Friday, May 18, 2012

MAPENZI HAYAHITAJI UCHAWI,MCHAWI NI WEWE MWENYEWE

Hakuna haja ya kukimbilia Mapenzi,kama yapo yapo tu..Na huna haja ya kuogopa kumpoteza huyo uliyenaye,kwa mawazo kwamba akiondoka hutapata kama yeye..hapana...kama anakupenda hataondoka,na akiondoka basi utapata better replacement...hivyo ndo mapenzi yalivyo

Huna haja ya kutumia mbinu kulinda penzi,wengine hadi limbwata kwa Dokta ma-Mbwa mbwa ili kumlinda mpenzi asiibiwe,mapenzi hayana uchawi,mchawi ni wewe mwenyewe jinsi gani unavyojua kutumia ungo kupepeta na unavyoweza kuutumia kupaa nao pia

Ukimpenda mtu lakini ikashinikana basi shukuru maana huwezi jua Mungu amekuepusha na Jini gani ili akupe Malaika wa kukufaa maishani...Utang'ang'ania kibwengo na kukataa Malaika bila kujua

1 comment:

  1. Baada ya kuona chapisho kwenye mtandao la Jenna kutoka USA akisema jinsi alivyosaidiwa na Dk. DAWN, niliamua pia kuwasiliana naye kwa msaada kwa sababu sikuwa na chaguo nilichotaka ni kumrudisha mpenzi wangu na furaha. Kwa mshangao mkubwa mpenzi wangu alifika nyumbani akiwa amepiga magoti kwamba nitafute nafasi moyoni mwangu kumsamehe, hakika nilistaajabu na kushtuka mpenzi wangu alipopiga magoti akiomba msamaha na mimi nimkubalie tena. Kweli nimepungukiwa na maneno, na sijui ni kiasi gani cha kukushukuru wewe Dr. DAWN. Wewe ni Mungu aliyetumwa kurejesha uhusiano uliovunjika, Na sasa mimi ni mwanamke mwenye furaha. mawasiliano yake ni Whatsapp +2349046229159
    dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete