Friday, June 22, 2012

DUDE JIPYA,HALINA HATA MASAA 2 SOKONI---GODZILLA NA MARCO CHALLI


ANAITWA MARCO CHALLI






GODZILLA AKA KING ZILLA FROM SALASALA






Huu mwaka Marco Challi ameamua...Na bado kuna Good Musiq kutoka kwake mwaka huu...


Baada ya kutua na ngoma ya Party Zone akiwa na AY na Video ya Dolari 30,000 wiki iliyopita tu, LEO LEO amedondosha Ngoma mpyaaaaa,kaliiiiii, ameshirikishwa na King Zilla, Godzilla from Salasala...Wimbo unaitwa NATAKA


Club Banger ya uhakika...BAdo ya motooooooo,hata masaa mawili hewani haina,isikiliza..


CLICK http://www.hulkshare.com/wd9zk1ml9ukg halafu usikilize vinanda...Sikiliza Mashairi...Sikiliza mkono wa Dokta Challi


MARCO CHALI AKIWA MTAMBONI MJ RECORDS


Kama wewe mtoto wa Mbwa sisi watoto wa Paka....BALAA


Doctor Chali umetisha

No comments:

Post a Comment