Saturday, January 14, 2012

WANAWAKE MSIDANGANYIKE NA WANAUME KULIA MACHOZI

MTU MZIMA AKILILIA PENZI


Wanawake msidanganyike na machozi,Mwanaume kulia machozi ili ajiongezee pointi za kukupata ni rahisi tu,anakuja amejikoki mwananhu,anavuta taswira ya shangazi yake aliyempenda amekufa mwaka jana kwa ajali,atatoa chozi hilo na kamasi juu kama mnyakyusa wa tukuyu.halafu ulivyo juha We unaenda kujisifia kwa mashosti yule mkaka ameliaaa kweli ananipenda,kumbe umelamba Joker.Watu tuna machozi yetu hapa usipime...msiniulize mtawatambuaje,kazi kwenu tembeeni na pima maji kama fundi mwashi!

1 comment: