Something different kidogo....lakini kitakusaidia
Wote tunaishi kwenye ulimwengu huu na umejaa kila aina ya Shida...Sometimes mambo hayaendi vile tunavyopenda....Kwa style mbalimbali kabisa kila mmoja kwenye angle yake...
Wengine tunapata shida kwenye Kazi...Aidha hatuna kazi au tuna kazi tusizozipenda...Sio choice yako kuwa hapo ulipo lakini ndo kazi uliyonayo na huna jinsi ila kuvumilia ili usile nyasi...
Wengine ni familia...Majukumu yametukuta mapema tunasema..Aidha wazazi wamefariki na tumebaki na mizigo ya kutunza familia..Kutunza ndugu..wadogo...Kaka au Dada zetu kuhakikisha maisha yanasonga...inakuwa ngumu coz hukujiandaa,inafikia point unahisi its too much...
wengine maisha ya kimapenzi ndo mzozo...ur in love lakini mwenzako walaaaaa,hana hata habari..kila siku unapiga kelele zilezile na habadiliki...Kweli unampenda lakini unahisi ni too much...
There are lots of things,they keep on happening...Na inafikia point unakata tamaa..
Just one thing...kumbuka Mungu hana upendeleo....Mungu wa Matajiri ndio Mungu wa Maskini...Nanyesha mvua kwa wema na waovu....Wote anawapa masaa 24 kwa siku kufanya shughuli....Kila kitu ni sawa...Ni jinsi tu wewe unavyoamua kumchukulia Mungu na kufanyia kazi kile alichokubariki nacho...
Kumbuka,kwenye shida yoyote,kuna vitu viwili....Ni aidha unashikilia FAITH kwa Mungu....Au upokee FEAR kutoka kwa Ibilisi...
FAITH itakusogeza karibu na Mungu na utasali na kuamini kwamba haya yote yanayokusonga yatakwisha tu....Kila jaribu lina Mlango wa kutokea,kukata tamaa ni Mwiko...Ni dhambi,haipaswi kufika mahali ukasema IMESHINDIKANA...As long as Mungu yupo,hakuna linaloshindikana
Wakati mwingine tunahisi tumesali vya kutosha...Why Mungu hajibu???Why Mungu amekaa kimya???Hajakaa kimya...Siku zote Timing ya Mungu huwa ni PERFECT...I wish to share some examples for this...Mungu hachelewi kamwe...Wala hawahi kamwe...He is always on time.
Usithubutu kamwe kuruhusu FEAR...Fear ni product ya Ibilisi...kukukatisha tamaa,kukukwamisha na kukupa feeling kwamba Mungu is unfair...Mungu doesnt exist na kama ange-exist basi asingeruhusu yakupate hayo yanayokupata....Shetani akifanikiwa kuua FAITH yako,utajikuta unakubali kila kitu...Ni point hii ndio watu huwaza SHORTCUTS...Watawaza kwenda kuloga....Kwenda kwa Mganga kupiga ramli afanikiwe....Hii ni dalili ya mtu aliyepoteza FAITH na sasa anaendeshwa kwenye vitu vya kishetani na visivyo na muono wa Kimungu...
FAITH will take you through...mungu alikuumba kwa makusudi na as long as ameruhusu uwe hai ana makusudi na wewe...
Shida yote,ongea nae mwambie God i need you here....hata ukihisi anachelewa omba akupe uvumilivu wa kustahimili bila kukata tamaa..
Siku zote FAITH inalipa..Na ikikulipa utasahau shida zote za kusubiria...
Nina m mifano ya watu waliokaa nyumbani miaka mi5 bila kazi..Inafika mahali wanasema basi..maybe sikuandikiwa kuajiriwa na kufanya kazi....Lakini with Faith,leo wako mbali sana pengine hata kuliko wale walioanza kazi miaka mingi nyuma..
God is always able...lolote lile mwambie....Life haina Shortcut......the only way is God..The Masterplanner of your LIFE...
Kumbuka, FAITH ni product ya Mungu na FEAR ni product ya Shetani....Choose FAITH ili ufanikiwe na upate kuishi...Choose FEAR and all devil will do is to KILL...ndio kazi pekee ya Shetani,Kuua na Kuharibu!
BLESS YOU!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Thank u
ReplyDeleteThanks a lot
ReplyDeleteSikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.
ReplyDeleteMume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.
Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com