Nimelazimika kuandika hili japo sikupenda sana kuingia so deep kwenye issue za Bed lakini nimegundua watu wengi wanakosea hadi hapa pia...
Kuna siri kubwa sana kwenye Kitanda....Hapa ndio kila kitu kuhusu wapendanao wawili hutokea.Mtadanganyana mtaani,mtaenda Outing,Mtapeana maua,mtanunuliana zawadi,mtaenda Movie,Mtafuliana nguo na kupikiana,lakini mwisho wa siku lazima mfike NGOME KUU.....Ngome kuu iko kwenye Kitanda...
Na hapa ni wote wawili wala sio Mwanaume tu,au Mwanamke tu....Kila mmoja ana matatizo yake
Kuna wanaume wanakosea na wanawake wanaokosea pia..Shida kubwa ya kukosea mkifika ngome kongwe ni kupafanya ngomeni pawe sio exciting anymore na inakuwa utumwa....Nimewahi kuongea na watu kadhaa ambao kwao Love making sio issue tena,hawaifeel,hawana hamu,na ikitokea wamefanya basi ni kwa sababu ni wajibu tu jamaa anataka ila si kwa mapenzi yake...This is bad...Mi naamini hakuna mtu asiyependa kumake Love ila kuna watu wameharibu feeling za watu kiasi kwamba mtu anaona kumake Love ni kama adhabu,nothing is exciting in it wakati ni tendo la raha raha raha siku zote kama mkijua la kufanya.
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA UKIWA NGOME KONGWE
1.MAPENZI NI SANAA NA SAYANSI
Huwezi kukurupuka tu linapokuja suala hili...Sanaa inatakiwa.Kama wewe ni Mwanaume jua una kazi kubwa sana kwenye hili jambo....Sanaa inaanza kabla hata hamjaenda,unamuandaaje huyo mtu mkiwa mnakwenda,Ile sio Quiz kwamba unamshtua mtu tu kama Amri,Bebii Quiz now...Bebi tufanye,ah ah...Mtengeneze kisaikolojia Mwanamke kwanza kwa maneno,ili aanze kufeel,na kama hayuko interested atasema,ni mbaya kwenda ngome na mtu ambaye hana hamu siku hiyo.Inawezekana ana mambo yanamsonga,ana stress fulani,MSIKILIZE.Sio kisa we umebanwa basi unakimbilia tu chooni,hapana
Nimeongelea suala la kumuandaa mwanamke kisaikolojia maana wanaume Every time is tea Time...Mwanaume hata umshtue sa 10 usiku vitu utapata,wala hahitaji kupashwa moto kama kiporo,ukibonyeza tu swichi lazima taa iwake
2.UVIVU MWIKO
Linapokuja suala la Uvivu...Hapa wote mnaingia...Kuna wanawake ni wavivu,wakiwa ngome utadhani kuku aliyebanikwa,mpaka mpishi akugeuze...Inaboa sana.Kama hutaki sema,ila Wanawake shurti kushughulika,usimwachie Mwanaume kazi yoooteee utafikiri we umeenda pale kuchinjwa halafu yeye ndo mchinjani,kitandani sio Kibla....Kukuruka!Muonyeshe na wewe wamo.Wengine eti wanaogopa wataonekana malaya,aliyekwambia hivyo nani???Mapenzi ni umalaya tosha,kuwa malaya kitandani ni ruksa na sio nje ya kitanda.kuwa malaya kwa Mmeo ni ruksa,si mmeo sasa usipompa umalaya wote utampa nani???Habari ndo hiyo
3.HARAKA MWIKO:UNAWAHI WAPI???
Wanawake wenye haraka huwa sio wengi,wanawake wengi wanafaulu hapa,na hii ni kwa sababu wanawake ni receivers mara nyingi.Inawachukua muda kufika Kibo na ni mpaka upate mtu mwenye uwezo huo.Kasheshe hapa ni wanaume!
Wanaume wengi ni very selfish,hawajali.Wao wana hamu,wakimaliza hamu zao wanalala,tena na kukoroma.Hawajui mwenzake alishafika kitonga au lah,yeye hana habari.Hii ni hatari sana kwa uhusiano wako.Siku mkeo akikumbana na wazee wa kusimamia kucha ujue umempoteza.Kuna watu wako bize,wanasimamia kucha kama wameajiriwa Rasilimali kiuno.Sasa wewe akija kwako unajipimia mwenyewe halafu yeye unamuacha hewani,usimlaumu kamwe akicheat,maana wewe umepewa kazi imekushinda,kama kuna mtu anaifanya perfectly afanyeje??
Lakini je,na wewe mwanamke unamueleza huyo mmeo kama yeye ni selfish???Usikurupuke na kumwambia wewe ni selfish na hunifikishi,wanaume huwa hawajisikii vizuri,tafuta njia nzuri ya kumfikishia ujumbe huu in a good way maana wengine hii shule imewapitia kando.Muelekeze,usiogope,huyo ni wako kwahiyo muonyeshe ngoma inachezwaje,akimaster wote mtafurahi.Tatizo la wanawake hawasemi,wanauchuna halafu wanatafuta option za nje....Hii ni mbaya....Na wanaume wengi mkiambiwa mnanuna,sasa unanuna nini,kama humfikishi unataka amwambie nani zaidi yako wewe???Mkiambiwa muelewe na mtafute njia za kuweza kuwafikisha wake zenu lasivyo msilaumu mkisaidiwa!
Dakika 5 Mwanaume tayari ushaamsha Mashabiki,unawahi wapi???Unakimbilia wapi???Kwa Mwanaume Kama kushuka utashuka tu,msubiri mama ajipimie visoda vya kutosha,Dance with her na Shuka pale tu mama akikuruhusu kushuka lasivyo ni Mwiko kwa Mwanaume kushuka kama hujapewa Green Light kutoka kwenye Traffic Lights za mkeo ushuke,lasivyo utavuka mataa na Red lights na hiyo ni Traffic Offense...Unawahi wapi?????Utapata ajali bure kwa haraka haraka zako!
4.COMMUNICATION ON BED IS POWER
Kwakweli hili ndio tatizo kubwa.Mshafika ngome,mnacheza ngoma...cha ajabu eti kuna watu hawaongei kabisa...Sasa utajuaje mwenzio anataka nini na amefika wapi,na ufanye nini ili awasili??
Msiishi kama mabubu...ONGEENI! Na kama mlikuwa hamuongei anza leo itakusaidia sana sana...Kuongea kutawafanya mfike pale ambapo hamjawahi kufika....Kuongea kutamfanya Mwanamke akupe instructions kwamba uguse wapi ambako yeye anakunika....Kwenye Mapenzi,mwenye mtihani zaidi ni Mwanamke ambaye hadi afike kileleni ni ishu,msaidie yeye zaidi kwa kumpa nafasi ya kucommunicate nawe....TRUST ME,ukimruhusu Mwanamke acommunicate na wewe utaona changes...Atakwambia kila kitu,na utaenjoy.
Build a better relationship,Mfanye Mmeo/Mkeo ajisikie raha ukimuita Ngome,maana wengine Ngome Kongwe pamekuwa eneo la mateso,hawaoni raha ya Mapenzi maana ukifika wewe huna ushirikiano zaidi ya kujifikiria wewe na hamu zako au kwenda pale kumridhisha tu fulani ila sio wote kufaidi.
Raha ya Mapenzi ni wote kutoka pale mkiwa mnasema YESSSSS,This was the game,na sio mmoja anachekelea na mwingine anatoka kama alivyoingia,Huo ni Uonevu wa Kijinsia.
Kwa leo tuishie hapa!
Thursday, July 26, 2012
Monday, July 23, 2012
DALILI 7 ZA MWANAMKE GOLD DIGGER...ANAENJOY HELA YAKO TU NA SIO PENZI LAKO
HIZI NI DALILI ZA MWANAMKE GOLD DIGGER....KAA HUMO,UKIONA UMEZIONA HIZI DALILI KWA MTU JIPANGE AU UKAE MGUU PANDE...MGUU SAWA
1. ANAOMBA UMNUNULIE KITU CHA BEI AU UMKOPE HELA NDEFU SIKU ZA MWANZO TU ZA UHUSIANO
Hii ni dalili kwamba Mahaba/Ngono anayokupa unailipia bila kujua.Hakutozi hela ukimaliza tendo lakini few hours later au baada ya siku 1 tu,utapigwa mzinga baab kubwa ambao kwa namna moja au nyingine unatoa picha kwamba ni TIT for TAT,Nimekupa utamu wangu na wewe lazima Wallet yako itikisike kulipia utamu huo.Umewahi kukumbana na hii?????Umekumbana na Gold Digger!
2. ANAVAA VITU VYA BEI MBAYA SANA,ANAMILIKI SIMU GHALI AMBAZO WEWE MWENYEWE HUNA NA HANA KAZI
Haya sasa....Unawajua type hii??Ukimuona swagger zake ni za bei...Nywele feki (Wigi) bei mbaya,Viatu bei mbaya....Simu za Bei ghali..Nguo ananunua kwenye maduka ambayo bei zake ni za hatari hatari....Ukimuuliza anafanya wapi kazi...HANA KAZI....HANA BIASHARA....Shes just at home,kwa wazazi....Na wazazi wenyewe wala sio wa kishua kusema wanampa all these stuffs....Dingi atoe laki7 ya Weaving....Milioni ya iPhone na BB Torch....Wazazi wa namna hii walikufa na Azimio La Arusha...SIDHANI! Sasa anapataje vitu na kuweza kuvimanage na yeye kumanage kuishi expensive wakati Life yake na ya familia ni Poor....Jiulize!Na watajitetea sana lakini Je, Wanaokota hizo hela???Mbona sie hatuokoti???
3. HATA SIKU MOJA HALIPI BILI NA HATA AKILIPIWA HASEMI ASANTE
Hapo chacha!Ni kweli kwamba siku ya kwanza wakati Mwanaume anakutokea lazima alipie misosi na nini...Si ndo amekuita kwenye Date????Hilo linaeleweka....Ila mshaenda Outing mara mia8....Zote anakausha...Ikifika mida ya Bili yuko bize na kujibu BBM,hataki hata kujua bili ni Sh ngapi maana vitu alivyokula ni vya bei na anajua bili ni maumivu tu....Atajifanya yuko bize,aidha meseji au anaongea na simu....Hapo jua ngoma inogile,Unguza tu wallet mwanangu....
4. ANATAKA KWENDA MIGAHAWA YA BEI TU,AU HOTELI ZA BEI GHALI KULALA NA KULA
Hawa pia wapo,tena wengi...Wao madai yao eti ni watu wa CLASS.....Ukimwambia mkale mahali atakutajia sehemu ambazo wewe hata hujawahi kuwaza kula.....Lets go to Saverios tukale Prawns...Kitu elfu 70....twende sijui Pub gani....Mara level 8 is a chilly place...juice tu elfu 8.....mmmhhh.....Mwambie muende Corner Bar uone vita vya 3 vya dunia,,au sehemu tu ambayo ni nzuri ya kawaida..ooh pale kelele,mara pale sijui vile....Mwanamke ambaye hajali una sh ngapi mfukoni,yeye ana-assume una hela tu za kuunguza...Hawazi how to help her man to SAVE! Gold digger hawezi kuhurumia pochi yako,KAMWE!
5. ANGALIA MA-EX WAKE
Ingawa si jambo zuri kufuatilia past za watu...lakini we fuatilia tu watu wa aina gani amedate nao...mara mwanamuziki...mara babu wa kizungu...mara mcheza mpira...mara movie actor...Jiulize,mbona hamna kajamba nani kwenye listi???That means she is selective...anajua huyu atampa kitu.wewe umeibuka unafanya kazi Bodi ya Misuli tanzania,utampa nini???atakupa mitihani mwenyewe hadi utafeli,maana hauko kwenye trend of men anaowataka
6. LAZIMA AFUATILIE KUJUA UNA MSHAHARA WA SH NGAPI AU UNA ASSET NGAPI
Gold digger lazima akupige maswali haya....Baby kwani mshahara wako sh ngapi????Akijua mshahara anaanza kujiset kupiga mizinga.....Kama mshahara milioni 2 hawezi kuona hatari kuomba laki5 ya ghafla ghafla...Na ukimwambia huna utasikia..Yaani u cant give ur babe even laki5???Kwani ya kwako???ina maana mi sina matumizi yangu??sina wazazi???sina ndugu???sina mipango??yaani we utoke huko tu,naomba laki 5,kaichimbe ardhini kama ni rahisi kupata
7.UTAONA KIPOCHI BAADA YA KUFANYA TUKIO LA BEI MBAYA
Hii ni mbaya kusema lakini ndio ukweli.Msichana wa dizaini hii,hakupi penzi hadi ufanye kitu flani hivi ambacho kimeinvolve hela ndefu sana...Kwa mfano,Ukimnunulia simu ghali,na anajua bei yake....Utapewa penzi kwa sababu anajua imekuuma sana kutoa hiyo hela.....Umempa mtaji wa Biashara uchwara aliyokuomba,anakupa penzi....The whole relationship unakuwa kama unalipia penzi kwa changudoa,na bora hata changudoa coz una-bargain ununue wa elfu 20 au 30 kwa saa,hawa mizinga yao huwa ni bab kubwa,ukitoa hiyo hela lazima jasho likutoke!
KAMA UMEPATA DEMU WA NAMNA HII,NA NIA YAKO NI NZURI,AIDHA KUWA KWENYE SERIOUS RELATIONSHIP AU UJE KUOA,WAZA UPYA,UNAJITAFUTIA MATATIZO MAKUBWA SANA...SHE IS JUST A GOLD DIGGER MY FRIEND,SHE ONLY ENJOYS YOUR MONEY NOT YOUR LOVE!
1. ANAOMBA UMNUNULIE KITU CHA BEI AU UMKOPE HELA NDEFU SIKU ZA MWANZO TU ZA UHUSIANO
Hii ni dalili kwamba Mahaba/Ngono anayokupa unailipia bila kujua.Hakutozi hela ukimaliza tendo lakini few hours later au baada ya siku 1 tu,utapigwa mzinga baab kubwa ambao kwa namna moja au nyingine unatoa picha kwamba ni TIT for TAT,Nimekupa utamu wangu na wewe lazima Wallet yako itikisike kulipia utamu huo.Umewahi kukumbana na hii?????Umekumbana na Gold Digger!
2. ANAVAA VITU VYA BEI MBAYA SANA,ANAMILIKI SIMU GHALI AMBAZO WEWE MWENYEWE HUNA NA HANA KAZI
Haya sasa....Unawajua type hii??Ukimuona swagger zake ni za bei...Nywele feki (Wigi) bei mbaya,Viatu bei mbaya....Simu za Bei ghali..Nguo ananunua kwenye maduka ambayo bei zake ni za hatari hatari....Ukimuuliza anafanya wapi kazi...HANA KAZI....HANA BIASHARA....Shes just at home,kwa wazazi....Na wazazi wenyewe wala sio wa kishua kusema wanampa all these stuffs....Dingi atoe laki7 ya Weaving....Milioni ya iPhone na BB Torch....Wazazi wa namna hii walikufa na Azimio La Arusha...SIDHANI! Sasa anapataje vitu na kuweza kuvimanage na yeye kumanage kuishi expensive wakati Life yake na ya familia ni Poor....Jiulize!Na watajitetea sana lakini Je, Wanaokota hizo hela???Mbona sie hatuokoti???
3. HATA SIKU MOJA HALIPI BILI NA HATA AKILIPIWA HASEMI ASANTE
Hapo chacha!Ni kweli kwamba siku ya kwanza wakati Mwanaume anakutokea lazima alipie misosi na nini...Si ndo amekuita kwenye Date????Hilo linaeleweka....Ila mshaenda Outing mara mia8....Zote anakausha...Ikifika mida ya Bili yuko bize na kujibu BBM,hataki hata kujua bili ni Sh ngapi maana vitu alivyokula ni vya bei na anajua bili ni maumivu tu....Atajifanya yuko bize,aidha meseji au anaongea na simu....Hapo jua ngoma inogile,Unguza tu wallet mwanangu....
4. ANATAKA KWENDA MIGAHAWA YA BEI TU,AU HOTELI ZA BEI GHALI KULALA NA KULA
Hawa pia wapo,tena wengi...Wao madai yao eti ni watu wa CLASS.....Ukimwambia mkale mahali atakutajia sehemu ambazo wewe hata hujawahi kuwaza kula.....Lets go to Saverios tukale Prawns...Kitu elfu 70....twende sijui Pub gani....Mara level 8 is a chilly place...juice tu elfu 8.....mmmhhh.....Mwambie muende Corner Bar uone vita vya 3 vya dunia,,au sehemu tu ambayo ni nzuri ya kawaida..ooh pale kelele,mara pale sijui vile....Mwanamke ambaye hajali una sh ngapi mfukoni,yeye ana-assume una hela tu za kuunguza...Hawazi how to help her man to SAVE! Gold digger hawezi kuhurumia pochi yako,KAMWE!
5. ANGALIA MA-EX WAKE
Ingawa si jambo zuri kufuatilia past za watu...lakini we fuatilia tu watu wa aina gani amedate nao...mara mwanamuziki...mara babu wa kizungu...mara mcheza mpira...mara movie actor...Jiulize,mbona hamna kajamba nani kwenye listi???That means she is selective...anajua huyu atampa kitu.wewe umeibuka unafanya kazi Bodi ya Misuli tanzania,utampa nini???atakupa mitihani mwenyewe hadi utafeli,maana hauko kwenye trend of men anaowataka
6. LAZIMA AFUATILIE KUJUA UNA MSHAHARA WA SH NGAPI AU UNA ASSET NGAPI
Gold digger lazima akupige maswali haya....Baby kwani mshahara wako sh ngapi????Akijua mshahara anaanza kujiset kupiga mizinga.....Kama mshahara milioni 2 hawezi kuona hatari kuomba laki5 ya ghafla ghafla...Na ukimwambia huna utasikia..Yaani u cant give ur babe even laki5???Kwani ya kwako???ina maana mi sina matumizi yangu??sina wazazi???sina ndugu???sina mipango??yaani we utoke huko tu,naomba laki 5,kaichimbe ardhini kama ni rahisi kupata
7.UTAONA KIPOCHI BAADA YA KUFANYA TUKIO LA BEI MBAYA
Hii ni mbaya kusema lakini ndio ukweli.Msichana wa dizaini hii,hakupi penzi hadi ufanye kitu flani hivi ambacho kimeinvolve hela ndefu sana...Kwa mfano,Ukimnunulia simu ghali,na anajua bei yake....Utapewa penzi kwa sababu anajua imekuuma sana kutoa hiyo hela.....Umempa mtaji wa Biashara uchwara aliyokuomba,anakupa penzi....The whole relationship unakuwa kama unalipia penzi kwa changudoa,na bora hata changudoa coz una-bargain ununue wa elfu 20 au 30 kwa saa,hawa mizinga yao huwa ni bab kubwa,ukitoa hiyo hela lazima jasho likutoke!
KAMA UMEPATA DEMU WA NAMNA HII,NA NIA YAKO NI NZURI,AIDHA KUWA KWENYE SERIOUS RELATIONSHIP AU UJE KUOA,WAZA UPYA,UNAJITAFUTIA MATATIZO MAKUBWA SANA...SHE IS JUST A GOLD DIGGER MY FRIEND,SHE ONLY ENJOYS YOUR MONEY NOT YOUR LOVE!
Thursday, July 19, 2012
UKITENDWA NA MTU ULIYEMPENDA FANYA HAYA
Karibu kila mmoja wetu ametendwa,kwa namna moja au nyingine..Ni wachache sana ambao waliingia kwenye Mapenzi na wakafanikiwa kuoana na hao wapenzi wao bila kuhama baada ya kuumizwa na First Lover wake...Ila wengi tushahama nyumba kama 8(kadirio la chini) ndo kufikia hapo tulipo sasa
Uhamaji huu ni kwa sababu wale tunaowapenda,aidha hawatupendi in a same way,au wanajikuta wao wanatuhama,na hivyo inabidi tutafute nyumba nyingine ya kutusitiri...This is an on-going process,kila siku ya Mungu ipitayo,kuna Break ups,watu wanalia na kulia,kisha wanarudia tena...Ama kwa hakika Mapenzi ni machungu lakini watu wanayapenda no matter what...We keep on playing the Love Game despite of pains we get in the game...ila tutafanyaje sasa...Homoni ziko bize!
Wengi tulioumizwa na wapenzi wetu,wengine hatujaweza kusahau machungu ya First Men wetu...Thats true...Umempenda,ukamkabidhi bikira yako tukufu,jamaa akalikoroga,ukaachwa mataa ya Buguruni unashangaa..Unaishia kuwachukia wanaume...Haisaidii
Wale wanaume waliojitoa Mhanga,unampenda Mwanamke,unamzimikia(ambacho ni nadra sana Mwanaume kufanya),unamsomesha,unaingia gharama ukijua huyu ndio mkeo mtarajiwa,GHAFLA,linatokea jamaa kwa ulaini kabisa,linamwaga sumu baharini,Samaki wooooteee wanakufa...Huamini,umetumia gharama zote,na mahaba yote uliyompa kwa kujiminya kwelikweli,Sacrifice,hata babako hujawahi kumnunulia Batiki ili Mpenzi wako awe Clasic,jamaa kampitia fasta...Na demu anasepa huku anamwaga shombo kwamba HUJUI MAPENZI!Tusi kubwa sana kumwambia Mwanaume hili,atakuchukia milele,anaweza kukata roho huku anatukana jina lako.Umechukia wanawake,umeamua kuwakomesha,umekuwa Player,unawachezea na kuwaumiza wanawake kwa sababu ya Mwanamke mmoja aliyetibua nyongo,HAISAIDII!Na wala haitamaliza ile hasira,Kiu ya kuumiza itabakia palepale,hata uchezee wanawake 1000,atabakia moyoni tu!
SASA UFANYE NINI PALE UMPENDAYE SANA ANAPOKUUMIZA????
1.SAMEHE
Ngumu!Kila mtu anaguna aaargh,mi siwezi kumsamehe huyu Mwanaume,nimetoa Mimba zake 3 na bado kaniacha hana Shukrani!Hata ukimchukia ameshaenda,na ukimchukia hakutabadili zile mimba 3 ulizotoa ziwe watoto.Kumchukia kwako kunaufanya moyo wako uwe na Kinyongo,na hata ukikutana na Mr Right Man bado utakuwa na particles za woga na hasira,UTASHINDWA KUPENDA kwa moyo,kwa hofu ya kuumia...Dawa ni kumuachilia na kumtoa moyoni kwanza,hii itakufungulia mlango wewe kurudi kwenye Neutral Zone,ili Moyo wako uwe at ease,na love iendelee kuflow,lasivyo,utapishana na Muujiza wako wa Mme kisa una hasira ya jitu ambalo liko huko linakula zake raha,wewe huku unaendelea kuwa mtumwa wa Past.KAMWE,usiwe mtumwa wa Past,its gone,and you should move on!Hilo lilipita ili ujifunze kwamba wapo wa dizaini hiyo!
2.KUWA MAKINI KWENYE SELECTION
Usirudie kosa lile lile.Fanya screening ya kutosha(sio kama ya Questionnaire though),kama nia yako ni kuwa na uhusiano imara,kuna mambo ya kufanya.know the person better,familia yake,jua nia yake thabiti kwenye uhusiano huo,do some little test za kuprove kwamba he/she worthy it...ila isiwe too much...kuna tests huwa zinapiss off,unaweza kumpa mtu test akasepa,japo alikwa na nia...Ifanye kwa busara,usikimbilie tu mahusiano,ila kama unapass time,ize tu...Strong Relationships are built by Strong people...Jua level yake ya wivu,how anasolve matatizo yakitokea,ili ujue how to deal with taht person...Maana matatizo yapo tu,na wivu upo...jua Jealous level,jua Problem Solving mechanism yake...Ili yakitokea uhue fate.Kama ni mtu wa kupiga,au Mnunanji,Je,Uko tayari kuface Mnuno wa mwezi???Kama uko fit poa,go for it.Kama hauko fit usiforce,hata awe handsome au Gorgeous namna gani.Ndoa ni kimeo cha Milele,kuna vitu they look simple but in long run,they are so complicated....Msimamo wake wa Kiimani pia ukoje????Hili watu wanali-overlook sana,ila ni CRITICAL....Wote ni dini moja???Au mmoja Musilamu wewe Mkristo??Can u make it????Msichukulie poa tu,Tofauti za kidini mnaweza msione madhara yake ila ni msala...Watoto wakizaliwa ndo mtaona kazi,Wakwe watakuja juu,aitwe Asha au Neema,ndo utaona kazi..mtoto asali Msikiti wa Bin Jumaa au Lutheran Mbagala???THINK TWICE!
3.FALL IN LOVE
Baada ya choice kufanyika kwa umakini na una uhakika na mtu,Please FALL! Usianze maswali,sijui huyu atakuwa kama yuleeeee???Ah ah...ukianza questions tu,moyo wako hautafunga completely.Maadam umefanya Screening kwa uhakika,na kwa muda wa kutosha,na umesema huyu ndiye,basi FALL!
Ni balaa kushindwa kufall eti kisa uliumizwa nyuma,si nzuri kabisa...utajikuta kosa kidogo unakimbilia Break Up maana BREAK UP kwako ndio SAFETY ZONE.Hii sio njema.Umemchagua mwenyewe,Give Him/Her your all,and allow Him/Her to give asilimia zote za mapenzi kwako
4.TALK ABOUT YOUR RELATIONSHIP SO OFTEN AND CARE FOR MEMORIES
Ni vizuri kuongelea wapi mmetoka na wapi mnakwenda....Mara kwa mara ongeleeni how mmekutana,ilikuwaje...ingekuwaje kama msingekutana pale..Share how you feel for having him/her...Muonyeshe kwamba yeye ni wa thamani na ameleta mabadiliko kwako///
Kumbukeni Anniversary ya uhusiano wenu hata kama hamjaoana....Kama mlikutana April 15 kwa mfano,.Mnaweza kuwa mnakumbushana Kila Tarehe 15 ya mwezi kwamba mmetimiza miezi 6,au miezi 7...It shows kwamba ur happy with the relation...Lakini Pili,it shows kwamba you are going somewhere and you cherish the journey....
Trust me,This works...Hakuna ujanja mwingine wa kuwa na Penzi imara zaidi ya kulipenda penzi lenu kwanza....Epukeni maneno ya watu...Wakiona mnapendana wataanza chokochoko,utasikia maneno kuhusu Mpenzi wako...Mara hivi mara vile....Msiwajali,as long as nyie wenyewe wawili mnajua nini mnafanya na mnaaminiana,TRUST IS EVERYTHING...Kamwe msipoteze TRUST....Mkipoteza tu,amini amini nawaambieni,Mahaba yenu yatazama hapo KISIWA CHA CHUMBE!
Kwa leo inatosha!
Uhamaji huu ni kwa sababu wale tunaowapenda,aidha hawatupendi in a same way,au wanajikuta wao wanatuhama,na hivyo inabidi tutafute nyumba nyingine ya kutusitiri...This is an on-going process,kila siku ya Mungu ipitayo,kuna Break ups,watu wanalia na kulia,kisha wanarudia tena...Ama kwa hakika Mapenzi ni machungu lakini watu wanayapenda no matter what...We keep on playing the Love Game despite of pains we get in the game...ila tutafanyaje sasa...Homoni ziko bize!
Wengi tulioumizwa na wapenzi wetu,wengine hatujaweza kusahau machungu ya First Men wetu...Thats true...Umempenda,ukamkabidhi bikira yako tukufu,jamaa akalikoroga,ukaachwa mataa ya Buguruni unashangaa..Unaishia kuwachukia wanaume...Haisaidii
Wale wanaume waliojitoa Mhanga,unampenda Mwanamke,unamzimikia(ambacho ni nadra sana Mwanaume kufanya),unamsomesha,unaingia gharama ukijua huyu ndio mkeo mtarajiwa,GHAFLA,linatokea jamaa kwa ulaini kabisa,linamwaga sumu baharini,Samaki wooooteee wanakufa...Huamini,umetumia gharama zote,na mahaba yote uliyompa kwa kujiminya kwelikweli,Sacrifice,hata babako hujawahi kumnunulia Batiki ili Mpenzi wako awe Clasic,jamaa kampitia fasta...Na demu anasepa huku anamwaga shombo kwamba HUJUI MAPENZI!Tusi kubwa sana kumwambia Mwanaume hili,atakuchukia milele,anaweza kukata roho huku anatukana jina lako.Umechukia wanawake,umeamua kuwakomesha,umekuwa Player,unawachezea na kuwaumiza wanawake kwa sababu ya Mwanamke mmoja aliyetibua nyongo,HAISAIDII!Na wala haitamaliza ile hasira,Kiu ya kuumiza itabakia palepale,hata uchezee wanawake 1000,atabakia moyoni tu!
SASA UFANYE NINI PALE UMPENDAYE SANA ANAPOKUUMIZA????
1.SAMEHE
Ngumu!Kila mtu anaguna aaargh,mi siwezi kumsamehe huyu Mwanaume,nimetoa Mimba zake 3 na bado kaniacha hana Shukrani!Hata ukimchukia ameshaenda,na ukimchukia hakutabadili zile mimba 3 ulizotoa ziwe watoto.Kumchukia kwako kunaufanya moyo wako uwe na Kinyongo,na hata ukikutana na Mr Right Man bado utakuwa na particles za woga na hasira,UTASHINDWA KUPENDA kwa moyo,kwa hofu ya kuumia...Dawa ni kumuachilia na kumtoa moyoni kwanza,hii itakufungulia mlango wewe kurudi kwenye Neutral Zone,ili Moyo wako uwe at ease,na love iendelee kuflow,lasivyo,utapishana na Muujiza wako wa Mme kisa una hasira ya jitu ambalo liko huko linakula zake raha,wewe huku unaendelea kuwa mtumwa wa Past.KAMWE,usiwe mtumwa wa Past,its gone,and you should move on!Hilo lilipita ili ujifunze kwamba wapo wa dizaini hiyo!
2.KUWA MAKINI KWENYE SELECTION
Usirudie kosa lile lile.Fanya screening ya kutosha(sio kama ya Questionnaire though),kama nia yako ni kuwa na uhusiano imara,kuna mambo ya kufanya.know the person better,familia yake,jua nia yake thabiti kwenye uhusiano huo,do some little test za kuprove kwamba he/she worthy it...ila isiwe too much...kuna tests huwa zinapiss off,unaweza kumpa mtu test akasepa,japo alikwa na nia...Ifanye kwa busara,usikimbilie tu mahusiano,ila kama unapass time,ize tu...Strong Relationships are built by Strong people...Jua level yake ya wivu,how anasolve matatizo yakitokea,ili ujue how to deal with taht person...Maana matatizo yapo tu,na wivu upo...jua Jealous level,jua Problem Solving mechanism yake...Ili yakitokea uhue fate.Kama ni mtu wa kupiga,au Mnunanji,Je,Uko tayari kuface Mnuno wa mwezi???Kama uko fit poa,go for it.Kama hauko fit usiforce,hata awe handsome au Gorgeous namna gani.Ndoa ni kimeo cha Milele,kuna vitu they look simple but in long run,they are so complicated....Msimamo wake wa Kiimani pia ukoje????Hili watu wanali-overlook sana,ila ni CRITICAL....Wote ni dini moja???Au mmoja Musilamu wewe Mkristo??Can u make it????Msichukulie poa tu,Tofauti za kidini mnaweza msione madhara yake ila ni msala...Watoto wakizaliwa ndo mtaona kazi,Wakwe watakuja juu,aitwe Asha au Neema,ndo utaona kazi..mtoto asali Msikiti wa Bin Jumaa au Lutheran Mbagala???THINK TWICE!
3.FALL IN LOVE
Baada ya choice kufanyika kwa umakini na una uhakika na mtu,Please FALL! Usianze maswali,sijui huyu atakuwa kama yuleeeee???Ah ah...ukianza questions tu,moyo wako hautafunga completely.Maadam umefanya Screening kwa uhakika,na kwa muda wa kutosha,na umesema huyu ndiye,basi FALL!
Ni balaa kushindwa kufall eti kisa uliumizwa nyuma,si nzuri kabisa...utajikuta kosa kidogo unakimbilia Break Up maana BREAK UP kwako ndio SAFETY ZONE.Hii sio njema.Umemchagua mwenyewe,Give Him/Her your all,and allow Him/Her to give asilimia zote za mapenzi kwako
4.TALK ABOUT YOUR RELATIONSHIP SO OFTEN AND CARE FOR MEMORIES
Ni vizuri kuongelea wapi mmetoka na wapi mnakwenda....Mara kwa mara ongeleeni how mmekutana,ilikuwaje...ingekuwaje kama msingekutana pale..Share how you feel for having him/her...Muonyeshe kwamba yeye ni wa thamani na ameleta mabadiliko kwako///
Kumbukeni Anniversary ya uhusiano wenu hata kama hamjaoana....Kama mlikutana April 15 kwa mfano,.Mnaweza kuwa mnakumbushana Kila Tarehe 15 ya mwezi kwamba mmetimiza miezi 6,au miezi 7...It shows kwamba ur happy with the relation...Lakini Pili,it shows kwamba you are going somewhere and you cherish the journey....
Trust me,This works...Hakuna ujanja mwingine wa kuwa na Penzi imara zaidi ya kulipenda penzi lenu kwanza....Epukeni maneno ya watu...Wakiona mnapendana wataanza chokochoko,utasikia maneno kuhusu Mpenzi wako...Mara hivi mara vile....Msiwajali,as long as nyie wenyewe wawili mnajua nini mnafanya na mnaaminiana,TRUST IS EVERYTHING...Kamwe msipoteze TRUST....Mkipoteza tu,amini amini nawaambieni,Mahaba yenu yatazama hapo KISIWA CHA CHUMBE!
Kwa leo inatosha!
Friday, July 13, 2012
USICHUKUE USHAURI WA KIFEDHA KUTOKA WATU WALIOFULIA...DONT TAKE FINANCIAL ADVICE FROM BROKE PEOPLE
Tangu lini Matonya ombaomba atamshauri Manji ajenge ghorofa Samora Avenue??Sanasana atamwambia ghorofa litaanguka blaza bora ufuge ng'ombe hata akiumwa utachinja ule nyama...Narrow thinkers will always give you Narrow Ideas.
Do not take Financial Advice from Broke people!We unadhani watakushauri nini???Mawazo yao yamefungwa kwenye umaskini,hawaoni opportunities hata zinazopita kwenye Kope za macho... yao,kamwe usiombe ushauri watu hawa,wamefulia kuanzia Mfukoni hadi mawazoni.Ni waoga,na usidhani mtu mwoga atakushauri kitu cha kijasiri.
Ni sawa na mtu aliyeachika kwenye Ndoa awe ndo Kungwi wako wa kitchen Party,Jiandae kwa talaka tu ndugu yangu!Watu wengi wameshindwa kujikwamua kwenye umaskini kwa sababu tu wameomba ushauri kutoka kwa Wrong people........
Wahenga walisema Ukitaka kunukia waridi kaa na waridi,ukitaka Mafanikio ongea na watu waliofanikiwa,hao wanazo mbinu za kukufikisha mahali ambako wao wamefika.Division 0 akikufundisha wewe mbinu za kufaulu basi usitegemee utapata Division 1,jiandae kupata Division Negative,kama ipo!
Watu wengi wana mawazo yenye thamani ya GOLD,wanaenda kushea mawazo hayo kwa watu wenye thamani ya Madini ya Ulanga....There will be no added Value...Gold should stay with Gold because its more valuable....Labda Ulanga uje kwa Gold ili uongezewe thamani,and not vice versa.
Your finacial Breakthrough itategemea na aina ya watu unaowakaribisha katika maisha yako,hawa wana-kuaffect kwa namna moja au nyingine...Kama wewe hutawaaffect wao,basi watakuaffect tu....Wataua ndoto zako kubwa kwa sababu wao hawana ndoto kabisa au ndoto zao ni za kitoto.
Amua leo,Je,una ndoto kubwa ya ku-achieve???Look for the right people to nourish it....Sit down with them,watakuonyesha njia
Ukiendelea kukaa na hao wasio na msaada utabakia hapohapo na usipoangalia utaanguka kabisa.
UAMUZI NI WAKO!
Tuesday, July 10, 2012
NO LOVE WITHOUT TRUST...JINSI YA KURUDISHA IMANI ILIYOPOTEA KWA MPENZI WAKO
No Trust No Love...
Penzi bila Kuaminiana ni sawa na Kuku asiye na Firigisi,bei rahisi sana aisee...
And when the trust is lost,si rahisi kuirudisha...Relationship nyingi zilizoishiwa Trust hufa kibudu,chache sana zimeweza kuibuka tena baada ya kazi ngumu na shughuli pevu sana.
Kuna sababu nyingi sana huua Trust among Lovers...Wengine wamefumania Wapenzi wao red-handed kitandani au gheto anauza Share bila ruhusa ya Menejimenti...Wakakosa pozi,wakalia,wakadhani wamesamehe lakini inawauma sana,kila wakikumbuka kile kitendo wanahisi things will never come back to normal...
Wengine wamekuta Meseji kutoka kwa Wanaume/Wanawake wengine kwenye Simu za wapenzi wao,ikawaua nguvu....Hakuna Cheating rahisi,na Wameshindwa kuwaamini tena no matter how many months have passed....
Inataka moyo sana kujikakamua na kurudi Mwanzoooo...Kama hakuna kilichotokea,wengi hawawezagi kurudi pale....Inataka Moyo! Wengine wanajikuta wanalipiza kwa kutafuta kidumu,kama alifanya basi atafanya tena,aah ngoja na mimi nitafute cha kwangu ili twende sawa...KOSA! Akigundua,there will never be a relation, it will die completely
FANYA HAYA KURUDISHA TRUST ILIYOPOTEA
1.Admit
Ukikumbana na kimeo,hakuna kujifanya wewe mjuaji,ADMIT kosa..Kama akiamua kukusamehe,asamehe,akiamua kukuacha akuache....Ukijifanya kidume kukataa kosa kumbe mwenzio anajua kila kilichotokea,atakaa kimya na atakulipizia in a place hutaamini. Hakuna ujanja kwenye hili,if you are in love with that person,show that ur regreting and you need to change!
Ubishi unaonyesha kwamba ulichofanya ni kawaida,na kwako sio kosa na haikuumi,and thats bad
2.Be Open and Honest
Baada ya kimeo kutokea,umeshaadmit you were wrong...Kifuatacho ni kumuonyesha kwamba kweli umedhamiria kutokurudia kosa
Ule uwazi ambao mwanzo haukuwepo,hapa ndio mahala pake....Kuwa muwazi,usiwe na hidden issues,hidden agendas ambazo kwa namna moja au nyingine ita-trigger Mawazo kwamba kuna mambo bado unafanya kwa siri.
Ratiba zako ziwe wazi,wapi ulipo,unafanya nini...Na usisubiri kuulizwa ukipo,ifanye iwe daily habit,ukizoea utaona rahisi,ukisubiri uulizwe utahisi uko Misri utumwani
Mfanye akuone wa tofauti kwa kuwa muwazi...Itamsaidia kupona na kusahau lililotokea.Ukijifanya Hero kuendelea kuficha,kile kidonda hakitapona!
3.Act Differently to heal Him/Her
Kila kilichokuwa kikwazo mwanzo jaribu kukirekebisha.Haina ujanja,ndo ushaharibu,lazima ufanye kazi kubwa sana kurudisha upya....Na usihisi kama ni mzigo maana umejitafutia,umejenga na ukabomoa mwenyewe,so ni kazi yako kujenga tena.
Mtoe out kadri uwezavyo,Talk openly,Mshirikishe ratiba zako,Plan zako na kila kitu,ajihisi upya na kwamba sasa ur TOGETHER....Mfanye akuone mpya this time.
Ukifanya haya,ni kweli itachukua muda maana TRUST iliyopotea ni ngumu sana kurudi maana shetani ni yuleyule,kabadilika manyoya tu...Ni ngumu ila ukiinvest enough time and energy utaweza lasivyo be ready for a Bye Bye Kiss!
Penzi bila Kuaminiana ni sawa na Kuku asiye na Firigisi,bei rahisi sana aisee...
And when the trust is lost,si rahisi kuirudisha...Relationship nyingi zilizoishiwa Trust hufa kibudu,chache sana zimeweza kuibuka tena baada ya kazi ngumu na shughuli pevu sana.
Kuna sababu nyingi sana huua Trust among Lovers...Wengine wamefumania Wapenzi wao red-handed kitandani au gheto anauza Share bila ruhusa ya Menejimenti...Wakakosa pozi,wakalia,wakadhani wamesamehe lakini inawauma sana,kila wakikumbuka kile kitendo wanahisi things will never come back to normal...
Wengine wamekuta Meseji kutoka kwa Wanaume/Wanawake wengine kwenye Simu za wapenzi wao,ikawaua nguvu....Hakuna Cheating rahisi,na Wameshindwa kuwaamini tena no matter how many months have passed....
Inataka moyo sana kujikakamua na kurudi Mwanzoooo...Kama hakuna kilichotokea,wengi hawawezagi kurudi pale....Inataka Moyo! Wengine wanajikuta wanalipiza kwa kutafuta kidumu,kama alifanya basi atafanya tena,aah ngoja na mimi nitafute cha kwangu ili twende sawa...KOSA! Akigundua,there will never be a relation, it will die completely
FANYA HAYA KURUDISHA TRUST ILIYOPOTEA
1.Admit
Ukikumbana na kimeo,hakuna kujifanya wewe mjuaji,ADMIT kosa..Kama akiamua kukusamehe,asamehe,akiamua kukuacha akuache....Ukijifanya kidume kukataa kosa kumbe mwenzio anajua kila kilichotokea,atakaa kimya na atakulipizia in a place hutaamini. Hakuna ujanja kwenye hili,if you are in love with that person,show that ur regreting and you need to change!
Ubishi unaonyesha kwamba ulichofanya ni kawaida,na kwako sio kosa na haikuumi,and thats bad
2.Be Open and Honest
Baada ya kimeo kutokea,umeshaadmit you were wrong...Kifuatacho ni kumuonyesha kwamba kweli umedhamiria kutokurudia kosa
Ule uwazi ambao mwanzo haukuwepo,hapa ndio mahala pake....Kuwa muwazi,usiwe na hidden issues,hidden agendas ambazo kwa namna moja au nyingine ita-trigger Mawazo kwamba kuna mambo bado unafanya kwa siri.
Ratiba zako ziwe wazi,wapi ulipo,unafanya nini...Na usisubiri kuulizwa ukipo,ifanye iwe daily habit,ukizoea utaona rahisi,ukisubiri uulizwe utahisi uko Misri utumwani
Mfanye akuone wa tofauti kwa kuwa muwazi...Itamsaidia kupona na kusahau lililotokea.Ukijifanya Hero kuendelea kuficha,kile kidonda hakitapona!
3.Act Differently to heal Him/Her
Kila kilichokuwa kikwazo mwanzo jaribu kukirekebisha.Haina ujanja,ndo ushaharibu,lazima ufanye kazi kubwa sana kurudisha upya....Na usihisi kama ni mzigo maana umejitafutia,umejenga na ukabomoa mwenyewe,so ni kazi yako kujenga tena.
Mtoe out kadri uwezavyo,Talk openly,Mshirikishe ratiba zako,Plan zako na kila kitu,ajihisi upya na kwamba sasa ur TOGETHER....Mfanye akuone mpya this time.
Ukifanya haya,ni kweli itachukua muda maana TRUST iliyopotea ni ngumu sana kurudi maana shetani ni yuleyule,kabadilika manyoya tu...Ni ngumu ila ukiinvest enough time and energy utaweza lasivyo be ready for a Bye Bye Kiss!
Friday, July 6, 2012
AUNT EZEKIEL AFUNGA NDOA KIMYAKIMYA DUBAI
Msanii Maarufu wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel ameripotiwa kufunga ndoa na Mchumba wake ajulikanaye kama Sunday Dimonte nchini Dubai, Falme za Kiarabu (UAE)
Ndoa hii inaripotiwa kufungwa June 17, wiki 2 tu zilizopita.
