Monday, June 25, 2012

NAHISI NICKI MINAJ NI MPARE..HII SIO KAWAIDA

Ndio maana siku hizi wadada wa kibongo nao wanafanya hii mambo...Ulaya na Marekani haya mambo yamekuwa kawaida kabisa.

Huyu anaitwa Nicki Minaj ambae mimi nahisi ni Mpare...wanawake wa kipare wanafahamika kwa sifa ya kuwa na Good shapes...Kama kweli anavyoonekana sasa hajafanya mchanganuo wowote ule katika kuongeza maujuzi,ama kwa hakika tusibishane,Nicki ni MPARE!

Tumezoe wazungu ni wembamba na Sony Wega nyuma...sasa huyu inakuwaje??

Kila mwaka akipigwa picha anaonekana duh...

Watu wamekuwa wanasuspect kwamba maybe Nicki huwa anafanya Surgery ya body parts...Lakini yeye mwenyewe akihojiwa mara kadhaa amekanusha hilo na kusema hawezi kuwazuia watu kuongea,na anapenda kuwa centre of attention ila ule mzigo kapewa na mama.

Swali ni Je,mbona ngoma imekua ghafla yaani,kama Graph ya demand and Supply bana....

Hebu tuangalie halafu tukubaliane,ni Surgery au Nicki ni Mpare???

MCHEKI NIKI BEFORE,MWAKA 2010 TU HAPO





HATISHI KIIVYO,HII HATA WACHAGA WANAYO


CHEKI...KAWAIDA TU YAANI


ANGALAU INGEBAKIA HIVI,MASWALI SI SAAANAAA




 CHEKI SHUGHULI YAKE SASA HIVI..GHAFLA BIN VUU KAMA ALIVYODAKWA NA WADAKU







DUUUUHHHH..IMAGINE

 ULALAH FUNDI KALALAH


SASA HII NDO CURRENT,YA JUZI TU AMBAYO WADAU WANASEMA AMEFANYA SURGERY YA 3....WHATS THIS FOR ANYWAYS???WADADA WANAJUA ZAIDI


No comments:

Post a Comment