Saturday, June 16, 2012

WIMBO MPYA WA AY AKIWA NA MARCO CHALI-PARTY ZONE...VIDEO YA BEI MBAYA,KALI MNOOO


Bonyeza link http://t.co/U7Bb9uUO cheki mzigo ulivyokaa poa pale kati.

Video hii imetengenezwa nchini South Africa,na estimates za utengenezwaji wa Video hii ni Dolari za Kimarekani 30,000 kutoka kwa the well-known Video Producers in Africa,GODFATHER...Mkono wa MARCO CHALI aka DOCTOR CHALI wa MJ Records...Maneno hayatakiwi kuwa mengi sana.

Ingia mwenyewe uwatch Video hii na utakubali kwamba AY anafanya Muziki wa Kimataifa na ndio maana akaingia gharama na kutoa mkwanja mrefu ambao kwa madafu ni zaidi ya Milioni 45 za Kitanzania.HATARI!

AY AKIWA NA PREZZO



Big up AY...Big Up MArco Chali...Big Up Godfather kwa kazi nzuri sana!

No comments:

Post a Comment