Habari zinadai kuwa, Aunt alifikia uamuzi huo baada ya mwanaume huyo kumwambia hawezi kuvumilia umbali uliopo kati ya Tanzania na Dubai hali ambayo Aunt alihofia kupigwa chini.
Waandishi walimsaka Aunt kwa njia ya simu ya kiganjani akiwa Dubai, alipopatikana na kuulizwa kama kweli amepigwa pingu za maisha, alifunguka:
“Ni kweli nimefunga ndoa huku Dubai lakini nimesikiasikia kuna watu wanasema nilifanya siri. Siyo siri, ila huku ni mbali na huko nyumbani Tanzani, isingekuwa rahisi kuita watu wangu wa karibu.”
Paparazi: Kwa hiyo ndiyo imetoka hiyo?
Aunt: Hapana, nitakaporudi nyumbani nitafanya sherehe, nitaalika watu, hata wewe, tena itabidi unichangie jamani.
Ngoja tuone akirudi itakuwaje.Kama ni kweli, Aunt Ezekiel atakuwa amejiunga na wasanii wengine wa Bongo movie waliowahi kufunga ndoa kama Irene Uwoya na Wastara.
Tunaomba iwe hivyo!
HABARI KWA HISANI YA RAFIKI YANGU JOHN KIANDIKA
Ndoa hii inaripotiwa kufungwa June 17, wiki 2 tu zilizopita.
Habari zinadai kuwa, Aunt alifikia uamuzi huo baada ya mwanaume huyo kumwambia hawezi kuvumilia umbali uliopo kati ya Tanzania na Dubai hali ambayo Aunt alihofia kupigwa chini.
Waandishi walimsaka Aunt kwa njia ya simu ya kiganjani akiwa Dubai, alipopatikana na kuulizwa kama kweli amepigwa pingu za maisha, alifunguka:
“Ni kweli nimefunga ndoa huku Dubai lakini nimesikiasikia kuna watu wanasema nilifanya siri. Siyo siri, ila huku ni mbali na huko nyumbani Tanzani, isingekuwa rahisi kuita watu wangu wa karibu.”
Paparazi: Kwa hiyo ndiyo imetoka hiyo?
Aunt: Hapana, nitakaporudi nyumbani nitafanya sherehe, nitaalika watu, hata wewe, tena itabidi unichangie jamani.
Ngoja tuone akirudi itakuwaje.Kama ni kweli, Aunt Ezekiel atakuwa amejiunga na wasanii wengine wa Bongo movie waliowahi kufunga ndoa kama Irene Uwoya na Wastara.
Tunaomba iwe hivyo!
HABARI KWA HISANI YA RAFIKI YANGU JOHN KIANDIKA
Thursday, July 5, 2012
SABABU 3 KUU KWANINI WANAUME HAWATAKI KUOA
Dunia imechange sana...Zamani Mwanaume kufika miaka 30 hajaoa ilikuwa hatari,mwiko kwanza maana wazazi na ukoo wote watakukalia kooni..Ila siku hizi,aaah,watu hawana habari,wanatafuta watoto tu kwa kuzalisha Wanawake wa watu halafu basi...Hawataki kabisa Commitment.
Inaonekana kama ni Lifestyle ambayo ilianza mdogo mdogo,ikapenetrate,na ni kama inaanza kukubalika maana ongezeko la Wanadafada kuzaa tu bila mpangilio,bila ndoa linakuwa kubwa sana,na kwao inakuwa Simple tu,yaani Freshhh...
Kwa kutambua hili,Wadada hawana habari...Wanasema kuolewa ni utumwa,heri wazae.....Na Wanaume nao wanasema kuoa mh mh,bora wapate mtoto walee,ila kuweka mtu ndani ah ah,kimeo.
Feeling zote 2 zimegongana,na zimeshabihiana halafu zikakubaliana,bila kuwa na majadiliano yoyote...Imetokea tu...
Kila jambo lina Origin...Kuna chanzo...Kwanini hali hii itokee siku hizi tu,ni utandawazi...Ni mabadiliko ya Tabia nchi...Ni nini haswa???
Lazima kuna jambo...
Source iliyosababisha inaonekana ni Wanaume....Wanaume wanaonekana hawapendi kuoa siku hizi,lakini kwanini wasioe...Why siku hizi na Sio zamani ambapo ilikuwa ni fahari kwa mwanaume kuoa...Miaka 20 mtu ameoa na Watoto juu...Ila siku hizi walaaaa...
Hata Wanaume hawakupenda,ila kuna sababu zimesababisha wasipende kuoa....Kuoa ni a very nice Feeling lakini kuna vitu Wanaume hawataki na ndo maana hawaoi....
Leo tuangalie SABABU 3 ambazo zinawafanya wanaume WAPOTEZE HAMU YA KUOA
1.1961 REASON...ITS ALL ABOUT UHURU
Tanzania ilipata uhuru mwaka 1961!
Hamna kitu Wanaume wanapenda kama UHURU
If una boyfriend,na unafanya mambo ya kumnyima uhuru,asilimia za huyo jamaa kukuoa ni 0.01%,Trust me!
Kama the best u can give ur man is Harassment....Questions kibaooooooo....Kumpangia ratiba zako ili yeye afit aache mambo yake,na kila siku unataka priority,SAHAU NDOA!
Ukikutana nae tu umekimbilia simu,huyu nani kakutext,mara huyu si nlishakukataza kuchat nae..Khaa!!
Uliza walioolewa walifaulu vipi huu mtihani,huu ni kama Mtihani wa Hesabu kwa Mwanafunzi wa Form 4,ukifaulu huu,umejiwekea hazina,trust me! Mpe mwanaume uhuru kwanza then ndo uongee mambo mengine,hapo mtasikilizana na hata ratiba zako zitafit kwenye uhuru wake,Dont try to put urself as the Most Important,ul loose! Akisema anaenda kuwatch mpira we unamwambia arudi home mwangalie movie,what the heck?Why movie na sio Football anayopenda???Sawa kuwatch movie sio dhambi lakini kwanini ugonganishe ratiba na unajua anapenda mpira?Hapa unampa definition kwamba unakuwa dominant na hakuna kitu kibaya na sumu kama wewe kujaribu kuwa Dominant,unajifanya Transformer..Dont be this kind of a Girl,He will end up being a Boyfriend,and He will never move a step ahead,akimove ujue Kibuti!
2.WANAWAKE MIMI-TYPE
Aina ya wanawake wanaojifikiria wao tu...Baby naomba mtaji wa Maembe..Baby naomba mtaji wa Mabungo...Baby nataka kuanzisha biashara ya Nguo na Vipodozi....Why cant you say baby,kutegemea mshahara sio vizuri kwanini TUSIANZISHE BIASHARA ambayo ITATUINGIZIA KIPATO EXTRA....Unaona utofauti????Collective statements..onyesha kwamba na yeye ni Inclusive.Sio MIMI this MIMI that....Be the kind of a Woman who gives an idea...Make sure he understands it...And ensure he takes it further and Control its implementation
Tangu uanze uhusiano wako na huyo Mwanaume umewahi kumshauri kitu gani ambacho siku akitaka kukumwaga atasema dah This girl did this Let me be considerate,Kipo kweli,halafu unataka ndoa????Sio idea za kununua Soksi na Boxer,Idea constructive ambazo zilichange maisha yake...HAKUNA! Sasa nani akuoe??
3. MWANAMKE DIVIDER
Aina hii ya Wanawake ni wale ambao wanaingia kwenye Maisha ya Mwanaume fulani halafu wanataka wawe kama MD hivi...Wamemkuta jamaa ana Marafiki zake,Mabesti kweli,wametoka mbali na huyo Mwanaume hujui wamemtoa wapi,wamemsaidiaje hadi hapo alipo....anaanza kutoa Opinions kuhusu hao watu...Fulani achana nae namuona kama hana lolote....Hivi Fulani anakusaidia nn...Halafu flani simpendi anaongea kweli...Hapo jua ushachemka....
Hamna vita ngumu kama vita ya kumchagulia Boy wako Marafiki na kujifanya HR una-screen uliowakuta eti wewe huwapendi...Huwezi shinda hiyo Vita I guarantee you,na ukiona umeishinda jua kuna kimeo mbele
Ukishinda hiyo vita na uhusiano wako utakuwa chali,unless huyo Mwanaume awe Bushoke type ambaye hana msimamo lakini siku zote ukipigana na Mashemeji ambao ni Close friends wa Jamaa YOU WILL LOOSE
When it comes to Men,Marafiki are more than Parents.They know kila kitu hadi ambavyo wazazi wake hawajui,na si ajabu hata uwepo wako kwenye maisha yake walichangia mawazo na kukuscreen kabla,na kumshauri akuchukue,lazima aliask opinion...Sasa umeingia unajifanya HR,wanaku-Ulimboka fasta utashangaa.
Inaonekana kama ni Lifestyle ambayo ilianza mdogo mdogo,ikapenetrate,na ni kama inaanza kukubalika maana ongezeko la Wanadafada kuzaa tu bila mpangilio,bila ndoa linakuwa kubwa sana,na kwao inakuwa Simple tu,yaani Freshhh...
Kwa kutambua hili,Wadada hawana habari...Wanasema kuolewa ni utumwa,heri wazae.....Na Wanaume nao wanasema kuoa mh mh,bora wapate mtoto walee,ila kuweka mtu ndani ah ah,kimeo.
Feeling zote 2 zimegongana,na zimeshabihiana halafu zikakubaliana,bila kuwa na majadiliano yoyote...Imetokea tu...
Kila jambo lina Origin...Kuna chanzo...Kwanini hali hii itokee siku hizi tu,ni utandawazi...Ni mabadiliko ya Tabia nchi...Ni nini haswa???
Lazima kuna jambo...
Source iliyosababisha inaonekana ni Wanaume....Wanaume wanaonekana hawapendi kuoa siku hizi,lakini kwanini wasioe...Why siku hizi na Sio zamani ambapo ilikuwa ni fahari kwa mwanaume kuoa...Miaka 20 mtu ameoa na Watoto juu...Ila siku hizi walaaaa...
Hata Wanaume hawakupenda,ila kuna sababu zimesababisha wasipende kuoa....Kuoa ni a very nice Feeling lakini kuna vitu Wanaume hawataki na ndo maana hawaoi....
Leo tuangalie SABABU 3 ambazo zinawafanya wanaume WAPOTEZE HAMU YA KUOA
1.1961 REASON...ITS ALL ABOUT UHURU
Tanzania ilipata uhuru mwaka 1961!
Hamna kitu Wanaume wanapenda kama UHURU
If una boyfriend,na unafanya mambo ya kumnyima uhuru,asilimia za huyo jamaa kukuoa ni 0.01%,Trust me!
Kama the best u can give ur man is Harassment....Questions kibaooooooo....Kumpangia ratiba zako ili yeye afit aache mambo yake,na kila siku unataka priority,SAHAU NDOA!
Ukikutana nae tu umekimbilia simu,huyu nani kakutext,mara huyu si nlishakukataza kuchat nae..Khaa!!
Uliza walioolewa walifaulu vipi huu mtihani,huu ni kama Mtihani wa Hesabu kwa Mwanafunzi wa Form 4,ukifaulu huu,umejiwekea hazina,trust me! Mpe mwanaume uhuru kwanza then ndo uongee mambo mengine,hapo mtasikilizana na hata ratiba zako zitafit kwenye uhuru wake,Dont try to put urself as the Most Important,ul loose! Akisema anaenda kuwatch mpira we unamwambia arudi home mwangalie movie,what the heck?Why movie na sio Football anayopenda???Sawa kuwatch movie sio dhambi lakini kwanini ugonganishe ratiba na unajua anapenda mpira?Hapa unampa definition kwamba unakuwa dominant na hakuna kitu kibaya na sumu kama wewe kujaribu kuwa Dominant,unajifanya Transformer..Dont be this kind of a Girl,He will end up being a Boyfriend,and He will never move a step ahead,akimove ujue Kibuti!
2.WANAWAKE MIMI-TYPE
Aina ya wanawake wanaojifikiria wao tu...Baby naomba mtaji wa Maembe..Baby naomba mtaji wa Mabungo...Baby nataka kuanzisha biashara ya Nguo na Vipodozi....Why cant you say baby,kutegemea mshahara sio vizuri kwanini TUSIANZISHE BIASHARA ambayo ITATUINGIZIA KIPATO EXTRA....Unaona utofauti????Collective statements..onyesha kwamba na yeye ni Inclusive.Sio MIMI this MIMI that....Be the kind of a Woman who gives an idea...Make sure he understands it...And ensure he takes it further and Control its implementation
Tangu uanze uhusiano wako na huyo Mwanaume umewahi kumshauri kitu gani ambacho siku akitaka kukumwaga atasema dah This girl did this Let me be considerate,Kipo kweli,halafu unataka ndoa????Sio idea za kununua Soksi na Boxer,Idea constructive ambazo zilichange maisha yake...HAKUNA! Sasa nani akuoe??
3. MWANAMKE DIVIDER
Aina hii ya Wanawake ni wale ambao wanaingia kwenye Maisha ya Mwanaume fulani halafu wanataka wawe kama MD hivi...Wamemkuta jamaa ana Marafiki zake,Mabesti kweli,wametoka mbali na huyo Mwanaume hujui wamemtoa wapi,wamemsaidiaje hadi hapo alipo....anaanza kutoa Opinions kuhusu hao watu...Fulani achana nae namuona kama hana lolote....Hivi Fulani anakusaidia nn...Halafu flani simpendi anaongea kweli...Hapo jua ushachemka....
Hamna vita ngumu kama vita ya kumchagulia Boy wako Marafiki na kujifanya HR una-screen uliowakuta eti wewe huwapendi...Huwezi shinda hiyo Vita I guarantee you,na ukiona umeishinda jua kuna kimeo mbele
Ukishinda hiyo vita na uhusiano wako utakuwa chali,unless huyo Mwanaume awe Bushoke type ambaye hana msimamo lakini siku zote ukipigana na Mashemeji ambao ni Close friends wa Jamaa YOU WILL LOOSE
When it comes to Men,Marafiki are more than Parents.They know kila kitu hadi ambavyo wazazi wake hawajui,na si ajabu hata uwepo wako kwenye maisha yake walichangia mawazo na kukuscreen kabla,na kumshauri akuchukue,lazima aliask opinion...Sasa umeingia unajifanya HR,wanaku-Ulimboka fasta utashangaa.
Wednesday, July 4, 2012
KUNA STAA ANAMWAGA HELA KWENYE TWITTER...PLEASE FOLLOW HIM AND GET SOME CASH
Huyu jamaa amezaliwa akiitwa Michael Collins Ajere
Mwaka huu ametajwa kama Mmoja wa Celebrity mwenye Nguvu Africa akishika namba 36(The 36th Most Powerful Celebrity in Africa)
Amezaliwa November 26 mwaka 1982 na yuko kwenye Industry ya muziki.
