Tuesday, July 3, 2012

KUFELI SIO MWISHO WA MAISHA....THERE IS LIFE AFTER FAILURE,GOD HAS A MASTERPLAN OF UR LIFE

Kila kitu kinatokea duniani kwa sababu maalum,aidha kukufundisha au kukufanya uelewe zaidi jinsi ya kuishi vizuri ukiwa duniani.Failure ni kama kujikwaa,unapaswa unyanyuke na kujifuta vumbi na kuendelea na safari.Kulala chini baada ya kujikwaa na kuanza kulialia hakutakufanya ufike ulikoplan kwenda.

 Ukifeli mtihani sio mwisho wa maisha,nafahamu watu waliofeli ambao wako very successful kuliko mimi....There is life even after failure.
 
Kupigwa sana vibuti na watu unaowapenda haimaanishi hutaoa au kuolewa,Mungu anajua who is the right partner for you,hao walioondoka hawakuwa type yako na usiforce wawe type yako coz hawatakuwa.

 Usimlazimishe Mungu akupe mke au mume wa rangi nyekundu wakati anajua kwamba wewe unahitaji wa rangi ya kijani ili uwe Complete.

 Ulimwengu huu haujiendeshi,aliyeucreate ni Mungu,aliyekucreate wewe ni Mungu,na anajua who is the best partner for you.
 
Ukiachwa na umpendaye shukuru maana unajua yupo aliyeandikwa kwa ajili yako utampata na atakuwa perfect,ukienda kwa feeling ya unachopenda wewe utaibuka na mme na mke mdosho feki kutoka China.
 

No comments:

Post a Comment