Thursday, July 26, 2012

MAKE YOUR BED ALIVE ILI UHUSIANO WAKO UDUMU

Nimelazimika kuandika hili japo sikupenda sana kuingia so deep kwenye issue za Bed lakini nimegundua watu wengi wanakosea hadi hapa pia...


Kuna siri kubwa sana kwenye Kitanda....Hapa ndio kila kitu kuhusu wapendanao wawili hutokea.Mtadanganyana mtaani,mtaenda Outing,Mtapeana maua,mtanunuliana zawadi,mtaenda Movie,Mtafuliana nguo na kupikiana,lakini mwisho wa siku lazima mfike NGOME KUU.....Ngome kuu iko kwenye Kitanda...


Na hapa ni wote wawili wala sio Mwanaume tu,au Mwanamke tu....Kila mmoja ana matatizo yake


Kuna wanaume wanakosea na wanawake wanaokosea pia..Shida kubwa ya kukosea mkifika ngome kongwe ni kupafanya ngomeni pawe sio exciting anymore na inakuwa utumwa....Nimewahi kuongea na watu kadhaa ambao kwao Love making sio issue tena,hawaifeel,hawana hamu,na ikitokea wamefanya basi ni kwa sababu ni wajibu tu jamaa anataka ila si kwa mapenzi yake...This is bad...Mi naamini hakuna mtu asiyependa kumake Love ila kuna watu wameharibu feeling za watu kiasi kwamba mtu anaona kumake Love ni kama adhabu,nothing is exciting in it wakati ni tendo la raha raha raha siku zote kama mkijua la kufanya.


MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA UKIWA NGOME KONGWE


1.MAPENZI NI SANAA NA SAYANSI
Huwezi kukurupuka tu linapokuja suala hili...Sanaa inatakiwa.Kama wewe ni Mwanaume jua una kazi kubwa sana kwenye hili jambo....Sanaa inaanza kabla hata hamjaenda,unamuandaaje huyo mtu mkiwa mnakwenda,Ile sio Quiz kwamba unamshtua mtu tu kama Amri,Bebii Quiz now...Bebi tufanye,ah ah...Mtengeneze kisaikolojia Mwanamke kwanza kwa maneno,ili aanze kufeel,na kama hayuko interested atasema,ni mbaya kwenda ngome na mtu ambaye hana hamu siku hiyo.Inawezekana ana mambo yanamsonga,ana stress fulani,MSIKILIZE.Sio kisa we umebanwa basi unakimbilia tu chooni,hapana
Nimeongelea suala la kumuandaa mwanamke kisaikolojia maana wanaume Every time is tea Time...Mwanaume hata umshtue sa 10 usiku vitu utapata,wala hahitaji kupashwa moto kama kiporo,ukibonyeza tu swichi lazima taa iwake


2.UVIVU MWIKO
Linapokuja suala la Uvivu...Hapa wote mnaingia...Kuna wanawake ni wavivu,wakiwa ngome utadhani kuku aliyebanikwa,mpaka mpishi akugeuze...Inaboa sana.Kama hutaki sema,ila Wanawake shurti kushughulika,usimwachie Mwanaume kazi yoooteee utafikiri we umeenda pale kuchinjwa halafu yeye ndo mchinjani,kitandani sio Kibla....Kukuruka!Muonyeshe na wewe wamo.Wengine eti wanaogopa wataonekana malaya,aliyekwambia hivyo nani???Mapenzi ni umalaya tosha,kuwa malaya kitandani ni ruksa na sio nje ya kitanda.kuwa malaya kwa Mmeo ni ruksa,si mmeo sasa usipompa umalaya wote utampa nani???Habari ndo hiyo