Wengi wanamfahamu kwa jina la Don Jazzy
Ni producer maarufu sana nchini Nigeria na Duniani kote akiwa ameshiriki kumuweka mwanamuziki D'BANJ hapo unapomuona leo hadi kuchukuliwa na Kanye West.Actually D'BANJ na DON JAZZY ni childhood friends,wamecheza na kukua pamoja hadi kufika kufanya kazi na kupata mafanikio waliyonayo leo!
Don Jazzy ndo ametengeneza Album 2 ziliyomtambulisha D'BANJ, Tongolo mwaka 2004 na No long Thing mwaka 2005 akiwa na lebo ya Mo Hits Records na swahiba wake D'BANJ.
Mwezi May, 2012 baada ya D'BANJ kujitoa Mo Hits records na kwenda kufanya kazi na Kanye west, Don Jazzy alianzisha Record Label inayoitwa MAVIN RECORDS.

Don Jazzy ameshatengeneza kazi za watu wengi tu maarufu akiwemo NAETO C ambaye ana nyimbo kama TEN OVER TEN na 5&6, TIWA SAVAGE mwenye hit songs kama KELE KELE na LOVE ME LOVE ME,lakini kali kuliko ni kutengeneza wimbo wa JAY Z na KANYE WEST kwenye Album yao ya WATCH THE THRONE uitwao LIFT OFF Ft Beyonce.
Huyu sio Producer wa kawaida na naona hela zimeanza kumpelekesha,jamaa anamwaga hela kwenye Twitter
Follow him kwenye TWITTER @DONJAZZY,kama una shida ya hela atakwambia umtumie akaunti yako na anakutumia mkwanja on the spot.Its not a joke,cheki hapa chini baadhi ya watu aliokuwa akiwasiliana nao na wakimshukuru baada ya kupokea mkwanja from him.Hes definitely very generous.Wabongo kazi kwenu!
CHEKI TWEET ZAKE ZA KUGAWA HELA WIKI HII NA WATU WAKISHUKURU BAADA YA KUPOKEA
DON JAZZY MWENYEWE
Moja ya Kolabo za ukweli alizotengeneza ni hii hapa chini ambayo aliwaweka pamoja D'BANJ na mkongwe SNOOP DOGGY DOGG kwenye Wimbo unaoitwa MR ENDOWED
Tuesday, July 3, 2012
KUFELI SIO MWISHO WA MAISHA....THERE IS LIFE AFTER FAILURE,GOD HAS A MASTERPLAN OF UR LIFE
Kila kitu kinatokea duniani kwa sababu maalum,aidha kukufundisha au kukufanya uelewe zaidi jinsi ya kuishi vizuri ukiwa duniani.Failure ni kama kujikwaa,unapaswa unyanyuke na kujifuta vumbi na kuendelea na safari.Kulala chini baada ya kujikwaa na kuanza kulialia hakutakufanya ufike ulikoplan kwenda.
Ukifeli mtihani sio mwisho wa maisha,nafahamu watu waliofeli ambao wako very successful kuliko mimi....There is life even after failure.
Kupigwa sana vibuti na watu unaowapenda haimaanishi hutaoa au kuolewa,Mungu anajua who is the right partner for you,hao walioondoka hawakuwa type yako na usiforce wawe type yako coz hawatakuwa.
Usimlazimishe Mungu akupe mke au mume wa rangi nyekundu wakati anajua kwamba wewe unahitaji wa rangi ya kijani ili uwe Complete.
Ulimwengu huu haujiendeshi,aliyeucreate ni Mungu,aliyekucreate wewe ni Mungu,na anajua who is the best partner for you.
Ukiachwa na umpendaye shukuru maana unajua yupo aliyeandikwa kwa ajili yako utampata na atakuwa perfect,ukienda kwa feeling ya unachopenda wewe utaibuka na mme na mke mdosho feki kutoka China.
UKITAKA KUUA PENZI LAKO FANYA HAYA HAPA,FASTA TU
Ukitaka kufa mwakani unatakiwa kufanya mambo flani ya hovyo hovyo mwaka huu,utakufa tu..
Ukimeza dawa ya sumu usitegemee itageuka kuwa ARV,itakuua tu
Kuna aina flani ya watu wanapenda sana kujitafutia matatizo,wakiwa In love huwa wanajaribu kuwa too much,kwa vitu ambavyo sio vya msingi hata na havimuongezei lolote zaidi ya matatizo.
Kuna vitu ukifanya unajua kabisa kwamba vitakusaidia kupalilia penzi lako,kuliwekea mbolea ili likue zaidi...Concentrate kufanya hivyo
Ila kuna watu huwa wana-opt kufanya mambo ambayo yanawaua wao wenyewe na mwisho wa siku huishia kujuta tu.
Baadhi ya Mambo ambayo yameua mahusiano mengi sana na yanaendela kuua hata leo,na hata kesho yataua ni haya yafuatayo,Chonde chonde usifanye haya maana huwezi jua Damage ambayo yanafanya kwenye uhusiano wako:
1.MISTRUST
Sifa moja ya Penzi imara ni lile ambalo mnaaminiana...Mtu anaweza kuaga kwenda home na ukajua anaenda home kweli bila kuwa na chembe ya shaka kwamba atachepuka na kufanya Call Diversion.Ukiona penzi ambalo halina Trust,hilo penzi liko ICU na litakata Roho muda wowote.Hamtafika popote. Mistrust huwa haiji hivihivi,huwa ni zao la mambo mengi yaliyotokea ambayo yamemfanya mmoja kati ya wapenzi kupunguza imani na mwingine.Dawa ni kuhakikisha mnamaintain highest level of Trust at all time.Na moja ya njia rahisi sana ya kurudisha trust iliyopotea ni kuwa wawazi...Wawazi kwenye ratiba zenu za kila siku..Thats through Communication..Hakikisheni mna communication muda wote,ifanyeni kuwa ratiba na sio utumwa,itawasaidia kuwa in touch na kila mmoja atajua ratiba ya mwenzie na kuwa at peace
2.EPUKA U-SPY
Kwenye Mapenzi hakutakiwi kuwa na mtu yeyote aliyesomea CCP Moshi...Hiki ni chuo cha mapolisi na maspy wa usalama wa taifa....Mapenzi ni eneo huru ambalo kila mmoja anapaswa kuwa huru....Sio mpenzi kaacha simu tayari umekwapua...Kuna vitu haviko kwenye Katiba ya Muungano...Simu ya Mtu ni personal property yake..Dont sneek,dont Spy...Ukimuomba simu kuitumia kupiga au kutext usijifanye spy na kuchungulia Inbox..Akigundua atakumind na itakuwa big issue...uhuru wa mtu binafsi uheshimiwe,haikusaidii lolote sanasana utakumbana na vitu ambavyo hutapenda utaishia kununa na kumbe hujavielewa..We are so different,mahusiano yangu na watu wangu niliozoeana nao ni tofauti na wewe...U can see messages na ukadhani ni za cheating kumbe ni kawaida...Stay safe...Dont be a police...Dont Spy,hata uwe tempted namna gani..hii imewacost wengi sana,BEWARE
3.EPUKA UBIZE
Ubize ni msala.Ukikubali kuwa mpenzi wa mtu jua kuna uhuru unapoteza...Japo uhuru kidogo...Mpenzi wako anakuwa priority na ni jukumu lako kuhakikisha anapata Attention....
Ndio unasoma lakini una mpenzi,dont replace him/her with books
Ndio unafanya kazi,una vikao,na assignments,na presentations,na warsha,na kila kitu ILA,una Mpenzi...Dont replace him/her with ur job...Kama huwezi kumanage Shule na Mpenzi....Kazi na Mpenzi....Chonde nakusihi,BE SINGLE,lasivyo utazingua tu mtu wa watu,atafeel hapendwi...hajaliwi..Atacheat,...na wala usimlaumu maana wakati ukiwa bize na mshule wako na mkazi wako,kuna mtu alikuwa na kazi na alimjali...Swali kwake ni Je,kwann huyu ameweza and my Boy ameshindwa???USIMLAUMU LIKITOKEA HILO,kosa ni lako 100%
4.EPUKA EXPECTATIONS
Kuna watu hawana simile...Dakika 2 tu nyingi wamewaza Mbinguni...
Mapenzi yanataka Patience....Anzeni mapenzi vizuri...Know him/her.....Jadili mustakabali wenu pamoja,akupe views zake....Then kama kuna kitu cha kuwasongesha mbele kila mmoja aseme/....Kama kuna vikwazo vya kusonga mbele kwenye hatua kubwa zaidi kama Ndoa mathalani,viwekwe wazi
Ni jambo liko wazi,kuna watu ni wazuri kuwa wapenzi tu lakini sio waume....Kuna watu wanafit kuwa Girlfriends tu lakini sio Wife material....Thats the naked truth
Mtu huyu ukimforce awe mume au mke inakula kwako....
Ndoa ni Institution maalum kwa watu maalum kwa sababu maalum
Kama wewe sio Mtu Maalum usiingie kwenye hiyo Institution Maalum maana hutakuwa na sababu maalum
The point is,usiexpect makubwa katika muda mfupi...give yourselves time to see ile sababu maalum ya kuwaingiza kwenye jukumu maalum..mkiona maono yenu hayaoani kufika kule usiforce...
Hakuna sababu ya kuwa fancy wa Ndoa halafu mkae Mwaka 1 muachane,utakuwa umejichafulia CV bure wakati ungeweza kutulia ukapata the right guy or right woman
Dont be over-ambitious....Stay in ur lane and choose the best out of the rest
Ukimeza dawa ya sumu usitegemee itageuka kuwa ARV,itakuua tu
Kuna aina flani ya watu wanapenda sana kujitafutia matatizo,wakiwa In love huwa wanajaribu kuwa too much,kwa vitu ambavyo sio vya msingi hata na havimuongezei lolote zaidi ya matatizo.
Kuna vitu ukifanya unajua kabisa kwamba vitakusaidia kupalilia penzi lako,kuliwekea mbolea ili likue zaidi...Concentrate kufanya hivyo
Ila kuna watu huwa wana-opt kufanya mambo ambayo yanawaua wao wenyewe na mwisho wa siku huishia kujuta tu.
Baadhi ya Mambo ambayo yameua mahusiano mengi sana na yanaendela kuua hata leo,na hata kesho yataua ni haya yafuatayo,Chonde chonde usifanye haya maana huwezi jua Damage ambayo yanafanya kwenye uhusiano wako:
1.MISTRUST
Sifa moja ya Penzi imara ni lile ambalo mnaaminiana...Mtu anaweza kuaga kwenda home na ukajua anaenda home kweli bila kuwa na chembe ya shaka kwamba atachepuka na kufanya Call Diversion.Ukiona penzi ambalo halina Trust,hilo penzi liko ICU na litakata Roho muda wowote.Hamtafika popote. Mistrust huwa haiji hivihivi,huwa ni zao la mambo mengi yaliyotokea ambayo yamemfanya mmoja kati ya wapenzi kupunguza imani na mwingine.Dawa ni kuhakikisha mnamaintain highest level of Trust at all time.Na moja ya njia rahisi sana ya kurudisha trust iliyopotea ni kuwa wawazi...Wawazi kwenye ratiba zenu za kila siku..Thats through Communication..Hakikisheni mna communication muda wote,ifanyeni kuwa ratiba na sio utumwa,itawasaidia kuwa in touch na kila mmoja atajua ratiba ya mwenzie na kuwa at peace
2.EPUKA U-SPY
Kwenye Mapenzi hakutakiwi kuwa na mtu yeyote aliyesomea CCP Moshi...Hiki ni chuo cha mapolisi na maspy wa usalama wa taifa....Mapenzi ni eneo huru ambalo kila mmoja anapaswa kuwa huru....Sio mpenzi kaacha simu tayari umekwapua...Kuna vitu haviko kwenye Katiba ya Muungano...Simu ya Mtu ni personal property yake..Dont sneek,dont Spy...Ukimuomba simu kuitumia kupiga au kutext usijifanye spy na kuchungulia Inbox..Akigundua atakumind na itakuwa big issue...uhuru wa mtu binafsi uheshimiwe,haikusaidii lolote sanasana utakumbana na vitu ambavyo hutapenda utaishia kununa na kumbe hujavielewa..We are so different,mahusiano yangu na watu wangu niliozoeana nao ni tofauti na wewe...U can see messages na ukadhani ni za cheating kumbe ni kawaida...Stay safe...Dont be a police...Dont Spy,hata uwe tempted namna gani..hii imewacost wengi sana,BEWARE
3.EPUKA UBIZE
Ubize ni msala.Ukikubali kuwa mpenzi wa mtu jua kuna uhuru unapoteza...Japo uhuru kidogo...Mpenzi wako anakuwa priority na ni jukumu lako kuhakikisha anapata Attention....
Ndio unasoma lakini una mpenzi,dont replace him/her with books
Ndio unafanya kazi,una vikao,na assignments,na presentations,na warsha,na kila kitu ILA,una Mpenzi...Dont replace him/her with ur job...Kama huwezi kumanage Shule na Mpenzi....Kazi na Mpenzi....Chonde nakusihi,BE SINGLE,lasivyo utazingua tu mtu wa watu,atafeel hapendwi...hajaliwi..Atacheat,...na wala usimlaumu maana wakati ukiwa bize na mshule wako na mkazi wako,kuna mtu alikuwa na kazi na alimjali...Swali kwake ni Je,kwann huyu ameweza and my Boy ameshindwa???USIMLAUMU LIKITOKEA HILO,kosa ni lako 100%
4.EPUKA EXPECTATIONS
Kuna watu hawana simile...Dakika 2 tu nyingi wamewaza Mbinguni...
Mapenzi yanataka Patience....Anzeni mapenzi vizuri...Know him/her.....Jadili mustakabali wenu pamoja,akupe views zake....Then kama kuna kitu cha kuwasongesha mbele kila mmoja aseme/....Kama kuna vikwazo vya kusonga mbele kwenye hatua kubwa zaidi kama Ndoa mathalani,viwekwe wazi
Ni jambo liko wazi,kuna watu ni wazuri kuwa wapenzi tu lakini sio waume....Kuna watu wanafit kuwa Girlfriends tu lakini sio Wife material....Thats the naked truth
Mtu huyu ukimforce awe mume au mke inakula kwako....
Ndoa ni Institution maalum kwa watu maalum kwa sababu maalum
Kama wewe sio Mtu Maalum usiingie kwenye hiyo Institution Maalum maana hutakuwa na sababu maalum
The point is,usiexpect makubwa katika muda mfupi...give yourselves time to see ile sababu maalum ya kuwaingiza kwenye jukumu maalum..mkiona maono yenu hayaoani kufika kule usiforce...
