Tuesday, January 10, 2012

KUMJALI MPENZI WAKO NI MUHIMU


Ukijaliwa mpenzi anayekupenda kwa dhati na kwa moyo wote usimfanyie vituko kum-dissapoint bila sababu akajuta kuwa na boya kama wewe,kama unashindwa kumjali waachie wenye uwezo na mahaba ya kisukuma wampe raha.Si vema kung'ang'ania udongo wenye rutuba kama huwezi kulima jamani,kama huwezi waachie wenye nguvu na majembe imara walime wewe nenda singida kwenye ukame ukasubirie type zako za ki-ukame ukame zitavumilia coz na zenyewe zina mishemishe kama sime ya mmasai.Kama umeelewa comment,kama hujaelewa uliza tu,kama umenuna nauza nyembe njoo ununue umeze-Seth School Of thought
 

No comments:

Post a Comment