Thursday, June 13, 2013
NYUMBA ANAYOISHI BILL GATES...HATARI,WEKA MBALI NA WATOTO
Wakati wewe unaishi kwenye nyumba ya kupanga na unawaza lini utaiba kazini au kujichanga kwa njia halali zisizotosha kuweza kuanza Ujenzi,hali ni tofauti kabisaaaaaa na ndugu anaitwa BILL GATES,ambaye ni tajiri namba 3 duniani akiwa nyuma ya Carlos Slim na Warren Buffet.
Yeye amehama kutoka kuishi nyumba za ardhini na ameamua kutengeneza nyumba baharini,katikati ya maji,Nyumba inayoelea....
Hela iliyotumika kutengeneza HOME IN THE OCEAN inafikia Dola Bilioni 1.4 ambayo ni sawa na karibu trilioni 3 za Tanzania...trilioni 3 ni Bajeti ya Tanzani Kwa Mwaka mzima kwa Wizara zote za Serikali inayotoka mfukoni kwetu kabla ya Wahisani....Jamaa kaamua kutengeneza Yacht yenye Nyumba
Chukua Muda wako uangalie WATU WANAOISHI...Maana sisi wengine tupo tupo tu...
HAYA MZIGO HUU HAPA BOFYA http://www.youtube.com/watch?v=uBrCZs3_G9k
HISTORIA YA HUYU JAMAA KWA KIFUPI TU:
Amezaliwa mwaka 1955 huko Seattle,Marekani akiitwa William Henry Gates III,babake ni Attorney kwenye jiji la Seattle na Marehemu mama yake alikuwa Mwalimu tu wa kawaida wa shule
Alianza kupenda mambo ya Kompyuta na Programming akiwa na miaka 13 tu...
Mwaka 1973 alijiunga na chuo kikuu cha Havard na mwaka 1975 kabla tu ya kuhitimu Masomo aliacha chuo akaamua kuunda Microsoft Company akiwa na mshkaji wake Paul Allen.
KAZI NI KWAKO..UKIACHA CHUO KISA JAMAA ALIACHA INAKULA KWAKO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
ReplyDeleteMwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com