Hakuna sababu ya kuwa fancy wa Ndoa halafu mkae Mwaka 1 muachane,utakuwa umejichafulia CV bure wakati ungeweza kutulia ukapata the right guy or right woman
Dont be over-ambitious....Stay in ur lane and choose the best out of the rest
Monday, July 2, 2012
TABIA YA MTU NI KAMA SCREENSAVER
Habits are like Screensavers
Tabia ya mtu haijifichi.Atajitahidi kupretend tu kwa muda lakini ipo siku itajulikana tu rangi halisi.
Ni ujinga kuamini kinyonga ana rangi ya Kijani na ukaenda kusimulia watu halafu wamkute ana rangi ya Kijivu,mazingira ndio yanaset rangi yake.
Huwezi kutegemea kondakta wa Mwananyamala anyanyue kwapa lake kudai nauli halafu usubiri kama atanukia Perfume ya Isa Miyake,tegemea kikwapa kilichoenda Shule kitakachokupa Flu ya kukutosha wiki nzima.
Ukitaka kujua tabia ya mtu,Mpe tu muda,hawezi kudanganya muda.Ni sawa na Msichana wa Kichaga,ataweka mikogo na Swaga zote lakini Mwisho wa siku lazima Tege lake la kufa mtu litaonekana tu,Miguu ya kichaga haiongopi,Mchaga asiye na tege labda amezaliwa Thailand
Tabia ya mtu haijifichi.Atajitahidi kupretend tu kwa muda lakini ipo siku itajulikana tu rangi halisi.
Ni ujinga kuamini kinyonga ana rangi ya Kijani na ukaenda kusimulia watu halafu wamkute ana rangi ya Kijivu,mazingira ndio yanaset rangi yake.
Huwezi kutegemea kondakta wa Mwananyamala anyanyue kwapa lake kudai nauli halafu usubiri kama atanukia Perfume ya Isa Miyake,tegemea kikwapa kilichoenda Shule kitakachokupa Flu ya kukutosha wiki nzima.
Ukitaka kujua tabia ya mtu,Mpe tu muda,hawezi kudanganya muda.Ni sawa na Msichana wa Kichaga,ataweka mikogo na Swaga zote lakini Mwisho wa siku lazima Tege lake la kufa mtu litaonekana tu,Miguu ya kichaga haiongopi,Mchaga asiye na tege labda amezaliwa Thailand
SIHITAJI MARAFIKI...ANAITWA FID Q...VINA VYA HATARI
Tangu ameanza hii game,ameimari!
Huwa napenda kumsikiliza,maana huongea PURE SENSE...Vitu ambavyo hujawahi waza kuviwaza..
Brand new song,akimshirikisha Yvonne Mwale...Yvonne umeitendea haki hii ngoma,umeimba kwa Feeling kinoma
Nimependa Colour...Mashairi...The Way Fid Q amekuwa active kwenye hii Video,ameifeel yaani
Click hiyo http://www.youtube.com/watch?v=iMRtYxpWhuo ule ngoma safiii
Mike Tee amehusika pale kati kwenye Video hii...Na kazi nzuri kutoka TONGWE RECORDS kwa J'Rhyder
Hip Hop haiwezi kufa bana!
FID Q NA COCCA ALIPOKUJA TZ
FID Q AKIWARUSHA MASHABIKI

Saturday, June 30, 2012
AINA ZA WANAWAKE AMBAO WANAUME WANAPENDA
Sometimes Wanawake huwa wanajiuliza Maswali mengi,wafanyeje ili wapendwe,wanahisi wana bahati mbaya,kila wanapojitoa mioyo yao inaumizwa.Jamaa hawakai,wanatupia kitu,wanakula mzigo wanatembea na Bwana..Mioyo yao imejaa matundu na hawaamini kabisa kama Wanaume huwa wanapenda,imefikia point wanadhani Wanaume hutamani tu kumbe SI KWELI!
Wanaume nao wana taste zao,hawaendi tu kama Mbwa koko,jalala moja baada ya jingine,HAPANA...Know their taste and you will enjoy theirs.
Sifa za Mwanamke ambae Mwanaume atavutiwa na kukaa ni hizi zifuatazo,JITAZAME,kama huna any of these,you better try to learn to have them,its not too late:
1.MWANAMKE MWENYE MSIMAMO
Jambo moja muhimu,the number 1 thing ambacho Mwanaume anaangalia kwa Mwanamke ni Msimamo wako...Sio Mwanamke uko kama Feni,kila sehemu unapulizia upepo,Mashariki,Magharibi kote wewe...Hapo sahau,tena sahau sana.Mwanaume anahitaji kuwa na uhakika,Mwanamke aliyemkabidhi moyo hana mishemishe na hayumbishwi na lolote,na chochote na penzi lake liko safe
Unaweza kuwa na kila kitu,Mzuri wa Sura na kila kituuuu,na bado usimpate Mwanaume wa Maana kama huna sifa hii,hakuna muujiza kwenye hili,ndo wanaume walivyoumbwa,if you lack this hamna Mwanaume wa Maana utapata,utapata vimeo kama ulivyo!
2.MWANAMKE MUELEWA
Men are simple creatures,they love to live simple,and take them simple as they are...
Ukiwa aina ya Mwanamke unamind vitu...kitu kidogo ugomvi...Unaongea na nani...Uko wapi..Na nani,Kwanini,hee,jamani kama Mahaakama kuu??Hapa unapoteza Credits
Kuwa aina ya Mwanamke muelewa ambae utamfanya Mwanaume ajisikie vibaya kufanya kitu flani ambacho ulishamwambia asifanye before...Lakini sio kukaripia na kununa kwa sababu amerudia..let him realize that amefanya kitu cha kukuudhi na hujareact,and if hes a man enough,he will know and apologize
Ila kama ni gumegume basi tena,litakausha na ndo inakuwa issue hapo...Are u patient enough to handle it??kazi kwako,ila kuna wanawake wana uwezo huu,learn from them wamewezaje..No matter how complicated the man is,they know how to handle him
Jua Lugha ya kutumia ambayo utafikisha ujumbe and yet you dont show him kwamba umemind na unamkaripia...kumkaripia Mwanaume ni msala mpya,hata kama ana kosa atakumind na itakula kwako...Una ulimi mzuri kufikisha ujumbe??
3.MWANAMKE DIRECTOR
Baba ni kichwa cha nyumba....mimi huamini Mama ni macho yaliyo kwenye kichwa hicho
Women play a very vital role in DIRECTING THE HEAD TO THE RIGHT WAY
Kichwa bila macho si utajigonga tu????Mwanamke ni jicho...
Ukikalia kujiremba tu na kuwaza mambo mengine bila kujua kuna kichwa kinasubiri maelekezo yako,utaonekana bogus..kutwa uko kwenye Umbea,huna muda wa kujua ur man anafanya nini,ana plan gani mwaka huo,unamsaidiaje kuzifikia,sasa we faida yako nini kwenye maisha yake??
be the kind of a woman ambae Mwanaume aki-achieve jambo anasema I have a woman beside of me who engineered this...Kama hujawahi kufikia hatua ya kuwa appreciated na ur man kwa jambo hili jua kuna mahali umefeli...Na hili haliji hivihivi,linakuja pale kunapokuwa na proper communication between you and ur man...Bila good communication:
1.Hutajua what ur man is up to
2.Kwa sababu hujui what he is up to hutakuwa na msaada.
3.Akifaulu,jua haupo kwenye picha ya mafanikio yake na ur simply useless
4.Akifeli,ur part of his failure kwamba humsaidii lolote..ur simply useless and actually absent in his life kwa sababu uwepo wako haumsaidii its better he becomes alone!YOU HEARD???
Women have planning and control ability,USE IT...Usikae tu kama muuza genge unasubiri wateja,Do your job and Win him!
4.MWANAMKE MSAFI NA MZURI
Usafi huu sio wa nguo tu na kunukia,ni zaidi ya hilo...
Usafi unaanzia ndani..Msaidie Mwanaume awe msafi pia,rohoni hadi mwilini...Rohoni how???Jitu halisali,halikumbuki kuna Mungu,lipo tu,unadhani mtajenga Familia gani baadae???
Msaidie kum-remind kukumbuka hilo,Mafanikio ya nje huanzia ndani..Dirty inside,Dirty Outside...Mambo mengine anafanya nje na yanaku-affect kwa sababu umefeli ku-inspire change ya ndani...Ngumu hii lakini ndo hivyo..You can save a lot of energy kama atakuwa msafi wa ndani,everything outside will be set automatically...Whatever u see in physical started in Spiritual...Yeah right! Hata ulimwengu uliumbwa,na vyote unavyoviona baada ya Plan ya Spirit kumalizaika.Soma Kitabu cha Mwanzo kwenye Biblia,uone Uumbaji ulifanyikaje...Same applies na hapa,Uumbaji wa vitu vya nje,Mahusiano imara,Familia bora,inajengwa ndani..
Sio kazi yako ni kuuliza Baby hatuendi Club,Baby this...Unamkumbusha kusali???Utatengeneza mme freemason bila kujua...Mtu hasali we upo tu unaona sawa...CHANGE!
Huu usafi mwingine wanawake mmejaliwa,biashara za kunuka kikwapa no,Kusafisha nyumba vema saafiii...mengine si kama kawa??Mpango mzima uko hapo.
Uzuri huwa ni subjective...Unaweza kuwa mzuri kwangu lakini ni wa kawaida kabisa kwa mwingine....Ukiwa msafi unaweza ukamfanya Man wako aone potential,hata kama wewe sio mzuri sana lakini anaona Kiongozi wa Familia inside you and he will definitely opt you.
Hamna limbwata wala nini,tupa kule mbali...
Kama huna hizi sifa 4,aisee waza upya...Unaweza bahatisha ndulute ukaolewa,lakini jusitegemee muujiza,goma litapata Pancha tu...Jamaa hataweza kukaa na nunda...Atajutia Mahari aliyolipa ila atasepa kimyakimya..
To avoid that,please make sure you do your Homework well ili Mtihani ukija unafaulu tu bila shida...
Jitathmini halafu KAA HUMO!
Wanaume nao wana taste zao,hawaendi tu kama Mbwa koko,jalala moja baada ya jingine,HAPANA...Know their taste and you will enjoy theirs.
Sifa za Mwanamke ambae Mwanaume atavutiwa na kukaa ni hizi zifuatazo,JITAZAME,kama huna any of these,you better try to learn to have them,its not too late:
1.MWANAMKE MWENYE MSIMAMO
Jambo moja muhimu,the number 1 thing ambacho Mwanaume anaangalia kwa Mwanamke ni Msimamo wako...Sio Mwanamke uko kama Feni,kila sehemu unapulizia upepo,Mashariki,Magharibi kote wewe...Hapo sahau,tena sahau sana.Mwanaume anahitaji kuwa na uhakika,Mwanamke aliyemkabidhi moyo hana mishemishe na hayumbishwi na lolote,na chochote na penzi lake liko safe
Unaweza kuwa na kila kitu,Mzuri wa Sura na kila kituuuu,na bado usimpate Mwanaume wa Maana kama huna sifa hii,hakuna muujiza kwenye hili,ndo wanaume walivyoumbwa,if you lack this hamna Mwanaume wa Maana utapata,utapata vimeo kama ulivyo!
2.MWANAMKE MUELEWA
Men are simple creatures,they love to live simple,and take them simple as they are...
Ukiwa aina ya Mwanamke unamind vitu...kitu kidogo ugomvi...Unaongea na nani...Uko wapi..Na nani,Kwanini,hee,jamani kama Mahaakama kuu??Hapa unapoteza Credits
Kuwa aina ya Mwanamke muelewa ambae utamfanya Mwanaume ajisikie vibaya kufanya kitu flani ambacho ulishamwambia asifanye before...Lakini sio kukaripia na kununa kwa sababu amerudia..let him realize that amefanya kitu cha kukuudhi na hujareact,and if hes a man enough,he will know and apologize
Ila kama ni gumegume basi tena,litakausha na ndo inakuwa issue hapo...Are u patient enough to handle it??kazi kwako,ila kuna wanawake wana uwezo huu,learn from them wamewezaje..No matter how complicated the man is,they know how to handle him
Jua Lugha ya kutumia ambayo utafikisha ujumbe and yet you dont show him kwamba umemind na unamkaripia...kumkaripia Mwanaume ni msala mpya,hata kama ana kosa atakumind na itakula kwako...Una ulimi mzuri kufikisha ujumbe??
3.MWANAMKE DIRECTOR
Baba ni kichwa cha nyumba....mimi huamini Mama ni macho yaliyo kwenye kichwa hicho
Women play a very vital role in DIRECTING THE HEAD TO THE RIGHT WAY
Kichwa bila macho si utajigonga tu????Mwanamke ni jicho...
Ukikalia kujiremba tu na kuwaza mambo mengine bila kujua kuna kichwa kinasubiri maelekezo yako,utaonekana bogus..kutwa uko kwenye Umbea,huna muda wa kujua ur man anafanya nini,ana plan gani mwaka huo,unamsaidiaje kuzifikia,sasa we faida yako nini kwenye maisha yake??
be the kind of a woman ambae Mwanaume aki-achieve jambo anasema I have a woman beside of me who engineered this...Kama hujawahi kufikia hatua ya kuwa appreciated na ur man kwa jambo hili jua kuna mahali umefeli...Na hili haliji hivihivi,linakuja pale kunapokuwa na proper communication between you and ur man...Bila good communication:
1.Hutajua what ur man is up to
2.Kwa sababu hujui what he is up to hutakuwa na msaada.
3.Akifaulu,jua haupo kwenye picha ya mafanikio yake na ur simply useless
4.Akifeli,ur part of his failure kwamba humsaidii lolote..ur simply useless and actually absent in his life kwa sababu uwepo wako haumsaidii its better he becomes alone!YOU HEARD???
Women have planning and control ability,USE IT...Usikae tu kama muuza genge unasubiri wateja,Do your job and Win him!
4.MWANAMKE MSAFI NA MZURI
Usafi huu sio wa nguo tu na kunukia,ni zaidi ya hilo...
Usafi unaanzia ndani..Msaidie Mwanaume awe msafi pia,rohoni hadi mwilini...Rohoni how???Jitu halisali,halikumbuki kuna Mungu,lipo tu,unadhani mtajenga Familia gani baadae???
Msaidie kum-remind kukumbuka hilo,Mafanikio ya nje huanzia ndani..Dirty inside,Dirty Outside...Mambo mengine anafanya nje na yanaku-affect kwa sababu umefeli ku-inspire change ya ndani...Ngumu hii lakini ndo hivyo..You can save a lot of energy kama atakuwa msafi wa ndani,everything outside will be set automatically...Whatever u see in physical started in Spiritual...Yeah right! Hata ulimwengu uliumbwa,na vyote unavyoviona baada ya Plan ya Spirit kumalizaika.Soma Kitabu cha Mwanzo kwenye Biblia,uone Uumbaji ulifanyikaje...Same applies na hapa,Uumbaji wa vitu vya nje,Mahusiano imara,Familia bora,inajengwa ndani..
