Tuesday, February 14, 2012

Uko bize unalalamika ooh mi sina bahati ya kupendwa



Uko bize unalalamika ooh mi sina bahati ya kupendwa..Wakati kuna mtu alikupenda very seriously we ukamchukulia poa ukajifanya selective,unatafuta hips madai yako...imekula kwako...Walikuja watu vere siriaz ukawatazama,ukawapandisha ukawashusha,hadi wakaishiwa pozi,maana wadada wanaweza wakakupa jicho hilo hadi ukajihisi uesahau kufunga zipu ya suruali...Madai yako unataka handsome,mwenye gari na nyumba..Mahandsome wamekata kamba,wanakuja wenye Vichogo virefu tu,huwataki,imekula kwako....Maamuzi yako ya leo yana athari kubwa sana in future,usifanye maamuzi feki sasa ukategemea future yako itakuwa Original,feki inazaa feki,na Original inazaa original,Mchina hauwezi kuzaa Blackberry

No comments:

Post a Comment