Saturday, June 16, 2012

50 CENT ATANGAZWA KUFA AJALINI USIKU WA KUAMKIA LEO





Habari zilizotangazwa na Mtandao wa Local Team News umetangaza kifo cha Rapa 50 CENT ambaye alikuwa akiendesha gari ya rafiki yake.

Watu wa karibu walitia shaka labda 5o alikuwa amelewa lakini hakuna Pombe wala Bangi iliyokutwa kwenye gari hilo baada ya polisi kufika eneo la tukio.

Ajali hiyo imetokea kwenye mji mdogo wa Morristown na taarifa kuhusu mazishi yake bado hazijatolewa rasmi.

Kama habari hizi ni za kweli itakuwa ni habari mbaya sana kwa wapenzi wa 50 ambaye ametoka kutoa Album mpya mwezi uliopita tu.

50 CENT anafahamika ulimwenguni kote kwa nyimbo kali zikiwemo In Da club uliomtambulisha kwenye Ulimwengu duniani kote, 21 Questions, Baby by me na Neyo na nyingine nyingi na aliwahi kuja Tanzania kupiga Show iliyofunika sana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee

Toxicology(Uchunguzi wa Kidaktari kuhusu Kifo) utafanyika leo kujua kama alikuwa Under influence ya Kilevi chochote japokuwa taarifa zinaonyesha Ajali hii kwa kiasi kikubwa imesababishwa na hali mbaya ya hewa kwenye Mji huu kwa sababu 50 alikuwa akiendesha Spidi ya Maili 95 kwa Saa mpaka alipo-loose control ya gari na kupinduka.

Stay tuned maana mi mwenyewe siamini bado...Yasije kuwa yaleyale ya David Guetta na will Smith,Mastaa wanajua sana kufoji Vifo.

Lets wait and See!

No comments:

Post a Comment