Tuesday, February 14, 2012

Hujampenda mtu mwaka mzima leo ndo unajishaua na kadi na maua,wizi huo


Hii siku bwana imekaa kichokozi sana..haina dili lolote ila unalazimika tu kufanya dili ili uonekane nawe umo..hujampenda mtu mwaka mzima leo ndo unajishaua na kadi na maua,wizi tu!Leo watu watakopiwa meseji zinaitwa SEND TO MANY,itatumwa kwa watu kama 70 na wote wataitwa honey..na ulivyo boya wewe utaipoke utahisi ur special kumbe ni mtu wa 69 kuwa delivery report..nawashauri hii siku muikaushie tu lasivyo itawaumiza kichwa,na wengi mtagombana kisa jumanne ya tarehe 14..ni ushauri tu!

No comments:

Post a Comment