Friday, July 13, 2012

USICHUKUE USHAURI WA KIFEDHA KUTOKA WATU WALIOFULIA...DONT TAKE FINANCIAL ADVICE FROM BROKE PEOPLE

Tangu lini Matonya ombaomba atamshauri Manji ajenge ghorofa Samora Avenue??Sanasana atamwambia ghorofa litaanguka blaza bora ufuge ng'ombe hata akiumwa utachinja ule nyama...Narrow thinkers will always give you Narrow Ideas.

 Do not take Financial Advice from Broke people!We unadhani watakushauri nini???Mawazo yao yamefungwa kwenye umaskini,hawaoni opportunities hata zinazopita kwenye Kope za macho... yao,kamwe usiombe ushauri watu hawa,wamefulia kuanzia Mfukoni hadi mawazoni.Ni waoga,na usidhani mtu mwoga atakushauri kitu cha kijasiri.

 Ni sawa na mtu aliyeachika kwenye Ndoa awe ndo Kungwi wako wa kitchen Party,Jiandae kwa talaka tu ndugu yangu!Watu wengi wameshindwa kujikwamua kwenye umaskini kwa sababu tu wameomba ushauri kutoka kwa Wrong people........
Wahenga walisema Ukitaka kunukia waridi kaa na waridi,ukitaka Mafanikio ongea na watu waliofanikiwa,hao wanazo mbinu za kukufikisha mahali ambako wao wamefika.Division 0 akikufundisha wewe mbinu za kufaulu basi usitegemee utapata Division 1,jiandae kupata Division Negative,kama ipo!
 
Watu wengi wana mawazo yenye thamani ya GOLD,wanaenda kushea mawazo hayo kwa watu wenye thamani ya Madini ya Ulanga....There will be no added Value...Gold should stay with Gold because its more valuable....Labda Ulanga uje kwa Gold ili uongezewe thamani,and not vice versa.
 
Your finacial Breakthrough itategemea na aina ya watu unaowakaribisha katika maisha yako,hawa wana-kuaffect kwa namna moja au nyingine...Kama wewe hutawaaffect wao,basi watakuaffect tu....Wataua ndoto zako kubwa kwa sababu wao hawana ndoto kabisa au ndoto zao ni za kitoto.
 
Amua leo,Je,una ndoto kubwa ya ku-achieve???Look for the right people to nourish it....Sit down with them,watakuonyesha njia
 
Ukiendelea kukaa na hao wasio na msaada utabakia hapohapo na usipoangalia utaanguka kabisa.
 
UAMUZI NI WAKO!

3 comments:

  1. oohh kumbe .. ila maskini anatakiwa anishauri nini sasa..jinsi ya kulia au jinsi ya ku savaivu kone njaa

    ReplyDelete
  2. Kila mtu ana wazo la ziada nakubaliana nawe lakini pia ni vyema kuheshimu na kuthamini mawazo ya kila mtu ndio maana kura moja ya masikini ina thamani sawasawa na kura moja ya tajiri

    ReplyDelete
  3. Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

    Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
    Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
    Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

    Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
    Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
    Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
    Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
    Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
    Nitaendelea kushukuru milele.
    Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
    . Usaidizi wa kurejesha ndoa
    . Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
    . Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
    . Mwongozo na ulinzi wa kiroho
    Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159

    dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete