Tuesday, June 19, 2012

STORI KAMILI YA MWANAFUNZI WA SAUT ALIYEPOTEA BAADA YA RAFIKI YAKE WANAYEKAA ROOM 1 KUNITAFUTA LEO KUHADITHIA TUKIO ZIMA MWANZO MWISHO

Nimepata Fresh update mchana huu baada ya rafiki wa karibu wa Msichana huyu aliyepotea kunizamia hewani na kunipa mchapo mzima wa issue hii inayosisimua...


Stori ya jana iliishia kwa jamaa kumuita Msichana Hotelini ili waonane kwa mara ya kwanza na kucheza mechi matata....TUENDELEE


Alipo fika hotelini mshkaji alimuelekeza chumba alichopo akaenda akamkuta kalala, jamaa hakuamka kumkaribisha ,hamna cha waooooooo wala Hug... akasema njoo kitandani tu mimi nimechoka na uchovu wa safari

Basi Shosti akasema basi na mimi ngoja nioge ndo nije hapo kitandani si unajua kujiandaa na mechi tena



Akavua nguo akaingia bafuni kupiga ma-shower...



Wakati anatoka bafuni akamkuta jamaa kasimama,hayuko tena Kitandani...Halafu yuko uchi...Sehemu ya chini ya kitovu kuja kwenye eneo la tukio kuna kama Funza hivi wanatembea lakini hawaanguki chini...



Akataka kukimbia akamwambia ukikimbia tu unakufa, unataka kwenda wapi zile hela ulizokuwa unakula unadhani zilikuwa zinatoka wapi...Stori ni kwamba jamaa alikuwa anatuma mkwanja zaidi ya Laki3 kila mwezi kwa mtoto wa kike...Muda wa kuzilipia sasaaaa



Akamwambia haya panda kitandani unipe mambo mie...



Demu kusikia kufa akawa hana jinsi akapanda kitandani jamaa alivyosimika tu mzizi demu kama aka-pass out anakuja kushtuka kumekucha, haelewi nini kimetokea baada ya lile tendo...



Asubuhi ameamka anamuona jamaa kalala.....akikumbuka alicho kiona na wale funza  na anavyo ona asubuhi hii ni tofauti... Mwanaume akawa wa kawaida kama anavyomuona Facebook,Handsome fresh tuu akaamka,akaoga freshi akamuaga mie naenda chuo basi ntakuja badae, akasepa


Basi kufika chuo hakutaka kuwaambia wenzie ukweli kwamba kapelekewa mjeledi na jamaa ameoza...Akauchuna akawaambia wenzie ameonana nae mshkaji...Ghafla akabanwa mkojo,kwenda chooni kukojoa anaona wale Funza kama jamaa kuleeeee....


Ikawa soo,ikabidi tu sasa aseme ukweli ili asaidiwe...Wenzie wakampeleka Dispensari ili asaidiwe...Kule akachomwa sindano lakini hali ikazidi kuwa mbaya ikabidi wale manesi wamshauri tu apelekwe Bugando Hospital wacheki zaidi tatizo.


Njiani kuelekea Bugando ndipo mazingaombwe yakatokea na demu akapotea ghafla...


Wale mashosti kwa kuwa walikuwa na namba za yule SHEMEJI JINI wakampigia simu ili kumuuliza kulikoni....Jamaa akasema WALA SIO YEYE NA HUYO ALIYEKUJA MWANZA HAMJUI....


MPAKA HABARI HII INAPOANDIKWA DADA HUYO HAJAPATIKANA



16 comments:

  1. badili rang hayo maandish weka meuc yanaumiza macho

    ReplyDelete
    Replies
    1. Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

      Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
      Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
      Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

      Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
      Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
      Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
      Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
      Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
      Nitaendelea kushukuru milele.
      Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
      . Usaidizi wa kurejesha ndoa
      . Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
      . Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
      . Mwongozo na ulinzi wa kiroho
      Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159

      dawnacuna314@gmail.com

      Delete
  2. mpaka ikutokee ndio utajua kama ni cooked story au lah...this is real my friends

    ReplyDelete
  3. sawa nimebadili,sorry for that kaka anonymous

    ReplyDelete
  4. du hii ni balaa jamani hizi tamaa zinaponza wengi, tatizo watu haawridhiki na kidogo vitu vikubwa vinapoteza watu wengi sana hasa wasichana. hili ni funzo tosha kabisa na bora kuridhika kwa kidogo ulichanacho sababu kama Mungu kakupangia kukupa kikubwa zamu yako ikifika utapata tu................tamaa mbaya sana

    ReplyDelete
  5. Hii ni cooked story and only a fool will agree to it, ya not a journalist ndo maana unatuwekea here says kwa vile principals za uandishi huzijui, tunakusamehe kwa hilo!

    ReplyDelete
  6. tupe jina la huyo dada ili tuamini

    ReplyDelete
  7. duhh utumbo umeniruka aisee

    ReplyDelete
  8. anonymous fungua blog yako na ww tuwe tunaona unavyoviandika...kama wajua sana kujiblog..hujaulizwaaaa

    ndimi anonymous mtata na 2

    ReplyDelete
  9. Dah! Hzi tamaa znawaponza wadada. Tatizo ni kwamba wanapenda mteremko kwenye maisha.

    ReplyDelete
  10. eti cooked story umetumwa usome au uamini ptuuuuu

    ReplyDelete
  11. Hata kama ni c00ked stry bt inamafundish0 ndani yake s0 kama umepevuka akili utatake acti0n ila ukiwa mbwiga nd0 utaanza kujudge na kujua ukweli wa stry

    ReplyDelete
  12. mungu tunusuru na hili,ingawa tamaa zili mponza lakini ni darasa kwa waliobaki na wako katika matumizi ya mitandao ya kijamii,kapoteza pesa za wazazi,ewe mwenzangu jiulize mpaka sasa yuko wapi na anafanya nini?

    ReplyDelete
  13. kuna ukwel hapa coz story ni kibao hapa chuo!

    ReplyDelete