Sio kazi yako ni kuuliza Baby hatuendi Club,Baby this...Unamkumbusha kusali???Utatengeneza mme freemason bila kujua...Mtu hasali we upo tu unaona sawa...CHANGE!
Huu usafi mwingine wanawake mmejaliwa,biashara za kunuka kikwapa no,Kusafisha nyumba vema saafiii...mengine si kama kawa??Mpango mzima uko hapo.
Uzuri huwa ni subjective...Unaweza kuwa mzuri kwangu lakini ni wa kawaida kabisa kwa mwingine....Ukiwa msafi unaweza ukamfanya Man wako aone potential,hata kama wewe sio mzuri sana lakini anaona Kiongozi wa Familia inside you and he will definitely opt you.
Hamna limbwata wala nini,tupa kule mbali...
Kama huna hizi sifa 4,aisee waza upya...Unaweza bahatisha ndulute ukaolewa,lakini jusitegemee muujiza,goma litapata Pancha tu...Jamaa hataweza kukaa na nunda...Atajutia Mahari aliyolipa ila atasepa kimyakimya..
To avoid that,please make sure you do your Homework well ili Mtihani ukija unafaulu tu bila shida...
Jitathmini halafu KAA HUMO!
Thursday, June 28, 2012
ILI UPATE MME/MKE MWEMA,KWANZA WEWE UWE MWEMA LASIVYO HUPATI
Kamwe huwezi kuingia kuchat Twitter na Nokia ya Tochi,unahitaji smartphone ili uweze kufanya hivyo...
Hakuna Mmachame anayezikwa Dar makaburi ya Kinondoni,labda hana ndugu Machame wote wanazikwa Moshi,huo ni utamaduni..Huhitaji kuwa genius kujua hilo.
Unapokuwa busy kutafuta Husband material na kujishaua unataka kuolewa na kwamba huna bahati,jiulize kwanza unaoleka wewe,are you a wife material???
Kabla ya kutafuta mme jiulize kama una sifa za kuwa mke wa mtu,ndoa sio kama vinyweleo kila mtu anavyo.Kama huna sifa ya nunua tu midoli ujikumbatie tu maana hutapata. be that best person that someone will see the best qualities in you first...Huwezi kuwa mfinyanzi halafu unatafuta udongo wa kichanga ujenge
Unapotafuta wife material na kujishebedua jiulize kwanza una hadhi ya kuwa mme wa mtu wewe,are u a husband material??Unayaweza majukumu au unadhani kuwa na misuli na ndevu ndo una-qualify kuwa mme?
Kama wewe huna sifa za mke/mme bora tafuta kwanza sifa hizo kabla hujatusumbua na kelele kwamba ur looking for hubby/wife material.be the material that you are looking to have na ndoa itakuwa automatic maana tabia zako zitaongea na si maneno na kelele kama debe tupu
Tumekuwa na tabia mbaya halafu tunatafuta watu wema tuwaweke ndani,nani anataka uwe kichaka chake cha kuficha uhuni wako??Everyone deserves a better wife and a better husband lasivyo utatesa au kuteseka tu.
Huwezi kwenda Mbinguni kwa kupanda basi la Kariakoo...Njia ya kwenda mbinguni ni kuokoka tu,FULL STOP,bila hivyo mbingu utaisikia kwenye hadithi za Sunday school
Wednesday, June 27, 2012
WEMA SEPETU ANAJIANDAA NA HARUSI
Wiki nzima iliyopita amehit kwenye Blogs,Magazeti,na kila mahali baada ya kumleta mwanadada Staa wa Nollywood, Omotola Jelade kwenye uzinduzi wa Movie yake mpya iitwayo SUPERSTAR pale Giraffe Hotel.Ilionekana kama haiwezekani ila ndo hivyo...Mdada akatua
Katika hali iliyowashtua wengi,Leo,Mwanadada ambae daima yuko kwenye Magazeti, Wema Isaac Sepetu ametoa taarifa kwamba anajiandaa na harusi.
Wema yuko bize akiwaza aina gani ya gauni litamfaa na ameshaomba ushauri kwa watu kadhaa kuhusu choice ya nguo hiyo muhimu
Kwenye page yake ya Twitter,ameandika hili ingawa watu wengi hawakuamini na walimuuliza maswali kadha wa kadha awahakikishie kama ni kweli au ni Movie naye bila hiyana akawaambia ITS FOR REAL
CHEKI TWEET YAKE HAPA CHINI-FOR YOUR INFORMATION,USIPOAMINI HAIYAH ILA NDO HIVYO SASA...DADA HUYOOOOOOO ANAOLEWA!ILA MAHARI BADO
Katika hali iliyowashtua wengi,Leo,Mwanadada ambae daima yuko kwenye Magazeti, Wema Isaac Sepetu ametoa taarifa kwamba anajiandaa na harusi.
Wema yuko bize akiwaza aina gani ya gauni litamfaa na ameshaomba ushauri kwa watu kadhaa kuhusu choice ya nguo hiyo muhimu
Kwenye page yake ya Twitter,ameandika hili ingawa watu wengi hawakuamini na walimuuliza maswali kadha wa kadha awahakikishie kama ni kweli au ni Movie naye bila hiyana akawaambia ITS FOR REAL
CHEKI TWEET YAKE HAPA CHINI-FOR YOUR INFORMATION,USIPOAMINI HAIYAH ILA NDO HIVYO SASA...DADA HUYOOOOOOO ANAOLEWA!ILA MAHARI BADO
HIVI NDIVYO DK ULIMBOKA ALIVYOTEKWA-KAMANDA KOVA
Akizungumza na waandishi wa Habari Mchana huu, Kamanda wa polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, amesema Dk Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club akinywa pombe, pale Kinondoni
Kamanda Kova amesema Ulimboka aliokotwa na msamaria mwema ambaye hakutaka kumtaja jina lake kiusalama na kutoharibu upelelezo kuwa msamaria mwema huyo.
Dokta Ulimboka aliokotwa katika msitu wa Mabwepande na msamaria mwema aliweza kutoa taarifa kituo cha polisi cha Bunju, ambapo polisi aliyekuwa zamu alichukua maelezo yake na baadae Steven Ulimboka kuletwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili kwa matibabu zaidi.
WAANDISHI WA HABARI WAKIMSIKILIZA KAMANDA KOVA
KAMANDA KOVA AKIONGEA NA WAANDISHI MCHANA HUU
Hii ndio hali ya dokta Ulimboka alipofikishwa Muhimbili Hospital.Inatisha aisee kama Tanzania tumefikia hali hii,amani iko wapi!
Dokta Ulimboka akionekana pichani wakati wakiwa kwenye mgomo wao wa mara ya kwanza na madaktari wenzake
Kamanda Kova amesema Ulimboka aliokotwa na msamaria mwema ambaye hakutaka kumtaja jina lake kiusalama na kutoharibu upelelezo kuwa msamaria mwema huyo.
Dokta Ulimboka aliokotwa katika msitu wa Mabwepande na msamaria mwema aliweza kutoa taarifa kituo cha polisi cha Bunju, ambapo polisi aliyekuwa zamu alichukua maelezo yake na baadae Steven Ulimboka kuletwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili kwa matibabu zaidi.
Kamanda Kova amesema jeshi la Polisi Kanda Maalum limeunda jopo maalum kwa ajili ya uchunguzi na upelelezi wa tukio hilo la utekaji nyara, kwani ni tukio la kwanza kutoke nchini, ameongeza kwamba wahusika wote watakaobainika kuhusika na tukio hilo wachukuliwa hatua za kisheria na sheria itafuata mkondo wake ili kukomesha matukio mengine kama hayo
WAANDISHI WA HABARI WAKIMSIKILIZA KAMANDA KOVA
KAMANDA KOVA AKIONGEA NA WAANDISHI MCHANA HUU
Hii ndio hali ya dokta Ulimboka alipofikishwa Muhimbili Hospital.Inatisha aisee kama Tanzania tumefikia hali hii,amani iko wapi!
HAPA AKIWA NA WAZIRI MKUU PINDA..NA MIKONO WAKASHIKANA
Tuesday, June 26, 2012
ABIRIA ALAZIMISHWA KUKAA NA MAITI KWENYE KENYA AIRWAYS
Africa kuna mambo sana aisee.hii imetokea juzi tu hapa,Mwanamke mmoja raia wa Sweden alikuwa akisafiri kuja Tanzania kwenye Likizo yake kwa ndege ya KENYA AIRWAYS
Akielezea tukio hilo,mwanamke huyo anasema jamaa huyo aliyekaa nae alipandia ndege kwenye uwanja wa ndege wa Amsterdam.
Mshkaji alikuwa anaumwa na alionekana akitokwa na jasho jingi sana na kuchechemea,lakini alilazimisha kusafiri.
Muda mfupi tu baada ya Safari kuanza yule abiria alionekana kuzidiwa zaidi na wahudumu walijitahidi kuwa karibu nae muda wote lakini Izraili alionyesha Umafia wake wa ku-operate hadi angani,yule jamaa aliaga dunia wakiwa katikati ya Safari.
Mwanamke yule kuona vile ikabidi aombe kubadilishiwa Siti lakini kwa Mshangao akajibiwa kuwa ndege imejaa na hakuna popote wanaweza kumpeleka zaidi ya yeye kukaa palepale na ile maiti.
Masaa karibu 10 yule mwanamke alisafiri akiwa amepoze na ile maiti just next seat.
Mawanamke huyo,Lena Petterson,alipofika Dar es Salaam aliuandikia uongozi wa kenya Airways kulalamikia ishu hiyo na ndipo Uongozi ulipoamua kumrudishia Nusu ya Nauli yake kama part ya kumpoza moyo Mwanamama huyo.
Nauli aliyolipa Mwanamama Lena Petterson ilikuwa Dola 1400 na alirudishiwa Dola 700 kama Compensation kwa yeye kukalisha siti moja na Maiti na Mwanamama huyo alikubali Fidia hiyo na kuwa mpole.
Sasa kama hiyo ni Kenya Airways,ambao wako very smart kwenye operation zao,Usishangae Air Tanzania ukiambiwa ukae na Magunia ya Viazi uyapakate tena kwenye Siti,sitashangaa!
Monday, June 25, 2012
NAHISI NICKI MINAJ NI MPARE..HII SIO KAWAIDA
Ndio maana siku hizi wadada wa kibongo nao wanafanya hii mambo...Ulaya na Marekani haya mambo yamekuwa kawaida kabisa.
Huyu anaitwa Nicki Minaj ambae mimi nahisi ni Mpare...wanawake wa kipare wanafahamika kwa sifa ya kuwa na Good shapes...Kama kweli anavyoonekana sasa hajafanya mchanganuo wowote ule katika kuongeza maujuzi,ama kwa hakika tusibishane,Nicki ni MPARE!
Tumezoe wazungu ni wembamba na Sony Wega nyuma...sasa huyu inakuwaje??
Kila mwaka akipigwa picha anaonekana duh...
Watu wamekuwa wanasuspect kwamba maybe Nicki huwa anafanya Surgery ya body parts...Lakini yeye mwenyewe akihojiwa mara kadhaa amekanusha hilo na kusema hawezi kuwazuia watu kuongea,na anapenda kuwa centre of attention ila ule mzigo kapewa na mama.
Swali ni Je,mbona ngoma imekua ghafla yaani,kama Graph ya demand and Supply bana....
Hebu tuangalie halafu tukubaliane,ni Surgery au Nicki ni Mpare???
MCHEKI NIKI BEFORE,MWAKA 2010 TU HAPO

HATISHI KIIVYO,HII HATA WACHAGA WANAYO

CHEKI...KAWAIDA TU YAANI

ANGALAU INGEBAKIA HIVI,MASWALI SI SAAANAAA

CHEKI SHUGHULI YAKE SASA HIVI..GHAFLA BIN VUU KAMA ALIVYODAKWA NA WADAKU

DUUUUHHHH..IMAGINE
ULALAH FUNDI KALALAH
Huyu anaitwa Nicki Minaj ambae mimi nahisi ni Mpare...wanawake wa kipare wanafahamika kwa sifa ya kuwa na Good shapes...Kama kweli anavyoonekana sasa hajafanya mchanganuo wowote ule katika kuongeza maujuzi,ama kwa hakika tusibishane,Nicki ni MPARE!
Tumezoe wazungu ni wembamba na Sony Wega nyuma...sasa huyu inakuwaje??
Kila mwaka akipigwa picha anaonekana duh...
Watu wamekuwa wanasuspect kwamba maybe Nicki huwa anafanya Surgery ya body parts...Lakini yeye mwenyewe akihojiwa mara kadhaa amekanusha hilo na kusema hawezi kuwazuia watu kuongea,na anapenda kuwa centre of attention ila ule mzigo kapewa na mama.
Swali ni Je,mbona ngoma imekua ghafla yaani,kama Graph ya demand and Supply bana....
Hebu tuangalie halafu tukubaliane,ni Surgery au Nicki ni Mpare???
MCHEKI NIKI BEFORE,MWAKA 2010 TU HAPO

HATISHI KIIVYO,HII HATA WACHAGA WANAYO

CHEKI...KAWAIDA TU YAANI

ANGALAU INGEBAKIA HIVI,MASWALI SI SAAANAAA

CHEKI SHUGHULI YAKE SASA HIVI..GHAFLA BIN VUU KAMA ALIVYODAKWA NA WADAKU

DUUUUHHHH..IMAGINE
ULALAH FUNDI KALALAH
SASA HII NDO CURRENT,YA JUZI TU AMBAYO WADAU WANASEMA AMEFANYA SURGERY YA 3....WHATS THIS FOR ANYWAYS???WADADA WANAJUA ZAIDI
SIRI YA PUMZI KATIKA KUENJOY MAPENZI
Sijui nianzie wapi! Topic tete...TUTAPONA TU MDOGO MDOGO
Kwanza, Kuna wanaume ambao Wanawake wao wanalalamika,jamaa wako fasta kuinua mashabiki..Dakika 10 nyingi watu Yangaaaa Yangaaaaa....Washafunga Mahesabu....Ndo kwanza mpenzi anapanda Kilima wewe huyoooo unatiririkaaaaa...Inaudhi na kukera sana,na sometimes,jamaa linajifanya linajuaaaaaaaaaa hadi huwezi hata kuliambia,maana ukiliambia ugomvi...ooh unaleta mambo ya ajabu utakuwa ushapata mtu mwingine...
Ah ah,kama unakosea utaambiwa tu...Jifunze tufaidi wote..Raha ya Mechi ya mpira wa miguu ni magoli,ila Raha ya Mechi hii huwa ni Raha kwa wote...Waingereza wanasema Pleasure for Both....Tiririka muda muafaka.
Upande wa Pili...Kuna Wanawake,Amini usiamini,wamezoeshwa aina flani ya Mapenzi ambayo hawatiririki ng'oo...Wameingia kwenye huu ulimwengu wakakutana na Wanaume flani ambao ni Selfish,hawajali mama katiririka au Lah,wenyewe wakimaliza ndo basi...Filimbi Pyeeeee!Kati!