3.HARAKA MWIKO:UNAWAHI WAPI???
Wanawake wenye haraka huwa sio wengi,wanawake wengi wanafaulu hapa,na hii ni kwa sababu wanawake ni receivers mara nyingi.Inawachukua muda kufika Kibo na ni mpaka upate mtu mwenye uwezo huo.Kasheshe hapa ni wanaume!
Wanaume wengi ni very selfish,hawajali.Wao wana hamu,wakimaliza hamu zao wanalala,tena na kukoroma.Hawajui mwenzake alishafika kitonga au lah,yeye hana habari.Hii ni hatari sana kwa uhusiano wako.Siku mkeo akikumbana na wazee wa kusimamia kucha ujue umempoteza.Kuna watu wako bize,wanasimamia kucha kama wameajiriwa Rasilimali kiuno.Sasa wewe akija kwako unajipimia mwenyewe halafu yeye unamuacha hewani,usimlaumu kamwe akicheat,maana wewe umepewa kazi imekushinda,kama kuna mtu anaifanya perfectly afanyeje??


Lakini je,na wewe mwanamke unamueleza huyo mmeo kama yeye ni selfish???Usikurupuke na kumwambia wewe ni selfish na hunifikishi,wanaume huwa hawajisikii vizuri,tafuta njia nzuri ya kumfikishia ujumbe huu in a good way maana wengine hii shule imewapitia kando.Muelekeze,usiogope,huyo ni wako kwahiyo muonyeshe ngoma inachezwaje,akimaster wote mtafurahi.Tatizo la wanawake hawasemi,wanauchuna halafu wanatafuta option za nje....Hii ni mbaya....Na wanaume wengi mkiambiwa mnanuna,sasa unanuna nini,kama humfikishi unataka amwambie nani zaidi yako wewe???Mkiambiwa muelewe na mtafute njia za kuweza kuwafikisha wake zenu lasivyo msilaumu mkisaidiwa!

Dakika 5 Mwanaume tayari ushaamsha Mashabiki,unawahi wapi???Unakimbilia wapi???Kwa Mwanaume Kama kushuka utashuka tu,msubiri mama ajipimie visoda vya kutosha,Dance with her na Shuka pale tu mama akikuruhusu kushuka lasivyo ni Mwiko kwa Mwanaume kushuka kama hujapewa Green Light kutoka kwenye Traffic Lights za mkeo ushuke,lasivyo utavuka mataa na Red lights na hiyo ni Traffic Offense...Unawahi wapi?????Utapata ajali bure kwa haraka haraka zako!

4.COMMUNICATION ON BED IS POWER
Kwakweli hili ndio tatizo kubwa.Mshafika ngome,mnacheza ngoma...cha ajabu eti kuna watu hawaongei kabisa...Sasa utajuaje mwenzio anataka nini na amefika wapi,na ufanye nini ili awasili??


Msiishi kama mabubu...ONGEENI! Na kama mlikuwa hamuongei anza leo itakusaidia sana sana...Kuongea kutawafanya mfike pale ambapo hamjawahi kufika....Kuongea kutamfanya Mwanamke akupe instructions kwamba uguse wapi ambako yeye anakunika....Kwenye Mapenzi,mwenye mtihani zaidi ni Mwanamke ambaye hadi afike kileleni ni ishu,msaidie yeye zaidi kwa kumpa nafasi ya kucommunicate nawe....TRUST ME,ukimruhusu Mwanamke acommunicate na wewe utaona changes...Atakwambia kila kitu,na utaenjoy.


Build a better relationship,Mfanye Mmeo/Mkeo ajisikie raha ukimuita Ngome,maana wengine Ngome Kongwe pamekuwa eneo la mateso,hawaoni raha ya Mapenzi maana ukifika wewe huna ushirikiano zaidi ya kujifikiria wewe na hamu zako au kwenda pale kumridhisha tu fulani ila sio wote kufaidi.


Raha ya Mapenzi ni wote kutoka pale mkiwa mnasema YESSSSS,This was the game,na sio mmoja anachekelea na mwingine anatoka kama alivyoingia,Huo ni Uonevu wa Kijinsia.


Kwa leo tuishie hapa!

No comments:

Post a Comment