Thursday, June 14, 2012

JAMAA AMGEUZA DEMU WAKE BUCHA KWA KUMCHEAT..AACHA UJUMBE

Inatisha sana...Jamaa mmoja mwenye Wivu huko Bahamas amemuua mchumba wake kwa kumkata kiungo kimoja baada ya kingine baada ya kugundua amemcheat na Mwanaume mwingine!

Baada ya kumaliza tukio hilo aliandika ujumbe kwenye Panga alilotumia kumkata ''THIS IS WHAT CHEATERS GET''

Jamaa huyo kwa sasa amekamatwa na Polisi na anatarajiwa kufikishwa mahakamani kwa kosa la kuua kwa kukusudia!

Inaonekana huyu jamaa yeye alikuwa hajawahi kabisa kucheat maana mpaka imemuuma hivi sio bure

WATCH OUT ALL CHEATERS! Kuna watu hawana dogo,utageuzwa bucha fasta! INATISHA

No comments:

Post a Comment