Hili ni tatizo kubwa.Na likifika kwenye Ndoa ndo inakuwa balaa zaidi....Leo tujifunze Power of Breathing....Inhaling and Exhaling...
Mfumo wa Upumuaji husaidia pumzi kupita kwenye kila part ya Mwili....Pumzi ina-release tension kwenye maeneo yenye tension na kuhakikisha mtu yuko at ease...
This is the Secret behind breathing
Kwa wale wanaume wenye haraka haraka...wenye Kisebengo...Mnawaudhi sana Wanawake wenu na mtasaidiwa kwelikweli na jamaa wanaosimamia kucha..Tena usiombe akamatwe na wale wakongo wa Saluni ndo kabisaaaaa....Fally ipupa haoni ndani,Show ndefu Dar mpaka Kinshasa.
Tafuta muda,wewe na mpenzi...Sio mkionana unarukia tu kama Basi la Kawe limefika...hujui mchuchu ana stress au hana,we unakwea tu...Sio mnazi...Muandae awe tayari kwanza,ndo uendelee
Tumia dakika 5,kaa nae...Fanya mazoezi ya Breathing,,,In and Out mkiwa mmekaa pamoja,mnaangaliana..Inakuwa kama aina flani ya Mchezo but its very healthy.
Hata kama alikuwa na tension,atajisikia released maana Breathing inasaidia kuondoa tension kwenye Mwili.
Na mkianza ile shughuli kumbukeni kuwa na pose kwenye breathing,ili kuendelea kuwa na Oxygen ya kutosha kwenye Mwili
Kwa wanawake ambao kwao Kilele wanakisoma kwenye Stori za Eric Shigongo please do this...
Before the match do it,hata 5 times hivi ili uwe at ease..na ukiingia kwenye mechi jitahidi kuwa unavuta pumzi ya kutosha and exhale kwa kutumia pua na sio mdomo.
Ruhusu hewa nyingi ndani na uiachie yote,fanya hivyo kama mara 3....
Kamwe usipige kipute huku una mawazo...Mara kazini hivi mara bosi vilee...CONCENTRATE.
Akili yako iwe kwenye Mechi.....Jitahidi kumuangalia jamaamachoni...eye contact helps katika kuelekea kitonga...Sasa nyie mnaopiga kipute Gizani mtajua la kufanya,eye contact mtaipata wapi gizani....
BREATHING CAN CHANGE YOUR SEXUAL EXPERIENCE,TRY IT AND SEE
Kwanza, Kuna wanaume ambao Wanawake wao wanalalamika,jamaa wako fasta kuinua mashabiki..Dakika 10 nyingi watu Yangaaaa Yangaaaaa....Washafunga Mahesabu....Ndo kwanza mpenzi anapanda Kilima wewe huyoooo unatiririkaaaaa...Inaudhi na kukera sana,na sometimes,jamaa linajifanya linajuaaaaaaaaaa hadi huwezi hata kuliambia,maana ukiliambia ugomvi...ooh unaleta mambo ya ajabu utakuwa ushapata mtu mwingine...
Ah ah,kama unakosea utaambiwa tu...Jifunze tufaidi wote..Raha ya Mechi ya mpira wa miguu ni magoli,ila Raha ya Mechi hii huwa ni Raha kwa wote...Waingereza wanasema Pleasure for Both....Tiririka muda muafaka.
Upande wa Pili...Kuna Wanawake,Amini usiamini,wamezoeshwa aina flani ya Mapenzi ambayo hawatiririki ng'oo...Wameingia kwenye huu ulimwengu wakakutana na Wanaume flani ambao ni Selfish,hawajali mama katiririka au Lah,wenyewe wakimaliza ndo basi...Filimbi Pyeeeee!Kati!
Hili ni tatizo kubwa.Na likifika kwenye Ndoa ndo inakuwa balaa zaidi....Leo tujifunze Power of Breathing....Inhaling and Exhaling...
Mfumo wa Upumuaji husaidia pumzi kupita kwenye kila part ya Mwili....Pumzi ina-release tension kwenye maeneo yenye tension na kuhakikisha mtu yuko at ease...
This is the Secret behind breathing
Kwa wale wanaume wenye haraka haraka...wenye Kisebengo...Mnawaudhi sana Wanawake wenu na mtasaidiwa kwelikweli na jamaa wanaosimamia kucha..Tena usiombe akamatwe na wale wakongo wa Saluni ndo kabisaaaaa....Fally ipupa haoni ndani,Show ndefu Dar mpaka Kinshasa.
Tafuta muda,wewe na mpenzi...Sio mkionana unarukia tu kama Basi la Kawe limefika...hujui mchuchu ana stress au hana,we unakwea tu...Sio mnazi...Muandae awe tayari kwanza,ndo uendelee
Tumia dakika 5,kaa nae...Fanya mazoezi ya Breathing,,,In and Out mkiwa mmekaa pamoja,mnaangaliana..Inakuwa kama aina flani ya Mchezo but its very healthy.
Hata kama alikuwa na tension,atajisikia released maana Breathing inasaidia kuondoa tension kwenye Mwili.
Na mkianza ile shughuli kumbukeni kuwa na pose kwenye breathing,ili kuendelea kuwa na Oxygen ya kutosha kwenye Mwili
Kwa wanawake ambao kwao Kilele wanakisoma kwenye Stori za Eric Shigongo please do this...
Before the match do it,hata 5 times hivi ili uwe at ease..na ukiingia kwenye mechi jitahidi kuwa unavuta pumzi ya kutosha and exhale kwa kutumia pua na sio mdomo.
Ruhusu hewa nyingi ndani na uiachie yote,fanya hivyo kama mara 3....
Kamwe usipige kipute huku una mawazo...Mara kazini hivi mara bosi vilee...CONCENTRATE.
Akili yako iwe kwenye Mechi.....Jitahidi kumuangalia jamaamachoni...eye contact helps katika kuelekea kitonga...Sasa nyie mnaopiga kipute Gizani mtajua la kufanya,eye contact mtaipata wapi gizani....
BREATHING CAN CHANGE YOUR SEXUAL EXPERIENCE,TRY IT AND SEE
Friday, June 22, 2012
DUDE JIPYA,HALINA HATA MASAA 2 SOKONI---GODZILLA NA MARCO CHALLI

GODZILLA AKA KING ZILLA FROM SALASALA
Huu mwaka Marco Challi ameamua...Na bado kuna Good Musiq kutoka kwake mwaka huu...
Baada ya kutua na ngoma ya Party Zone akiwa na AY na Video ya Dolari 30,000 wiki iliyopita tu, LEO LEO amedondosha Ngoma mpyaaaaa,kaliiiiii, ameshirikishwa na King Zilla, Godzilla from Salasala...Wimbo unaitwa NATAKA
Club Banger ya uhakika...BAdo ya motooooooo,hata masaa mawili hewani haina,isikiliza..
CLICK http://www.hulkshare.com/
MARCO CHALI AKIWA MTAMBONI MJ RECORDS

Kama wewe mtoto wa Mbwa sisi watoto wa Paka....BALAA
Doctor Chali umetisha
Thursday, June 21, 2012
TIPS TO LADIES...UKIJIACHIA TU KOSA,WANAUME HAWAPENDI SURPRISED
Habari tena kwa mara nyingine Ladies....Nyie ndo mnaoongoza kuumia mioyo inabidi tu msaidiwe kujua how Men are...kuna vitu vingine mwanaume hawezi kusema lakini moyoni vimeshapigiwa mstari kitambo..
Kwa wale ambao bado hamjazaa na hata wale ambao sasa ni wajawazito...Na wewe mwenye watoto au mtoto tayari,THIS IS IT...
Kama kuna mambo yanafanya Baba wa mtoto wako,au Boyfriend kwa nyie ambao mmeamua kujihalalishia kuishi na wanaume bila kwenda Kanisani,Msikitini wala popote,mkaamua kuishi gheto kisela tu,Mungu atajibeba mwenyewe sikieni hili...
Men can not handle Surprises....Ukimuuliza Mwanaume wako amekupendea nini atataja vitu flani hivi...Oh napenda una moyo na Tabia nzuri...SAWA....Atasema yoteeee,unapenda Mungu...Huna hasira...Una roho nzuri,na kila kitu...
Kuna vitu alikupendea lakini ukimuuliza hawezi kuvisema....Wanaume wanapenda Physical parts pia...Kuna wanaopenda nywele...kucha...Maziwa...Miguu....Vinyweleo....Smile...Dental formula ya Meno.....Inye gwedegwede...Shingo...wengine wanapenda hata Sauti tu...
Wengi wanapenda Figure...Aidha Namba 8...Awe Miss...Au mwenye kitu ya kuua mutu!
Wanawake wengi wanapokuwa wana ujauzito/mimba...Na wanapozaa...Wanajisahau...Huu ndio ukweli...Tena wale waliooa ndo zaidi...Wanaona aah mwanaume kashaniweka ndani,sina haja ya kujicomplicate sanaaaa...KOSAAAA!
Mwanaume hazeeki jamani,Ng'ombe hazeeki maini kamwe...Alikupenda akiwa na miaka 22,leo ana miaka 40 lakini hajapoteza taste ya vile alivyokuona,akakuhusudu akakubali kushea maisha na wewe...kuna touches alikukuta nazo,ni vema uzitunze,japo hazitakuwa intact all ur life lakini try to maintain...Nawajua wanawake aged,wana miaka 50 lakini wako Super..Wanaita ile mbaya...Wana watoto zaidi ya wa4...Wamewezaje na wewe ushindwe una nini???
MAINTAIN YOUR SHAPE
Ni kweli kukaa na mtoto miezi 9 ni kazi...Ni kweli utapata Sleepless Nights kumtunza mtoto baada ya kuzaliwa...Ni kweli kuna hatari ya ku-gain weight sana baada ya kuzaa,but hiyo si sababu ya wewe kujiachia na kuwa kama Furushi la Bhangi...
Mtu amekuoa mwaka jana,ukiwa booonge la Demu,akawa very proud kutembea na wewe njiani,kukutambulisha kwa marafiki zake....Leo umezaa mtoto mmoja umejiachia,hujitengenezi,urnt smart,umeachia mwili huooo kama zigo la Bhangi...Eh...SAPRAIIIIZZZZZZZ....Hii wanaume hawataki...
Atapoteza mvuto na wewe...Utalalamika mmeo harudi nyumbani mapema.....Hajisikii tena tendo la ndoa na wewe coz UMEBADILIKA....Ataanza kutafuta watu wengine nje wenye mvuto kama uliokuwa nao wewe alipokuona first day....Utamlaumu???
Getting married is 1 thing....THEN...Linakuwa jukumu...Maintain your marriage....Mpe mume sababu za kuendelea kukupenda kama alivyokuona mara ya kwanza...kufunga ndoa ukadhani umemaliza kila kitu ni KOSA...tena sio tu kosa,ni SUMU! Do not kill yourself...Dont murder your own Marriage wakati unaweza kuifanya i-work...
Get pregnant...Keep yourself Fit....Go gym...if not just do some exercise,make sure ur healthy na you maintain your shape....
NO SURPRISES PLEASE!
Kwa wale ambao bado hamjazaa na hata wale ambao sasa ni wajawazito...Na wewe mwenye watoto au mtoto tayari,THIS IS IT...
Kama kuna mambo yanafanya Baba wa mtoto wako,au Boyfriend kwa nyie ambao mmeamua kujihalalishia kuishi na wanaume bila kwenda Kanisani,Msikitini wala popote,mkaamua kuishi gheto kisela tu,Mungu atajibeba mwenyewe sikieni hili...
Men can not handle Surprises....Ukimuuliza Mwanaume wako amekupendea nini atataja vitu flani hivi...Oh napenda una moyo na Tabia nzuri...SAWA....Atasema yoteeee,unapenda Mungu...Huna hasira...Una roho nzuri,na kila kitu...
Kuna vitu alikupendea lakini ukimuuliza hawezi kuvisema....Wanaume wanapenda Physical parts pia...Kuna wanaopenda nywele...kucha...Maziwa...Miguu....Vinyweleo....Smile...Dental formula ya Meno.....Inye gwedegwede...Shingo...wengine wanapenda hata Sauti tu...
Wengi wanapenda Figure...Aidha Namba 8...Awe Miss...Au mwenye kitu ya kuua mutu!
Wanawake wengi wanapokuwa wana ujauzito/mimba...Na wanapozaa...Wanajisahau...Huu ndio ukweli...Tena wale waliooa ndo zaidi...Wanaona aah mwanaume kashaniweka ndani,sina haja ya kujicomplicate sanaaaa...KOSAAAA!
Mwanaume hazeeki jamani,Ng'ombe hazeeki maini kamwe...Alikupenda akiwa na miaka 22,leo ana miaka 40 lakini hajapoteza taste ya vile alivyokuona,akakuhusudu akakubali kushea maisha na wewe...kuna touches alikukuta nazo,ni vema uzitunze,japo hazitakuwa intact all ur life lakini try to maintain...Nawajua wanawake aged,wana miaka 50 lakini wako Super..Wanaita ile mbaya...Wana watoto zaidi ya wa4...Wamewezaje na wewe ushindwe una nini???
MAINTAIN YOUR SHAPE
Ni kweli kukaa na mtoto miezi 9 ni kazi...Ni kweli utapata Sleepless Nights kumtunza mtoto baada ya kuzaliwa...Ni kweli kuna hatari ya ku-gain weight sana baada ya kuzaa,but hiyo si sababu ya wewe kujiachia na kuwa kama Furushi la Bhangi...
Mtu amekuoa mwaka jana,ukiwa booonge la Demu,akawa very proud kutembea na wewe njiani,kukutambulisha kwa marafiki zake....Leo umezaa mtoto mmoja umejiachia,hujitengenezi,urnt smart,umeachia mwili huooo kama zigo la Bhangi...Eh...SAPRAIIIIZZZZZZZ....Hii wanaume hawataki...
Atapoteza mvuto na wewe...Utalalamika mmeo harudi nyumbani mapema.....Hajisikii tena tendo la ndoa na wewe coz UMEBADILIKA....Ataanza kutafuta watu wengine nje wenye mvuto kama uliokuwa nao wewe alipokuona first day....Utamlaumu???
Getting married is 1 thing....THEN...Linakuwa jukumu...Maintain your marriage....Mpe mume sababu za kuendelea kukupenda kama alivyokuona mara ya kwanza...kufunga ndoa ukadhani umemaliza kila kitu ni KOSA...tena sio tu kosa,ni SUMU! Do not kill yourself...Dont murder your own Marriage wakati unaweza kuifanya i-work...
Get pregnant...Keep yourself Fit....Go gym...if not just do some exercise,make sure ur healthy na you maintain your shape....
NO SURPRISES PLEASE!
Subscribe to:
Posts (Atom)


















