Wednesday, June 13, 2012

KANYE WEST APOST PICHA ZA UCHI ZA MCHUMBA WAKE KIM KARDASHIAN KWENYE TWITTER



Sijui ni wazimu au la ila Kanye West, siku ya jana alituma picha ya mchumba wake Kim Kardashian kwenye mtandao wa TWITTER,picha ambayo ilimuonyesha Kim akiwa uchi wa mnyama akijipaka lipshine kwenye chumba huku amekaa kitandani.

Muda mfupi tu baada ya tukio hilo, Kanye West aliitoa picha hiyo haraka lakini wadaku walikuwa wameshainyaka na kuisave na kuisambaza all over the World.

Kanye West alijitetea kwamba sio picha ya Kim Kardashian na hata Kim alikataa kuwa sio yeye.

Kasheshe ni pale ambapo ilikuja kusemwa kwamba picha hiyo ambayo Kanye West aliiweka ni picha ya Mcheza Ngono mashuhuri,Amia Miley.

Swali ni Je, Kanye West alimtoa wapi mcheza ngono huyo hadi kumposti akiwa vile??

Je,Kim Kardashian atareact vipi baada ya tukio hili la mchumba wake mpya??

Mcheza ngono huyo ameonekana kuongeza moto kwa kusema picha hiyo ni yake na sio Kim Kardshian...Anasema Kim Kardashian hana Dimples kama picha inavyoonesha japokuwa ukiicheki mmmmh,ni kama Kim hivi...

Hebu jionee mwenyewe,Je huyu ni Kim Kardashian au sio yeye???BALAA!Social Media hizi zina mambo

PICHA HIYO ALIYOWEKA KANYE...


No comments:

Post a Comment