Tuesday, May 15, 2012

WE FIND LOVE IN HOPELESS PLACES..PALE USIPOTEGEMEA NDO HAPOHAPO

Ukitaka kupata pancha ya mwaka na hutoamini macho yako,ni pale utakapoingia kwenye mkumbo kwamba ili upate mke bora au mme bora inabidi uende kuwatafuta kwenye nyumba za ibada,utakuwa bize kwenda Kanisani ukiamini kwamba hicho kibinti kinaimba kwaya kitakuwa kimetulia,au huyo mwanaume anaenda fellowship kila jioni ukadhani anafaa kuwa ubavu wako

...Kuvaa hijab na kuswali swala 5 kila siku bil kukos...a haku-justify kwamba huyo ni mtulivu na anafaa..

.Ukidhani kwamba mke na mme hapatikani mtaani,kuna watu wamepata wenzi wa maisha kwenye maeneo usiyotarajia...we find love in very hopeless places ameimba Rihanna..

.Sasa we potea,peleka uwindaji wako haramu kutegemea wavaa hijab na waimba kwaya,Nyani ni walewale tu wamebadilisha tu miti ya Kuruka...

No comments:

Post a Comment