Tuesday, September 25, 2012

SABABU KUU 3 KWANINI WANAWAKE WAMEAMUA KUKIMBILIA USAGAJI






Ni aibu sana kwake..Kwa familia...Kwa jamii,na ndio maana wanajificha...Haiko wazi coz its awkward...

Wanawake ni viumbe so complicated...They need perfection...Sometimes wamejikuta wakichukua hatua ngumu sana kwa sababu tu hawapati Perfection wanayoitaka katika kitu fulani..

Mathalani kwenye masuala ya mahusiano,Wanawake wamekuwa wakilalamika sana,sana sana especially siku hizi,na wameamua kutumia SHORTCUT...Wameamua kuwa Wasagaji ili waweze kukabiliana na presha za vitu kadhaa vinavyowanyima raha....

Usagaji ni kimeo...kibiblia ni DHAMBI NA CHUKIZO KWA MUNGU....Kibinadamu ndio kabisa,ni AIBU KUBWA....Kihisia ni Uongo mtupu....Kwa nguvu zote tuungane kuupinga usagaji...watoto wa kike wengine wazuri sana,warembo,ukiambiwa ni wasagaji hutaamini,lakini ndivyo!

Sababu kuu 3 kwanini Wanawake wanashift na kuamua kuwa Wasagaji ni hizi hapa:

1.WANAUME WANAZINGUA

Hii ndio Falsafa yao Mpya.Wanaume mizinguo! Wanawazinguaje...Hawana true Love...Wanawamixx na mademu kibao,wanaumia feelings...Kwahiyo kimbilio pekee ni kwa wanawake wenzao,maana they can control them...This is so fake...Mungu hakuwa mjinga kukuumba Mwanamke na akamuumba Mwanaume kuwa na Kiungo ambacho Mwanamke hana ili kikune pale,sasa huu mkuno wa Female kwa female,hata kama Wanaume ni mizinguo,si vema kuwa na Temporary Solution kwa Long term problem...Kwani zamani hakukuwa na Wanaume???why nyie tu mje na sababu hizi???

2.WANAUME WANASHINDWA KUKUNA IPASAVYO WAKIPEWA NAFASI

Hili naweza kuwaelewa.Wanaume siku hizi wamekuwa mariyoo mno...Swagger kibao zimejaa..Mapenzi hayana Swagger,Mapenzi ni kazi,ukipewa Kifusi shindilia,unaleta Swagger Bed???Swagger hazilipi bili....

Mtu asubuhi anakula Kababu...mchana chips yai..Usiku Soseji...Utaweza wapi kazi sasa???Wanawake wanataka mzigo,kuremba kwenu...Hili Wanaume mnabeba lawama zoteeeeeee,usipopiga kazi,aidha watapiga Wanaume wanaojua shughuli,au ndo hivi sasa wanaanza kushughulikiana wao kwa wao,maana wanajua wapi pa kugusa mwenzao aje...Wanaume acheni Swagger,ukipewa kazi kamua...

3.KUIGA

Kila kitu cha West nanyi mmo...Ukiomna Marekani wanapromote unatamani kujua nn utamu wake...Mtaiga kila kitu????Iga vya maana,huu upuuzi achaneni nao,wazungu maboya,wanawalisha kasa mnapotea...ukianz hii kitu kuacha ni shughuli pevu sana...Mnaharibu wenzenu,mnaharibu watoto wenu mtakaopata..na mnaharibu jamii

Chekini wenzenu hawa maboya hapa chini,sasa ndo nini hii??Raha ya utamu upewe na kidume,ILA kidume kijue kazi...

Wanawake ni kwa ajili ya Mwanaume...Hasi na Hasi sio mpango...Mpango mzima Chanya na Hasi...

WANAUME....Pigeni kazi,hawa Wanawake hawataki stori mingi...kazi tu,we kula kula michips hiyo uone kazi




1 comment:

  1. DUNIA IMEFIKA KUBAYA SS!!!!!!!????????????

    ReplyDelete