Sunday, January 13, 2013

HALI HIZI ZIKITOKEA,PLEASE BREAK UP,HAKUNA ISHU TENA HAPO IMEBAKIA MAZOEA TU

Haya tena..Mwaka 2013 ndo huo...Heri ya mwaka mpya!
This is my first article of the year...Kwa wale walio In love na wako fresh hongera kwenu...Wale wenye Relationship Vichomi poleni sana na endeleeni kusali...

Leo naleta hoja tena mezani....Vitu gani ukiviona kwa Mpenzi wako basi anza kupaki begi la Nguo usepe...Natumaini baada ya somo hili,utaenda na kuanza kuchambua kitu kimoko kimoko,upime,Je,ni sahihi wewe kuendelea kuwepo na huyo mtu au lah...

1.KILA ANACHOFANYA SIKU HIZI KINAKUBOA
Hii ikitokea maana yake ni nini???Hakuna analofanya kwako jema,kila anachojaribu kufanya whether its good for u lakini wewe inaku-piss off...Kuna jambo..Siku zote,mtu akikutoka rohoni,hakuna jema atafanya utaona..Hiyo ni dalili kwamba amekutoka moyoni..the love is dead...Ukimpenda mtu,utapenda mambo anayofanya,sometimes ni mabaya lakini you live with them because YOU ARE N LOVE.If what happens is the opposite,sepa!

2.HUPENDI VILE ULIVYOMPENDEA
Kama ulimpendea alivyo,Nywele,Macho,anything...Ghafla Personality ile iliyokuvutia imepotea..Huoni uzuri wake anymore,unaona karaha tu,,,hata avaeje unaona hapendezi,nywele nzuri zinaonekana minywele au kipilipili...Mama,sepa tu...You have lost ur appetite in him,u wont eat him no more

3.PRIORITIES ZENU ZINADIFFER

Hapa ndo patamu..Umewahi kuona Relationship zenye argument kwenye kila kitu???Mama anataka wali baba ugali...Mama anataka kujenga Baba anataka gari...Mama anawaza kutoka Outing Baba ana hamu ya kulala...Moja haikai 2 ndo kabisa haisimami....Mtawezaje kukaa pamoja huku mnatofautiana mitazamo????Ikifikia hapa,bora ujichenge fasta,ukikazana utaumia

4.HAUM-MISS AKIWA HAYUPO
Zamani akiondoka tu unatamani arudi...Haipiti siku hujamuona....You miss texting na kumcall..

Siku hizi wala,unakata wiki asipotaka kukuona unakausha tu na unaona fresh....Asipokupigia na kukutext na ww unasahau kabisa kama anaexist...That Love is dead

5.UNAONEA WIVU SANA WENZIO
Ukiona unaona sana wivu kwa wenzako wenye relationship na kuhisi wanafaidi sana jua kwako kumezama..Kama kwako kungekuwa salama ungejisikia ur better off kuliko wenzio na hata kama wanafanya jambo romantic kwako si ajabu maana nawe unafanya...Dalili kwamba what they have kwako imekufa inakukoroga nafsi,unatamani zama zirudi ila ndo zimepita,ni kipimo tosha kwamba Penzi lako limekufa

6.UNAONA SANA NJE

Zamani hata pite mdada mcutie wala hukuwa na habari...Hata apite mkaka ananukia,unatembea kwa mguu unapewa Lifti wala huhangaiki...Ila siku hizi macho yamekutoka,Kikalio kidogo unakifuatilia kama taarifa ya habari ya BBC....Kila mkaka unaona Hes Cute,wow Hes cutee,,,Jua kwako kumeungua

7.MAGOMVI HAYAISHI
Kuna watu wanateteaga ugomvi..Kwamba bila ugomvi eti Relationship haigrow...Sawa!Lakini Kila saa??Kila Siku??Kugrow gani huko???Kila muda manundu,labda mnakuza ndonya!
Ukiona magomvi kila saa kwa vitu vya kiboya na kipuuzi,na haikuwa hivi zamani,Jiulize,KULIKONI???

8.UMECHEAT/UMEMKUTA ANACHEAT

Hii ndo funga kazi,huoni tabu kucheat...Hata akijua poa tu...Hiyo ni dalili kwamba Jumba Bovu limeegama upande....When ur in love, there must be some Guilty Conscious in You....Ikipotea hiyo  bhaaassssssssss..Ukiona manyoya ujue kaliwa!

NI HAYO TU...JE,UNAYAONA KWAKO???TAFAKARI!CHUKUA HATUA!HAKI ELIMU!

No comments:

Post a Comment