijifanye spy na kuchungulia Inbox..Akigundua atakumind na itakuwa big issue...uhuru wa mtu binafsi uheshimiwe,haikusaidii lolote sanasana utakumbana na vitu ambavyo hutapenda utaishia kununa na kumbe hujavielewa..We are so different,mahusiano yangu na watu wangu niliozoeana nao ni tofauti na wewe...U can see messages na ukadhani ni za cheating kumbe ni kawaida...Stay safe...Dont be a police...Dont Spy,hata uwe tempted namna gani..hii imewacost wengi sana,BEWARE</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">3.EPUKA UBIZE</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ubize ni msala.Ukikubali kuwa mpenzi wa mtu jua kuna uhuru unapoteza...Japo uhuru kidogo...Mpenzi wako anakuwa priority na ni jukumu lako kuhakikisha anapata Attention....</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ndio unasoma lakini una mpenzi,dont replace him/her with books</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ndio unafanya kazi,una vikao,na assignments,na presentations,na warsha,na kila kitu ILA,una Mpenzi...Dont replace him/her with ur job...Kama huwezi kumanage Shule na Mpenzi....Kazi na Mpenzi....Chonde nakusihi,BE SINGLE,lasivyo utazingua tu mtu wa watu,atafeel hapendwi...hajaliwi..Atacheat,...na wala usimlaumu maana wakati ukiwa bize na mshule wako na mkazi wako,kuna mtu alikuwa na kazi na alimjali...Swali kwake ni Je,kwann huyu ameweza and my Boy ameshindwa???USIMLAUMU LIKITOKEA HILO,kosa ni lako 100%</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: lime;">4.EPUKA EXPECTATIONS</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Kuna watu hawana simile...Dakika 2 tu nyingi wamewaza Mbinguni...</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Mapenzi yanataka Patience....Anzeni mapenzi vizuri...Know him/her.....Jadili mustakabali wenu pamoja,akupe views zake....Then kama kuna kitu cha kuwasongesha mbele kila mmoja aseme/....Kama kuna vikwazo vya kusonga mbele kwenye hatua kubwa zaidi kama Ndoa mathalani,viwekwe wazi</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ni jambo liko wazi,kuna watu ni wazuri kuwa wapenzi tu lakini sio waume....Kuna watu wanafit kuwa Girlfriends tu lakini sio Wife material....Thats the naked truth</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Mtu huyu ukimforce awe mume au mke inakula kwako....</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Ndoa ni Institution maalum kwa watu maalum kwa sababu maalum</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Kama wewe sio Mtu Maalum usiingie kwenye hiyo Institution Maalum maana hutakuwa na sababu maalum</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">The point is,usiexpect makubwa katika muda mfupi...give yourselves time to see ile sababu maalum ya kuwaingiza kwenye jukumu maalum..mkiona maono yenu hayaoani kufika kule usiforce...</span></strong><br />
<strong><span style="color: #e06666;">Hakuna sababu ya kuwa fancy wa Ndoa halafu mkae Mwaka 1 muachane,utakuwa umejichafulia CV bure wakati ungeweza kutulia ukapata the right guy or right woman</span></strong><br />
<br />
<strong><span style="color: #e06666;">Dont be over-ambitious....Stay in ur lane and choose the best out of the rest</span></strong>Seth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-2680148411519333629.post-20006594347979758372012-07-02T07:04:00.006-07:002012-07-02T07:04:54.312-07:00TABIA YA MTU NI KAMA SCREENSAVERHabits are like Screensavers<br />
<br />
Tabia ya mtu haijifichi.Atajitahidi kupretend tu kwa muda lakini ipo siku itajulikana tu rangi halisi.<br />
<br />
Ni ujinga kuamini kinyonga ana rangi ya Kijani na ukaenda kusimulia watu halafu wamkute ana rangi ya Kijivu,mazingira ndio yanaset rangi yake.<br />
<br />
Huwezi kutegemea kondakta wa Mwananyamala anyanyue kwapa lake kudai nauli halafu usubiri kama atanukia Perfume ya Isa Miyake,tegemea kikwapa kilichoenda Shule kitakachokupa Flu ya kukutosha wiki nzima.<br />
<br /> Ukitaka kujua tabia ya mtu,Mpe tu muda,hawezi kudanganya muda.Ni sawa na Msichana wa Kichaga,ataweka mikogo na Swaga zote lakini Mwisho wa siku lazima Tege lake la kufa mtu litaonekana tu,Miguu ya kichaga haiongopi,Mchaga asiye na tege labda amezaliwa ThailandSeth School of Thoughthttp://www.blogger.com/profile/15716653435724887841noreply@blogger.com0