Wednesday, June 20, 2012

NO MATTER THE CIRCUMSTANCES...DONT LOOSE FAITH...UKIKATA TAMAA HAYA YATAKUKUTA

Something different kidogo....lakini kitakusaidia

Wote tunaishi kwenye ulimwengu huu na umejaa kila aina ya Shida...Sometimes mambo hayaendi vile tunavyopenda....Kwa style mbalimbali kabisa kila mmoja kwenye angle yake...

Wengine tunapata shida kwenye Kazi...Aidha hatuna kazi au tuna kazi tusizozipenda...Sio choice yako kuwa hapo ulipo lakini ndo kazi uliyonayo na huna jinsi ila kuvumilia ili usile nyasi...

Wengine ni familia...Majukumu yametukuta mapema tunasema..Aidha wazazi wamefariki na tumebaki na mizigo ya kutunza familia..Kutunza ndugu..wadogo...Kaka au Dada zetu kuhakikisha maisha yanasonga...inakuwa ngumu coz hukujiandaa,inafikia point unahisi its too much...

wengine maisha ya kimapenzi ndo mzozo...ur in love lakini mwenzako walaaaaa,hana hata habari..kila siku unapiga kelele zilezile na habadiliki...Kweli unampenda lakini unahisi ni too much...

There are lots of things,they keep on happening...Na inafikia point unakata tamaa..

Just one thing...kumbuka Mungu hana upendeleo....Mungu wa Matajiri ndio Mungu wa Maskini...Nanyesha mvua kwa wema na waovu....Wote anawapa masaa 24 kwa siku kufanya shughuli....Kila kitu ni sawa...Ni jinsi tu wewe unavyoamua kumchukulia Mungu na kufanyia kazi kile alichokubariki nacho...

Kumbuka,kwenye shida yoyote,kuna vitu viwili....Ni aidha unashikilia FAITH kwa Mungu....Au upokee FEAR kutoka kwa Ibilisi...

FAITH itakusogeza karibu na Mungu na utasali na kuamini kwamba haya yote yanayokusonga yatakwisha tu....Kila jaribu lina Mlango wa kutokea,kukata tamaa ni Mwiko...Ni dhambi,haipaswi kufika mahali ukasema IMESHINDIKANA...As long as Mungu yupo,hakuna linaloshindikana

Wakati mwingine tunahisi tumesali vya kutosha...Why Mungu hajibu???Why Mungu amekaa kimya???Hajakaa kimya...Siku zote Timing ya Mungu huwa ni PERFECT...I wish to share some examples for this...Mungu hachelewi kamwe...Wala hawahi kamwe...He is always on time.

Usithubutu kamwe kuruhusu FEAR...Fear ni product ya Ibilisi...kukukatisha tamaa,kukukwamisha na kukupa feeling kwamba Mungu is unfair...Mungu doesnt exist na kama ange-exist basi asingeruhusu yakupate hayo yanayokupata....Shetani akifanikiwa kuua FAITH yako,utajikuta unakubali kila kitu...Ni point hii ndio watu huwaza SHORTCUTS...Watawaza kwenda kuloga....Kwenda kwa Mganga kupiga ramli afanikiwe....Hii ni dalili ya mtu aliyepoteza FAITH na sasa anaendeshwa kwenye vitu vya kishetani na visivyo na muono wa Kimungu...

FAITH will take you through...mungu alikuumba kwa makusudi na as long as ameruhusu uwe hai ana makusudi na wewe...

Shida yote,ongea nae mwambie God i need you here....hata ukihisi anachelewa omba akupe uvumilivu wa kustahimili bila kukata tamaa..

Siku zote FAITH inalipa..Na ikikulipa utasahau shida zote za kusubiria...

Nina m mifano ya watu waliokaa nyumbani miaka mi5 bila kazi..Inafika mahali wanasema basi..maybe sikuandikiwa kuajiriwa na kufanya kazi....Lakini with Faith,leo wako mbali sana pengine hata kuliko wale walioanza kazi miaka mingi nyuma..

God is always able...lolote lile mwambie....Life haina Shortcut......the only way is God..The Masterplanner of your LIFE...

Kumbuka, FAITH ni product ya Mungu na FEAR ni product ya Shetani....Choose FAITH ili ufanikiwe na upate kuishi...Choose FEAR and all devil will do is to KILL...ndio kazi pekee ya Shetani,Kuua na Kuharibu!

BLESS YOU!

2 comments: