Wednesday, September 26, 2012

MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU ATOA LISTI YA WANAUME 322 ALIOWAAMBUKIZA NGOMA

Kumekucha...

Huku vyuoni sijui wanafundisha nini siku hizi maskini,naona ni ngono tu ndo somo ambalo wanafunzi wanafaulu sana...Matokeo yake ni kuambukizwa magonjwa makubwa...INASIKITISHA

Mwanafunzi huyu wa kike ametoa listi ya wanaume 322 aliowaambukiza ngoma....Nia yake ilikuwa aambukize wanaume 2500 ila sio kazi ndogo..ameingiwa roho ya ubinadamu ameamua kustop sasa...Lakini Stop Watch yake imezima baada ya kuwa ametimiza listi ya Wanaume 322...Haya ni mafanikio ya asilimia 12.88 ya Target yake.

Kwanini ameamua hivi....Mara yake ya kwanza kabisa yeye kufanya ngono...Hapohapo akaambukizwa UKIMWI....Wanafunzi mkiambiwa muende kusoma msome,Mapenzi yapo tu,hayana haraka,mnakimbilia mambo yasiyo na tija kwenu...Someni..Yatawakuta kama huyu dada.

Chuo anachosoma ni Nairobi University...Picha yake hiyo hapo,mtoto mkaliiiiii,ukimtazama kwa macho lazima utupie mbichi maana kanona....Ila ndo ameshaungua sasa

No comments:

Post a Comment