Saturday, January 14, 2012

FACE BOOK HUSBAND AND WIFE!!!






Kuja Facebook kutafuta Mke au Mme ni sawa na kwenda stendi ya Mwananyamala na kumuomba mpiga debe Business Card yake,sanasana atakuchana na viwembe tu...Tangu nijiunge humu nimesikia,tena kusikia tu sijaona wala kuthibitisha,ndoa 1 tu.nadhani wale jamaa walijoin kwa nia hiyo ndo maana wakaoana..Kuna vimeo humu vimetangaza ndoa kama elfu 92 ss sijui ndugu zangu mna vidole vya ndoa vingi kama mikono ya Pweza!Kazi mnayo wadada mlio desperate na ndoa,Mnafall in love na Profile pictures,ukikutana na mtu amekomaa kama Nguzo za Tanesco za Kigogo Luhanga....

No comments:

Post a Comment