Saturday, January 14, 2012

RELATIONSHIP BILA COMMUNICATION NIKA GARI BILA ENGINE.......

GARI BILA ENGINE
 
Gari bila engine ni kama kasha la penseli tu tupa kule,Relationship bila Communication mtabaki jina tu kwamba mlikuwepo.Unapuuzia simple things kama Gudmorning msg/call,maneno kama Pole na kazi/shule,neno am sorry baby,neno i miss u.Kama una alergy na haya maneno nani kakuambia upite Love Street?huo mtaa unahitaji sanaa,care na muda.Kumjulia hali mpenzi imekuwa uasi kama Maandamano ya chadema.Simu unayo,how many seconds zinakuchukua kumwambia mpenzi i miss you au kujibu meseji zake?Unajifanya bize na kazi eeh basi Muoe Boss wako

No comments:

Post a Comment