TUMA NENO SETH KWENDA 15678 NA UTAUNGANISHWA NA HUDUMA YANGU YA MOBILE AMBAYO ITAKUPA ZAIDI YA HAYA UNAYOYASOMA HUMU MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO KAMA SMS....
Leo naomba tudiscuss topic hii,maana naamini kama sio wewe yanakukuta haya basi ndugu yako wa karibu au rafiki yako analalamikia hili...
Imewahi kutokea unampenda mtu sana na mmekaa kwa muda flani mrefuuuu,halafu katikati ya safari unakuja kugundua kuna kidudu-mtu,whether ni Mwanaume au Ni Mwanamke ameingia kwenye Penzi lenu na umekuwa Shareholder kwenye Kampuni ya Mahaba Limited???
Huwa unafanyaje ukigundua Mahabuba wako anaibiwa namtu flani na wewe bado unampenda???
Je unasusa na kuamua kumuachia Kidudu-mtu ashinde Battle kiulaini???
Au unakomaa na Battle na kumfunza adabu kidudumtu hadi anaachia ngazi???
Unatumia ujanja gani kama ni Boy wako na unampenda,lakii mchizi amefall kwa kidudu-mtu na unakaribia kutoswa na Mchizi kisa kanogewa na Penzi jipya tam tam???
Maswali ni mengi lakini all in all,LEO nataka nikupe Mbinu tu ambazo zitakufanya upigane hiyo vita na USHINDE....Ukifuata haya,Probability ya wewe kushinda na kutunza Penzi lako ni 0.7%...
Mambo haya ni muhimu uyajue maana yanatokea kila siku,Kama bado hayajakukuta basi yatatokea,Kula Shule,siku yakikukumba basi unajua Mlango wa kupigia Bao...TWENDE KAZI:
1.INAWEZEKANA KOSA NI LAKO
Mara nyingi tukiwa kwenye Mapenzi tunajisahau sanaaaaaa,tunahisi tumemaliza,nishampata basi inatosha..Ubunifu sifuri,we mbuzi kagoma tu miezi mia 7,hujui kitu ingine..Chalii angu inakula kwako...Mwenzio akitoka anapigwa Jackie chan,Mission Impossible 6 na Kandahar....We upoupo tu unaegesha kama Parking ya Corner Bar.....INAKULA KWAKO
Jambo la kwanza,weka possibility kwamba moja ya sababu zilizomfanya jamaa/demu atoke ni WEWE...Usi-throw lawama kwake tu wakati kumbe na wewe si ajabu ulikuwa na mapungufu yaliyochangia...
2.KUWA MPOLE
Ukishaweka Possibility ya wewe kuwa moja ya sababu we kuwa mpole...Jipange kwa mbinu za Comeback kama Manchester...Ukifungwa huendi nyuma kuanza kulia,unajipanga na mashambulizi ya kusawazisha..hiyo ndo Battle....
Sasa wengine wanapanic,wanaanza kumtusi jamaa/demu,ooh we malaya sana,umekosa nini kwangu.....ipo siku atakujibu,nakosa nyamaaaa,we unanipikia maharage tu!Utafanyaje???
Kupanic hakusaidii,tena ukipanic ndo atahamia kule mazimaaaaaaa,utabakia unatokwa povu tu mwenzio anapewa mijiraha!Kuwa Mpole
3.TAFUTA TATIZO NI NINI ILI UJUE UNAINGIA NA SILAHA GANI
Huwezi kuua Nzi na AK 47...Jua adui ni nini uchague Zana ya kudeal nae...
Hii ni mtihani pia kwa sababu kwa Mwanaume anayecheat kufunguka kwamba ni nini haswa kilichomtoa ni ngumu sana.....Na tatizo lingine ni kwamba hata akisema utamchukuliaje??Wanawake hawapendagi kuambiwa ukweli na ukimwambia,hata kama ndo ukweli atanuna mbaya,ufudu haingii!Mnuno haswa!Anauliza halafu ananuna.....Hilo moja,Wanaume nao ni worse...Akiuliza nini kimekutoa ukamwambia,ah we unanipa goma dakika 5 wakati mwenzio anasimamaia Show ya Fally Ipupa saa nzima...duh,mtu mzima unahisi umekosewa heshima unamwagia makofi!HAISAIDII!
