Wednesday, February 15, 2012

Hii ni kwa wale ambao wanadhani maisha ni rehearsal



Hii ni kwa wale ambao wanadhani maisha ni rehearsal...Maisha hayana rewind Button...mmekazana kutafuta kudate masistaduu,wanaojua kupiga kiatu njano,hereni njano,pochi njano na lipstick njano...Uko busy kudate na msanii wa filamu,jeans inaning'inia hadi kwenye mstari wa Ikweta,msanii katoa hit unajilengesha,unatokea kwenye wimbo hulipwi hata thumni unaona dili...Unapata watu wa maana unaona hawanajina,hawana hela za kukupeleka Savanna,utakula savanna all ur life?Watoto wako watasoma Savanna lounge au Maisha Club.Its high time u think,5years from now where will u be?utaendelea kumatch mabegi ya njano na kucha za njano?utaendelea kuvaa mlegezo na kudundika kama una mafindofindo kwenye ugoko?Maisha hayakusubiri,ukipishana nayo sasa hutakutana nayo Chalinze-Seth School Of Thought

No comments:

Post a Comment