Ukiambiwa we Selfish dakika 5 chali,chukua kama Positive issue na ujifunze...Kama huwezi zaidi ya dakika 5 jifunze wenzio wanasimamiaje kucha...Mwanaume dakika 5 aibu jamani khaaa,Mchuchu anapandisha Kilima anapishana na wewe ndo unaserereka kwenye ganda la ndizi.....Aaaaaaa,sio kiivyo!
Ukipata Kiini cha tatizo BADILIKA!Akisema unalewa sana humpi haki yake BADILIKA...Akisema humpigii simu na Mwasiliano yamekuwa hafifu na huku kwa Bi Kidude anapigiwa mara 76 kwa siku,BADILIKA.....Hakuna jinsi,kama Blunder ushafanya,wajanja wamefill GAP,Pigana ili arudi kwako kwa kubadilika kwa kile alichosema.
Kasheshe ni pale unapoambiwa tatizo ukakasirika....Au kutojibiwa kiini cha tatizo,,,Kila Ukiuliza anasema ah niliamua tu...au imetokea tu..Hapo unalo,inabidi utafute mahali muafaka pa kumuuliza,na most probably muda mzuri ni akiwa anakanyaga kitonga,hapo utajibiwa yote maana hisia zinakuwa ziko juu...
4.FANYA ANAYOPEWA KULE NA ZAIDI
Hakuna kitu kizuri kama kumpa Mpenzi wako vyote ili akose vya kuomba nje!
Usiache hata tundu moja la kidudu kuingia na kusambaratisha.....Mpe Mawasiliano kwa Asilimia Zote.....Mpe Attention....Mpe hela ukiweza...Mpe Mahaba makali yenye Kungfu,Taekwondo na Kila kitu....
Hakuna Mwanaume atamuiba maana unapata vyote....Hakuna Mwanamke atampa lolote ambalo wewe hujui,Viuno vyote wavijua,Feni Mbovu Style,Feni nzima,Air Condition Moves,Mupeeee.....
Kama umegundua tatizo ni Mahaba uliyokuwa unampa badilika,kuwa mbunifu from NOW going forward...Si unampenda???Usijali kwamba kuna Competition,wewe fanya kwa nafasi yako....Mchoshe hadi akiwaza kuamka kwenda kule akute hana nguvu tena,atabaki kwako..Dozi Tu!
Baada ya muda utagundua amerejea,Kule alikoibwa hakuna Jipya tena,atabakia wako na utaishinda vita ILA,Jifanye bandidu,eti unamnunia kwanini kaenda kule....Au unamtafuta huyo Mwanaume Mpya au Mwanamke Mpya unaanza kumtukana,eti ooh ntakukomesha,unaiba vya watu,mara ooh ntakuloga uvae chupi usoni...ah wapi,unafeli....Dawa ya mwizi ni kumkimbiza kimyakimya,wala kelele hupigi,mwenyewe atahisi huyu niliyemuibia leo sio wa kawaida,ila makelele ya mwizi mara vile,wote mtaonekana wezi.....
KIMBIZA MWIZI KIMYAKIMYA....JIPANGE KIMYAKIMYA....SHAMBULIA KIMYAKIMYA
TUMA NENO SETH KWENDA 15678 NA UTAUNGANISHWA NA HUDUMA YANGU YA MOBILE AMBAYO ITAKUPA ZAIDI YA HAYA UNAYOYASOMA HUMU MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO KAMA SMS....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
nonsense....
ReplyDeleteSikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.
DeleteMume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.
Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com
kaka unakaa sana kimyaaaa, weka mambo mengine bana
ReplyDeleteKimya kimya
ReplyDeletedaah kaka darasa lako zuli tatzo upo kimya sana..
ReplyDeletemhhhhhh darasa lako linaboa sanaaaaaaaaaaaaa
ReplyDeleteKwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
ReplyDeleteMwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com